Kafara
JF-Expert Member
- Feb 17, 2007
- 1,396
- 411
Nchi yetu inageuzwa Animal Farm. Mbaya zaidi, Mzee Mwanakijiji haya matumizi yanatumika kununua second/third rate stuff kutoka majuu. Sisi tunachotaka ni kuwa kitu kimeagizwa kutoka nje bila kujali au kujua quality!
Amandla......
mbona tayari nchi yetu animal farm longi tu.
ingawaje sasa hivi ndio idadi ya wananchi wanaotambua
hali hiyo inazidi kuongezaka