ukitaka kufuga nyuki utanunua mzinga kwa garama, utauweka sehemu husika kwa gharama.
Nao nyuki ni wadudu wa ajabu sana ukishawatengenezea nyumba wataweka hifadhi ya chakula chao(ASALI).
Nyuki anaona ni haki yake kuishi kwenye mzinga ule kwani ameweka hifadhi yake mle ndani. Na mmiliki wa mzinga anahisi anayohaki ya kurina asali (hifadhi ya chakula cha nyuki) kwani yeye ndio kaweka mzinga.
AMANI hutawala wakati wote kila mtu anafanya mambo yake (yaani nyuki anapokusanya asali na mwenye mzinga kuendelea na shughuli zake pasipo kumbughuzi nyuki)
Je unajua nini kitatokea pale mzinga utakapoguswa???????????
Je unajua mwenye mzinga atafanya nini endapo atang'atwa na nyuki
Watch: SITTA VS CHADEMA
Nao nyuki ni wadudu wa ajabu sana ukishawatengenezea nyumba wataweka hifadhi ya chakula chao(ASALI).
Nyuki anaona ni haki yake kuishi kwenye mzinga ule kwani ameweka hifadhi yake mle ndani. Na mmiliki wa mzinga anahisi anayohaki ya kurina asali (hifadhi ya chakula cha nyuki) kwani yeye ndio kaweka mzinga.
AMANI hutawala wakati wote kila mtu anafanya mambo yake (yaani nyuki anapokusanya asali na mwenye mzinga kuendelea na shughuli zake pasipo kumbughuzi nyuki)
Je unajua nini kitatokea pale mzinga utakapoguswa???????????
Je unajua mwenye mzinga atafanya nini endapo atang'atwa na nyuki
Watch: SITTA VS CHADEMA