LordJustice1
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 2,263
- 530
Lkn kuhusu mipaka ya Tz na Z'bar nlisha sema maranyingi, ila wana jf mmekua na masiara sana ndugu zangu!
Kwani wewe ni msemaji wa JF?
Lkn kuhusu mipaka ya Tz na Z'bar nlisha sema maranyingi, ila wana jf mmekua na masiara sana ndugu zangu!
mara hii wameshaanza kuitamani na daresalama hahaha
katiba mpya ya Zanz inasemaje?
Ukiwaangalia tu kwa makini sana wanaonekana ni watu wa kuwa "handle with care" manyerere nae kajichomeka kati yao bahati yake hawakuwa na mabomu mwilini ya kujilipua
Wacheni kupotosha Watangayika, kilichozungumzwaa alitoa mfano kabla ya mipaka mipya ya Za'bar kugaiwa na kupunguzwa Dar kulikuwa na km 10 ya Z'bar, lkni baada ya hapo Za'bar ina mipka yke kama iliomo kwnye mabadiliko ya katiba ya mwaka 2010 ya Z'bar.
Sasa na hio sehemu ilobaki Tanganyika mnaitaka? Kasema kwa hilo haliwezekani tena.
Wacheni kuongopeana nyinyi Watanganyika Wazanzibari wanataka nchi yao msiwapotoshe watu, ss hatuna shida na na Dar wala Tanga, au Kilwa.
Almuhimu Jamhuri ya Zanzibar kwanza = Unguja+Pemba+visiwa vidogovidogo+Anga na Bahari iliozunguka visiwa vyetu vinatutosha.
Haiwezekani mtu atoke Dar aende mpaka Unguja akaongee hivyo vineno viwili vilivyochaguliwa na kubandikwa hapa kwa ajili ya ufataani. Weka "interview" kamili tuone nini kilichoulizwa na nini kilichojibiwa. Wacheni hizi fitna za kijinga.
unaonekana wewe ni kichongo halafu jicho lako moja likapofuwa unashindwa kusoma nini kimeandikwa au jazba tu ya kijina ndio imekujaa na ujinga wa kubwa lao jinga soma mada usikurupuke kama nguruwe mwituumara hii wameshaanza kuitamani na daresalama hahaha
yani mimi hiyo mionekano yao tu, kisaikolojia ni watu wakorofi, wabishi na wasiotaka kuelewa. Angalia vizuri ndani ya nyuso zao utaona kuna nyuso za nina sheikh Osama bin Laden, na magaidi mengneyo ya kiarabu.
MY TAKE:
hatua kali dhidi yao zichukuliwe
acha matusi wewe.Huyo jamaa wa pili toka kushoto anaonekana gaidi sio mchezo!
Wacheni kupotosha Watangayika, kilichozungumzwaa alitoa mfano kabla ya mipaka mipya ya Za'bar kugaiwa na kupunguzwa Dar kulikuwa na km 10 ya Z'bar, lkni baada ya hapo Za'bar ina mipka yke kama iliomo kwnye mabadiliko ya katiba ya mwaka 2010 ya Z'bar.
Sasa na hio sehemu ilobaki Tanganyika mnaitaka? Kasema kwa hilo haliwezekani tena.
Wacheni kuongopeana nyinyi Watanganyika Wazanzibari wanataka nchi yao msiwapotoshe watu, ss hatuna shida na na Dar wala Tanga, au Kilwa.
Almuhimu Jamhuri ya Zanzibar kwanza = Unguja+Pemba+visiwa vidogovidogo+Anga na Bahari iliozunguka visiwa vyetu vinatutosha.
yani mimi hiyo mionekano yao tu, kisaikolojia ni watu wakorofi, wabishi na wasiotaka kuelewa. Angalia vizuri ndani ya nyuso zao utaona kuna nyuso za nina sheikh Osama bin Laden, na magaidi mengneyo ya kiarabu.
MY TAKE:
hatua kali dhidi yao zichukuliwe