Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 613
- Thread starter
- #21
NAKUHAKIKISHIA HATA HAO WANAOWATUMIKIA HAO MAFISADI, Nikiwa na maana watumishi wa kina BALALI na KINA MSOLA na wengineo hawana imani na mabosi zao na wanapigana bega kwa bega na kina Mwanakijiji, ujue fika ndio maana ahata hizo taarifa za serikali utaona zinaandikwa kisanii ili kuzidi kuwakandamiza wenyewe..
Mwanakijiji tuko nyuma yako wengi... Hata hivyo vitisho wahusika kama Balali na wenzake hawana ubavu wa kujitokeza hadharani na kufanya madhara, watakachofanya ni kutuma watu ambao hawapo kwani hakuna MTANZANIA ambaye hajui kinachoendelea, hata hao MAPOLISI, USALAMA na kadhalika, hawaridhiki na hali iwayo
Mwanakijiji tuko nyuma yako wengi... Hata hivyo vitisho wahusika kama Balali na wenzake hawana ubavu wa kujitokeza hadharani na kufanya madhara, watakachofanya ni kutuma watu ambao hawapo kwani hakuna MTANZANIA ambaye hajui kinachoendelea, hata hao MAPOLISI, USALAMA na kadhalika, hawaridhiki na hali iwayo