Majibu: Sperm analysis

Dimma

Member
Aug 15, 2017
99
133
Hello wanaJF.

Mimi na mke wangu tumetafuta mtoto Kwa mwaka mzima sasa bila mafanikio. Juzi nikaenda hospitali na kufanya vipimo vifuatavyo ...

1. Sperm/Semen Analysis:
IMG_20190315_121225.jpg


2. Testosterone:
IMG_20190315_121539.jpg


3. FBC:
IMG_20190315_121335.jpg


4. Urine:
IMG_20190315_121503.jpg


Taarifa za nyongeza:

===> Rangi ya Manii zangu ni 'light yellow' kwa kiasi kikubwa. Chache sana (tone moja hivi) ni rangi nyeupe/kijivu.
===> Manii ni nyepesi. Zinayeyuka haraka.
===> Kwenye tendo la ndoa, nikishamwaga ndani ya uke, manii zote zinachuruzika kutoka nje hata kama mwanamke amelala chali.

Naombeni ushauri wenu ndugu zangu. Je kwa vipimo hivyo, afya yangu ya uzazi iko vizuri?

Ahsanteni.
 
Hello wanaJF.

Mimi na mke wangu tumetafuta mtoto Kwa mwaka mzima sasa bila mafanikio. Juzi nikaenda hospitali na kufanya vipimo vifuatavyo ...

1. Sperm/Semen Analysis:
View attachment 1046108

2. Testosterone:
View attachment 1046109

3. FBC:
View attachment 1046110

4. Urine:
View attachment 1046111

Taarifa za nyongeza:

===> Rangi ya Manii zangu ni 'light yellow' kwa kiasi kikubwa. Chache sana (tone moja hivi) ni rangi nyeupe/kijivu.
===> Manii ni nyepesi. Zinayeyuka haraka.
===> Kwenye tendo la ndoa, nikishamwaga ndani ya uke, manii zote zinachuruzika kutoka nje hata kama mwanamke amelala chali.

Naombeni ushauri wenu ndugu zangu. Je kwa vipimo hivyo, afya yangu ya uzazi iko vizuri?

Ahsanteni.
Huyo Dr aliyekwambia ukapime ndiye alitakiwa akupe ushauri baada ya majibu. Aseme nn tatizo katika hayo majibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Checkup ya mwanamke analysis yake iko wapi chief??pengine labda shida iko kwake coz kwa pic hizo hamna tatizo kwa upande wako.suala la maniii kumiminika nje ya uke ni kawaida kuna mimillion ya manii for only one bao na haziwezi toka zote nje wala baki zote ndani.

Manii yako inaafya kwa kiwango kikubwa sana na hamna abnormality yeyote hapo.
Ushawahi jihusisha na shuguli za migodini,x-ray treatment,au kunywa pombe Kupita kiasi??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Checkup ya mwanamke analysis yake iko wapi chief??pengine labda shida iko kwake coz kwa pic hizo hamna tatizo kwa upande wako.suala la maniii kumiminika nje ya uke ni kawaida kuna mimillion ya manii for only one bao na haziwezi toka zote nje wala baki zote ndani.

Manii yako inaafya kwa kiwango kikubwa sana na hamna abnormality yeyote hapo.
Ushawahi jihusisha na shuguli za migodini,x-ray treatment,au kunywa pombe Kupita kiasi??

Sent using Jamii Forums mobile app

Mwanamke sijampeleka kumcheki bado.

Hapana mkuu, sijawahi kufanya kazi migodini wala x-ray treatment. Pombe nakunywa very occasionally.... mara moja hata kwa miezi 3. Ahsante sana kwa mchango wako
 
Waliotoa majibu ya vipimo walisemaje na kushaurije?
Nje ya mada :-
1. Gharama ya vipimo na kiasi gani ?
2. Wanapokea bima za NHIF?
3. Ni hospitali gani hiyo?
 
Hello wanaJF.

Mimi na mke wangu tumetafuta mtoto Kwa mwaka mzima sasa bila mafanikio. Juzi nikaenda hospitali na kufanya vipimo vifuatavyo ...

