FairPlayer
JF-Expert Member
- Feb 27, 2006
- 4,145
- 716
Wandugu,
Kwanza kabisa ningeomba posts za Bi centi hamsini zifutwe kwenye hii mada.
Nionavyo, Ofisi ya waziri Mkuu imekurupuka, kujibu ni sawa ila stahili ya maandishi ndio imenishangaza, Jamaa aliyeandika kaandika utafikiri yupo kijiweni anawaandikia machizi. Jibu hoja kwa hoja. Hakukuwa na umuhimu wa kutaja Identities, kusema tu kuwa gazeti la Mtanzania daima ingekuwa enough reference.
Kisha wangechukua hoja moja moja na kuanza kuzichambua kisha kujibu. Eti kwa kuwa Mwanakijiji ametumia msemo wa Nyerere na wao wanatumia, hilo ni kukosa ubunifu na ufupi wa mawazo. Ninashauri serikalini muajiri watu kwa sifa na sio kujuana.
Kama mwandishi aliyeandika hiyo makala yupo humu, naomba anitumie PM nimjibu mwanakijiji, ili akatoe magazetini.
Hoja za mwanakijiji zinajibika na sio kweli kuwa zote ni za kweli.
Kuhusu kutishiwa, mimi kama mwana CCM ninasema hamna kitisho chochote hapo, ni jamaa mmoja tu kakosea na kumjibia Prime minister wetu vibaya. EL ni muelewa wala asingejibu kijazba jazba namna hiyo, Huyo aliyejibu yaelekea ni dizaini ya Mrema na Mbowe au wale Ngangari!
FD
Kwanza kabisa ningeomba posts za Bi centi hamsini zifutwe kwenye hii mada.
Nionavyo, Ofisi ya waziri Mkuu imekurupuka, kujibu ni sawa ila stahili ya maandishi ndio imenishangaza, Jamaa aliyeandika kaandika utafikiri yupo kijiweni anawaandikia machizi. Jibu hoja kwa hoja. Hakukuwa na umuhimu wa kutaja Identities, kusema tu kuwa gazeti la Mtanzania daima ingekuwa enough reference.
Kisha wangechukua hoja moja moja na kuanza kuzichambua kisha kujibu. Eti kwa kuwa Mwanakijiji ametumia msemo wa Nyerere na wao wanatumia, hilo ni kukosa ubunifu na ufupi wa mawazo. Ninashauri serikalini muajiri watu kwa sifa na sio kujuana.
Kama mwandishi aliyeandika hiyo makala yupo humu, naomba anitumie PM nimjibu mwanakijiji, ili akatoe magazetini.
Hoja za mwanakijiji zinajibika na sio kweli kuwa zote ni za kweli.
Kuhusu kutishiwa, mimi kama mwana CCM ninasema hamna kitisho chochote hapo, ni jamaa mmoja tu kakosea na kumjibia Prime minister wetu vibaya. EL ni muelewa wala asingejibu kijazba jazba namna hiyo, Huyo aliyejibu yaelekea ni dizaini ya Mrema na Mbowe au wale Ngangari!
FD