- Thread starter
- #21
Shukrani kwa majibu mkuu! MWENYEZI MUNGU akujalie kupata wana na mabinti kwa kadri ya wema na fadhili zake!
Ameen. Ubarikiwe sana kama ilivyo nickname yako ya if.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani kwa majibu mkuu! MWENYEZI MUNGU akujalie kupata wana na mabinti kwa kadri ya wema na fadhili zake!
Unapewa kichupa unaenda nacho toilet, unanyetuka alafu unaweka kichupani. Au unaweza kwenda na mwenzio unaingia nae toilet munafanya yenu kwa condom alafu unaipeleka, au pia munaweza mukafanyia nyumbani alafu ukapeleka ndani ya mda usiozidi masaa matano.Hili swali nilikua nalo kichwani, nashukuru mkuu kwa kuuliza, akitoa jibu naomba uni-tag mkuu!
Sasa ukitoka hapo si tayari unakuwa member kamili wa CHAPUTA?Unapiga mwenyewe mkuu na wanaohusika na mambo hayo ya vipimo ni wataalamu wa maabala yeye atakupa tu maelezo jinsi ya kufanya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke sijampeleka kumcheki bado.
Hapana mkuu, sijawahi kufanya kazi migodini wala x-ray treatment. Pombe nakunywa very occasionally.... mara moja hata kwa miezi 3. Ahsante sana kwa mchango wako
Mkuu shughuli za migodini zina uhusiano gani na kutopata mtoto?Checkup ya mwanamke analysis yake iko wapi chief??pengine labda shida iko kwake coz kwa pic hizo hamna tatizo kwa upande wako.suala la maniii kumiminika nje ya uke ni kawaida kuna mimillion ya manii for only one bao na haziwezi toka zote nje wala baki zote ndani.
Manii yako inaafya kwa kiwango kikubwa sana na hamna abnormality yeyote hapo.
Ushawahi jihusisha na shuguli za migodini,x-ray treatment,au kunywa pombe Kupita kiasi??
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante kwa kutufumbua macho bro. Ni wazi inabidi namimi niende kupima kwani toka nioe mwaka jana august hatujabahatika bado.Sperm analysis pekee ni TSH 30,000.
Ukipima na hivyo vipimo vingine vya ziada (testosterone, FBC, urine, na VDRL) gharama zinaongezeka na kufikia TSh 170,000/= jumla kuu.
Nilienda Bugando. Sina BIMA, nililipa cash.
Hello wanaJF.
Mimi na mke wangu tumetafuta mtoto Kwa mwaka mzima sasa bila mafanikio. Juzi nikaenda hospitali na kufanya vipimo vifuatavyo ...
1. Sperm/Semen Analysis:
View attachment 1046108
2. Testosterone:
View attachment 1046109
3. FBC:
View attachment 1046110
4. Urine:
View attachment 1046111
Taarifa za nyongeza:
===> Rangi ya Manii zangu ni 'light yellow' kwa kiasi kikubwa. Chache sana (tone moja hivi) ni rangi nyeupe/kijivu.
===> Manii ni nyepesi. Zinayeyuka haraka.
===> Kwenye tendo la ndoa, nikishamwaga ndani ya uke, manii zote zinachuruzika kutoka nje hata kama mwanamke amelala chali.
Naombeni ushauri wenu ndugu zangu. Je kwa vipimo hivyo, afya yangu ya uzazi iko vizuri?
Ahsanteni.
Mkuu, Masaa matano ni mengi. Inaweza ikapunguza usahihi wa majibu yako. Muda mzuri wa kufikisha hicho kipimo - Usizidi dakika 45. Na ili kipimo kiweze kutoa majibu mazuri ni vyema usiwe umefanya tendo kwa muda wa siku 3 - 7.Unapewa kichupa unaenda nacho toilet, unanyetuka alafu unaweka kichupani. Au unaweza kwenda na mwenzio unaingia nae toilet munafanya yenu kwa condom alafu unaipeleka, au pia munaweza mukafanyia nyumbani alafu ukapeleka ndani ya mda usiozidi masaa matano.
Sent using Jamii Forums mobile app
Exactly kabisa mkuu, ndio maana njia ya kujichua inashauriwa zaidiMkuu, Masaa matano ni mengi. Inaweza ikapunguza usahihi wa majibu yako. Muda mzuri wa kufikisha hicho kipimo - Usizidi dakika 45. Na ili kipimo kiweze kutoa majibu mazuri ni vyema usiwe umefanya tendo kwa muda wa siku 3 - 7.
Hapo mkuu nilichokiona manii yako ni blankooo tupu pole sana.Hello wanaJF.
Mimi na mke wangu tumetafuta mtoto Kwa mwaka mzima sasa bila mafanikio. Juzi nikaenda hospitali na kufanya vipimo vifuatavyo ...
1. Sperm/Semen Analysis:
View attachment 1046108
2. Testosterone:
View attachment 1046109
3. FBC:
View attachment 1046110
4. Urine:
View attachment 1046111
Taarifa za nyongeza:
===> Rangi ya Manii zangu ni 'light yellow' kwa kiasi kikubwa. Chache sana (tone moja hivi) ni rangi nyeupe/kijivu.
===> Manii ni nyepesi. Zinayeyuka haraka.
===> Kwenye tendo la ndoa, nikishamwaga ndani ya uke, manii zote zinachuruzika kutoka nje hata kama mwanamke amelala chali.
Naombeni ushauri wenu ndugu zangu. Je kwa vipimo hivyo, afya yangu ya uzazi iko vizuri?
Ahsanteni.
Mbona bado mapemaaaAhsante kwa kutufumbua macho bro. Ni wazi inabidi namimi niende kupima kwani toka nioe mwaka jana august hatujabahatika bado.
tumia staili nzuri naona pump yako ya kurusha sperm imelegea hazitoki kwa kasi , moja ya stili nzuri ni yeye mkeo apige magoti kwenye kitanda mikono iguse sakafu alafu pelekea moto huku unasali gravity itakusaidia kuzivuta hadi kwenyr yai na ulenge siku zake za hatari
na wakati unamwaga make shure unaideep penis yako na ukaze matako maana pump yenyewe mshipa wake unatokea matakoni ule unaopita down
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijawahi kuona scientific paper yoyote inayoonyesha kwamba style ya kufanya mapenzi inasaidia katika utungwaji wa mimba zaidi ya maneno ya mtaani, kama unayo hebu iweke hapa niipitie.