William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
You must have something wrong in your brain kufikiri kwamba a 1 million dollar (US $) house ni kitu cha kawaida kwa mtumishi wa serikali especially in TZ. In reality hata president wa Tanzania hastahili nyumba yenye gharama hiyo.
Hiyo reply ya BOT inataka kutuaminisha kwamba contractors ndio waliopanga bei, na wao wakachagua yule wa chini. Hivi yule wa chini angekuwa $5 mil. angepewa tu kwa sababu ni chini?
Halafu kwa mtu yeyote anayefahamu taratibu za tendering in TZ na tena huko huko BOT sio rahisi kuamini maelezo yao kwamba hakukuwa na michezo michafu.
Maswali ya kizushi,
1. Hii kampuni Eletrics International Co. Limited mbona imekaa kimazabemazabe well labda wadau mnaoifahamu lakini kwa sababu ni bongo si vibaya kujiuliza nio kampuni ya nani, imewahi kufanya miradi gani mingine, na hapo BOT imewahi kufanya kazi ngapi? Inaweza kuonekana ni kupersonalize the issue lakini history tells me kuna haja ya kujua.
2. Ndulu ameshahamia kwenye nyumba hiyo? Na kabla ya hapo alikuwa anakaa wapi?
3. Liyumba anayedaiwa kwamba aliidhinisha majengo pacha, hakuhusika na hii isije mwishoni mambo yakiwa moto karushiwa tena Liyumba. Mind you mradi wa karibu $450mn jamaa wamemmbebesha Liyumba wht about this $1ml?
- Mkulu Nyambala salute na hands down!
Respect.
FMEs!