mwaJ JF-Expert Member Sep 27, 2007 4,074 2,947 Sep 16, 2011 #2 Nimecheka jamani! hahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaa! Kuna watu wachokozi, duh!
Sikonge JF-Expert Member Jan 19, 2008 11,550 6,062 Sep 16, 2011 #4 Alijitahidi kwa majibu SAHIHI sana
Duble Chris JF-Expert Member May 28, 2011 3,481 564 Sep 16, 2011 #6 wabongo Bwana hawana dogo duh !!!!
Mwakalinga Bujo JF-Expert Member Oct 22, 2008 2,719 1,440 Sep 17, 2011 #8 Huyu kilaza kweli ,ila mwisho wake umekaribia
Kabakabana JF-Expert Member Aug 5, 2011 5,551 1,159 Sep 17, 2011 #9 yani ni kama kweli na yeye anafikiria kwa masaburi
mikatabafeki JF-Expert Member Dec 29, 2010 12,772 4,641 Sep 17, 2011 #10 kila jibu la swali SIJUI yani mimi SIJUI...............daaah
Dumelambegu JF-Expert Member Jan 28, 2011 1,052 257 Sep 17, 2011 #11 Aisee jamaa una kumbukumbu nzuri sana. Hivyo ndivyo jeikei alivyojibu. Hujaongeza wala kupunguza neno.
Aisee jamaa una kumbukumbu nzuri sana. Hivyo ndivyo jeikei alivyojibu. Hujaongeza wala kupunguza neno.