1. Sperm/Semen Analysis:
View attachment 1046108

2. Testosterone:
View attachment 1046109

3. FBC:
View attachment 1046110

4. Urine:
View attachment 1046111

Taarifa za nyongeza:

===> Rangi ya Manii zangu ni 'light yellow' kwa kiasi kikubwa. Chache sana (tone moja hivi) ni rangi nyeupe/kijivu.
===> Manii ni nyepesi. Zinayeyuka haraka.
===> Kwenye tendo la ndoa, nikishamwaga ndani ya uke, manii zote zinachuruzika kutoka nje hata kama mwanamke amelala chali.

Naombeni ushauri wenu ndugu zangu. Je kwa vipimo hivyo, afya yangu ya uzazi iko vizuri?

Ahsanteni.
Hivi vinakwenda ngapi gharama zake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Checkup ya mwanamke analysis yake iko wapi chief??pengine labda shida iko kwake coz kwa pic hizo hamna tatizo kwa upande wako.suala la maniii kumiminika nje ya uke ni kawaida kuna mimillion ya manii for only one bao na haziwezi toka zote nje wala baki zote ndani.

Manii yako inaafya kwa kiwango kikubwa sana na hamna abnormality yeyote hapo.
Ushawahi jihusisha na shuguli za migodini,x-ray treatment,au kunywa pombe Kupita kiasi??

Sent using Jamii Forums mobile app
Cheki vzr kwenye sperm motility

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida kiasi naiona kwenye motility mkuu, ili fertilization iweze kutake place sperm lazima ziwe na uwezo wa kuogelea kwa wingi wa kutosha. Kwa case yako sperm zenye uwezo ni asilimia 30 tu, asilimia 80 hazina uwezo kabisa na asilimia 20 zinamove lkn kwa shida mno. Kimsingi piga diet ambayo itaboresha sperm motility.

Sent using Jamii Forums mobile app

Thanks mkuu. So ni vyakula gani vya kuboresha sperm motility?
 
Waliotoa majibu ya vipimo walisemaje na kushaurije?
Nje ya mada :-
1. Gharama ya vipimo na kiasi gani ?
2. Wanapokea bima za NHIF?
3. Ni hospitali gani hiyo?
Mimi naomba kuuliza mkuu..ukienda kupimwa huwa nurse anakupigisha nyeto au unapiga mwenyewe?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sperm analysis pekee ni TSH 30,000.

Ukipima na hivyo vipimo vingine vya ziada (testosterone, FBC, urine, na VDRL) gharama zinaongezeka na kufikia TSh 170,000/= jumla kuu.

Nilienda Bugando. Sina BIMA, nililipa cash.
 
Mwanamke sijampeleka kumcheki bado.

Hapana mkuu, sijawahi kufanya kazi migodini wala x-ray treatment. Pombe nakunywa very occasionally.... mara moja hata kwa miezi 3. Ahsante sana kwa mchango wako
Mkuu ni vizuri zaidi kama ungefanya checkup na upande wa pili(mwenza wako)sperm mobility kidogo ndiyo haiko sawa na ndiyo maana nikauliza kuhusu shughuli zako.
Lakin hii mobility haina madhara kwenye utungaji wa mimba na kufika kwenye ovaries kufika zina fika (30% out of 100%) lakini why fertilization haitokei hapa ndiyo pakujiuliza

The exact cause for low sperm motility can vary. Some men may have a genetic cause, while others may have an undiagnosed medical condition. Lifestyle and environmental factors also play a big role in sperm motility. Smoking,millitary work, painting o repeated trauma to the pelvic area na vitu vingine kama hivyo.

Kwa ushauri kuna baadhi ya njia zinazoweza rise up hiyo level ya motility of the sperm kama vile exercise regularly, maintain a healthy weight, limit cell phone exposure, reduce alcohol, quit smoking.

Kumbuka kumpeleka mwenza wako wakamcheck na yeye kwenye via vyake vya uzazi uwenda yy ndiyo big deal

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom