Majibu mujarabu kwa Mdude Nyagali wa CHADEMA kuhusu tozo ya motor vehicle

we we unataka kutumezesha Sumu. Yaani unapiga hesabu ya Gari ya biashara ambayo inatembea km nyingi per day. Sisi wanasayansi tunakuja kuleta shortcoming za theory yako. 1.Hakuna Gari inatembea siku 365 hilo ondoa. Hesabu zako invalid. 2. Pili hiyo kodi hujafafanua kama awali haikuwepo, tsh 40 Mara nyingi hizi kodi huwepo katika kila bidhaa ila hapa imefanywa kutajwa na kuwekwa wazi. 3. Hujapiga hesabu ya Gari ya private ya kutembelea hapa na pale ili tuanze kuiponda hiyo bajeti may be km 30 kwa siku mara 5 kwa wiki 4. Hujafahamu umuhimu wa wanaopata kipato kwa Barabara zetu kulipa kodi ili tuendelea kuzifanyia marekebisho barabara hizo. 6. Mwisho uwe unafanya analysis zako kisomi ndio ulete humu otherwise uziache kulekule fb
 
Na hiyo ndo hoja ya msingi. Kwa vyovyote vile Mabasi na Malori lazima yatalipa zaidi tofauti na magari yetu binafsi. Ila hata iweje Mabasi hayawezi kulipa kiasi cha Milioni 5 kwa mwaka kama alivyotaka kutuaminisha Mdude
Mbona umesema Dar - Sumbawanga hapawezi kuwa na umbali unaofika kilomita 1,200?
 
... Ila hata iweje Mabasi hayawezi kulipa kiasi cha Milioni 5 kwa mwaka kama alivyotaka kutuaminisha Mdude
Kwa hiyo unaona kulipia sh. 1,460,000/= kwa ajili ya Motor Vehicle licence kwa mwaka ni sawa tu?
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Jana niliona mjadala wa kitoto ulioanzishwa na Mdude Chadema Nyagali Mwanachama wa CHADEMA. Mjadala huo ulianza kwenye Ukurasa wa Facebook wa Mdude Chadema Nyagali na kusambaa kwenye mitandao mingine. Katika mjadala huo ambao aliuita mazungumzo baina yake na dereva wa Bus linalotoka Dar es Salaam hadi Sumbawanga, alijenga hoja kuwa Tozo ya Motor Vehicle iliyopendekezwa kufutwa na Waziri wa Fedha, Philip Mpango ni nafuu zaidi kuliko inayopendekezwa.

Katika mjadala huo, Mdude alifahamishwa na dereva wake kuwa kwa siku anatumia lita 400 kutoka Dar es Salaam hadi Sumbawanga kwa Bus aina ya Yutong. Tena aliupa uzito mjadala huo kwa kuweka picha ya Bus la Shabiby ambalo sina hakika kama linafanya safari hiyo. Kwa maelezo yake, kwa kuwa gari linatumia lita 400, kwa hali hiyo hadi Sumbawanga Busi hilo litalipa motor vehicle ya shilingi 16,000 kwa maana 400 x 40. Kwa Mwezi atalipa Motor Vehicle ya shilingi 16,000 x 30 = 480,000 na kwa mwaka shilingi 480,000 x 12 = 5,760,000.

Mjadala huo ulivuta hisia za wafuasi wa CHADEMA ambao nao bila kutumia akili ipasavyo, wakaanza kushangilia na kujiona wameshinda. Ni kwa bahati mbaya sana Mdude CHADEMA hajawahi kumiliki hata pilipiki kwa hiyo hajui lolote kuhusu consumption ya mafuta kwenye magari. Binafsi nilijiuliza, je umbali wa kutoka Dar es Salaam hadi Sumbawanga unaweza kutumia lita 400? Kama ni hivyo, je abiria wa huko wanalipa nauli kiasi gani? Twende taratibu.

Mabasi mengi yanatumia wastani wa lita moja Diesel kwa kila kilomita 7 hadi . Na kwenye barabara za Highway, consumption ya mafuta ni tofauti na kwenye maeneo ya mijini. Kwa maana hiyo lita 400 anazotuma huyo dereva ukizidisha mara 7 gari hilo litalazimika kutembea kilomita 2800 ili kumaliza mafuta hayo yaani 7 x 400 = 2,800. Je Umbali wa kutoka Sumbawanga hadi Dar es Salaam unafika kilomita hizo?

Haya tufanye gari hilo ni mkweche kiasi cha kutumia kilomita 5 tu kwa lita moja. Maana yake ni kwamba gari hilo litalazimika kutumia kilomita 2000, hadi kumaliza mafuta yote yaani 5 x 400 = 2000. Je umbali wa kutoka Dar es Salaam hadi Sumbawanga unafikia kilomita 2000?

Basi tuseme Tank la Mafuta la Gari hilo linavuja na kwa hali hiyo hutumia lita moja kwa kila kilomita 3 tu. maana yake ni kwamba 3 x400 ni sawa na kilomita 1,200. Je umbali wa kutoka Sumbawanga hadi Dar unafikia kilomita 1,200?

Baada ya kushirikisha ubongo wangu, nilijiuliza maswali haya? Je Mdude Chadema ana uelewa wa matumizi ya mafuta kwenye magari? Au huyo Dereva anampiga cha juu bosi wake na ndo maana akataja kiasi kikubwa cha mafuta?

Ukweli ni kwamba, Motor Vehicle iliyopendekezwa inapunguza sana gharama na hasa kwa sisi tunaoishi huku mikoani. Mathalan, mimi nikijaza full Tank huku Songea natumia wastani wa siku 18 hafi 25 hadi kwenda tena kituo cha mafuta. Kwa maana gari langu aina ya Toyota Harrier ina CC 2160 na ujazo wa Tank ni lita 65. Na inatumia wastani wa kilomita 8 kwa lita moja. Kwa maana hiyo, kwa lita 65 ili ziishe zote ingawa haijawahi kutokea, nitalazimika kutembea kilomita 520 ambayo kwa mzunguko wa mji wetu wa Songea nitatumia wastani wa siku 18 hadi 25 kumaliza na kama ninazurura sana nitatumia siku zisizopungua 10.

Sasa twende taratibu, lita 65 x 40 = shilingi 2,400. Kwa maana hiyo kila siku 15 nitalipa Motor Vehicle ya shilingi 2,400 tu. kwa Mwezi nitalipa shilingi 4,800 tu na kwa mwaka nitalipa shilingi 4800 x 12 = 57,600 tu. hii ni pungufu ukilinganisha na shilingi 200,000 ninayolipa sasa. Yaani nitaokoa shilingi 142,400. Na hapa chukulia kama gari inatembea siku zote. Kama kwa nyakati kadhaa gari halitumiki maana yake ni kwamba kiasi cha Motor Vehicle nitakacholipa kitapungua.

Kwa wale wa Dar es Salaam ambao foleni husababisha matumizi makubwa ya mafuta, twende na mfano huu. Kwa wanaoishi Mbagala, ama Vikindu, ama Kibamba, ama Bunju na wanafanya kazi katikati ya Jiji, hutumia wastani wa lita 70 kwa wiki. Maana yake ni kwamba Motor Vehicle atakayolipa mtu huyo ni kama ifuatavyo; Kwa wiki itakuwa 70 x 40 = 2,800. Kwa mwezi itakuwa 2,800 x 4 = 11,200 na kwa mwaka itakuwa shilingi 11,200 x 12 = 134,400 tu. kwa hali hiyo, mtu mwenye gari kama langu ataokoa shilingi 65,600 kila mwaka iwapo tozo mpya ya Motor Vehicle itapitishwa. Hizi ni hesabu za kitaalam na wewe kama unamiliki gari unaweza kufanya hesabu zako ili kujua utalipa kiasi gani kwa wiki, mwezi na mwaka. Uzuri wa tozo pendekezwa ni kwamba inalipwa kulingana na jinsi unavyolitumia gari lako. Kama weekend una kawaida ya kupumzika basi utaokoa kiasi kikubwa sana cha fedha. Na kama una kawaida ya kupanda daladala siku moja moja ili kuchangamana na jamii kama nifanyavyo mimi basi utaokoa fedha nyingi sana.

Niwasihi Watanzania, tusimezeshwe tu kila kitu. Wengine wanaotumezesha hawajui lolote. Tutumie akili alizotupa Mungu ili kuchanganua mambo.

Nawasilisha
sawa mkuu, wenye magari labda wamekuelewa. Je utawaambiaje walala hoi ambao wanatumia mafuta ya taa majumbani mwao?? utawaambiaje bodaboda wanaotegemea pikipiki kwa maisha yao ya kila siku? utawaambiaje wafugaji wadodo wadogo wanaotumia mafuta kuendeshea mitambo yao ya kukata nyasi?? utawaambiaje jamani wakulima wadogowadogo kutokana na gharama za uzalishaji??? je huoni huku ndo kuvimaliza viwanda vidogovidogo kwa tozo ambazo zimevuliwa kwa matajiri na kuelekezwa kwa wananchi masjini walio wengi???
 
Aah, hii kodi acha tu iwe absorbed kwenye mafuta make imekuwa ni kero mno. Gari likiwa grounded for any reason, system zao zinaku-debit tu pamoja na penalties zao mpaka deni likujakuwa totally unbearable.

Ukiwajulisha kwa barua kuwa gari liko grounded hawataki kabisa kusikia hilo.

Ambacho siungi mkono ni kuilevy on imported cars, hiyo siyo haki.
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Jana niliona mjadala wa kitoto ulioanzishwa na Mdude Chadema Nyagali Mwanachama wa CHADEMA. Mjadala huo ulianza kwenye Ukurasa wa Facebook wa Mdude Chadema Nyagali na kusambaa kwenye mitandao mingine. Katika mjadala huo ambao aliuita mazungumzo baina yake na dereva wa Bus linalotoka Dar es Salaam hadi Sumbawanga, alijenga hoja kuwa Tozo ya Motor Vehicle iliyopendekezwa kufutwa na Waziri wa Fedha, Philip Mpango ni nafuu zaidi kuliko inayopendekezwa.

Katika mjadala huo, Mdude alifahamishwa na dereva wake kuwa kwa siku anatumia lita 400 kutoka Dar es Salaam hadi Sumbawanga kwa Bus aina ya Yutong. Tena aliupa uzito mjadala huo kwa kuweka picha ya Bus la Shabiby ambalo sina hakika kama linafanya safari hiyo. Kwa maelezo yake, kwa kuwa gari linatumia lita 400, kwa hali hiyo hadi Sumbawanga Busi hilo litalipa motor vehicle ya shilingi 16,000 kwa maana 400 x 40. Kwa Mwezi atalipa Motor Vehicle ya shilingi 16,000 x 30 = 480,000 na kwa mwaka shilingi 480,000 x 12 = 5,760,000.

Mjadala huo ulivuta hisia za wafuasi wa CHADEMA ambao nao bila kutumia akili ipasavyo, wakaanza kushangilia na kujiona wameshinda. Ni kwa bahati mbaya sana Mdude CHADEMA hajawahi kumiliki hata pilipiki kwa hiyo hajui lolote kuhusu consumption ya mafuta kwenye magari. Binafsi nilijiuliza, je umbali wa kutoka Dar es Salaam hadi Sumbawanga unaweza kutumia lita 400? Kama ni hivyo, je abiria wa huko wanalipa nauli kiasi gani? Twende taratibu.

Mabasi mengi yanatumia wastani wa lita moja Diesel kwa kila kilomita 7 hadi . Na kwenye barabara za Highway, consumption ya mafuta ni tofauti na kwenye maeneo ya mijini. Kwa maana hiyo lita 400 anazotuma huyo dereva ukizidisha mara 7 gari hilo litalazimika kutembea kilomita 2800 ili kumaliza mafuta hayo yaani 7 x 400 = 2,800. Je Umbali wa kutoka Sumbawanga hadi Dar es Salaam unafika kilomita hizo?

Haya tufanye gari hilo ni mkweche kiasi cha kutumia kilomita 5 tu kwa lita moja. Maana yake ni kwamba gari hilo litalazimika kutumia kilomita 2000, hadi kumaliza mafuta yote yaani 5 x 400 = 2000. Je umbali wa kutoka Dar es Salaam hadi Sumbawanga unafikia kilomita 2000?

Basi tuseme Tank la Mafuta la Gari hilo linavuja na kwa hali hiyo hutumia lita moja kwa kila kilomita 3 tu. maana yake ni kwamba 3 x400 ni sawa na kilomita 1,200. Je umbali wa kutoka Sumbawanga hadi Dar unafikia kilomita 1,200?

Baada ya kushirikisha ubongo wangu, nilijiuliza maswali haya? Je Mdude Chadema ana uelewa wa matumizi ya mafuta kwenye magari? Au huyo Dereva anampiga cha juu bosi wake na ndo maana akataja kiasi kikubwa cha mafuta?

Ukweli ni kwamba, Motor Vehicle iliyopendekezwa inapunguza sana gharama na hasa kwa sisi tunaoishi huku mikoani. Mathalan, mimi nikijaza full Tank huku Songea natumia wastani wa siku 18 hafi 25 hadi kwenda tena kituo cha mafuta. Kwa maana gari langu aina ya Toyota Harrier ina CC 2160 na ujazo wa Tank ni lita 65. Na inatumia wastani wa kilomita 8 kwa lita moja. Kwa maana hiyo, kwa lita 65 ili ziishe zote ingawa haijawahi kutokea, nitalazimika kutembea kilomita 520 ambayo kwa mzunguko wa mji wetu wa Songea nitatumia wastani wa siku 18 hadi 25 kumaliza na kama ninazurura sana nitatumia siku zisizopungua 10.

Sasa twende taratibu, lita 65 x 40 = shilingi 2,400. Kwa maana hiyo kila siku 15 nitalipa Motor Vehicle ya shilingi 2,400 tu. kwa Mwezi nitalipa shilingi 4,800 tu na kwa mwaka nitalipa shilingi 4800 x 12 = 57,600 tu. hii ni pungufu ukilinganisha na shilingi 200,000 ninayolipa sasa. Yaani nitaokoa shilingi 142,400. Na hapa chukulia kama gari inatembea siku zote. Kama kwa nyakati kadhaa gari halitumiki maana yake ni kwamba kiasi cha Motor Vehicle nitakacholipa kitapungua.

Kwa wale wa Dar es Salaam ambao foleni husababisha matumizi makubwa ya mafuta, twende na mfano huu. Kwa wanaoishi Mbagala, ama Vikindu, ama Kibamba, ama Bunju na wanafanya kazi katikati ya Jiji, hutumia wastani wa lita 70 kwa wiki. Maana yake ni kwamba Motor Vehicle atakayolipa mtu huyo ni kama ifuatavyo; Kwa wiki itakuwa 70 x 40 = 2,800. Kwa mwezi itakuwa 2,800 x 4 = 11,200 na kwa mwaka itakuwa shilingi 11,200 x 12 = 134,400 tu. kwa hali hiyo, mtu mwenye gari kama langu ataokoa shilingi 65,600 kila mwaka iwapo tozo mpya ya Motor Vehicle itapitishwa. Hizi ni hesabu za kitaalam na wewe kama unamiliki gari unaweza kufanya hesabu zako ili kujua utalipa kiasi gani kwa wiki, mwezi na mwaka. Uzuri wa tozo pendekezwa ni kwamba inalipwa kulingana na jinsi unavyolitumia gari lako. Kama weekend una kawaida ya kupumzika basi utaokoa kiasi kikubwa sana cha fedha. Na kama una kawaida ya kupanda daladala siku moja moja ili kuchangamana na jamii kama nifanyavyo mimi basi utaokoa fedha nyingi sana.

Niwasihi Watanzania, tusimezeshwe tu kila kitu. Wengine wanaotumezesha hawajui lolote. Tutumie akili alizotupa Mungu ili kuchanganua mambo.

Nawasilisha
KWA MFANO MIMI NILILIPIA ROAD LICENCE TAREHE 1/5/2017, ENDAPO BAJETI HII IKIPITA MWAKA HUU NITAKUWA NIMELIPIA ROAD LICENCE KUBWA MNO, KWA SABABU KWA KANUNI ZA KIHASIBU, KANUNI YA ACCRUAL NI KWAMBA MWAKA HUU NIMELIPA KWA MIEZI SABA NA MWAKANI PREPAID YA MIEZI MITANO, KITU AMBACHO NIMEKILIPA TAYARI KUANZIA MWAKA HUU HADI MWAKANI , UNATAKA TENA MWEZI WA SABA NIANZE KUUKILIPA KWA KILA LITA MOJA YA MAFUTA NITAYOKUWA NIMETUMIA AIDHA KWENYE GARI YANGU AU KWENYE JENERETA ZA KARIAKOO AU KWENYE MASHINE YA UNGA AU KWENYE KITU CHOCHOTE CHA MAFUTA, HII SIO KUPUNGUZA UGUMU WA MAISHA BALI KUONGEZA, KWENYE COST ACCOUNTING KUNA KITU KINAITWA OVERHEAD ALLOCATION AND ABSORPTION, KILICHOFANYIKA NI KU ALLOCATE NA KUABSORB ROAD LICENCE VIBAYA, KWA MFANO HATUJAAMBIWA 40TZS PER LITRE IMEPIGWAJE KIMAHESABU
 
Aah, hii kodi acha tu iwe absorbed kwenye mafuta make imekuwa ni kero mno. Gari likiwa grounded for any reason, system zao zinaku-debit tu pamoja na penalties zao mpaka deni likujakuwa totally unbearable.

Ukiwajulisha kwa barua kuwa gari liko grounded hawataki kabisa kusikia hilo.

Ambacho siungi mkono ni kuilevy on imported cars, hiyo siyo haki.
GARI IKIWA GROUNDED ILITAKIWA MAPEMA UPELEKE TRAFFIC REPORT NA UWARUDISHIE KADI YAO
 
Mkuu mimi nitalipa 148000 kwa mwaka wakati hapo awali nilikuwa nalipa 250000. Ukichelewa unapigwa penalty, hivyo yaweza kufika laki tatu kasoro. Hivyo kwangu imepungua sana. Isitoshe kulipa kidogo kidogo no nafuu kubwa hata kama ningelipa zaidi.
HAUKO SAHIHI, KUNA AMBAYO UMELIPA MWAKA HUU TAYARI HUJA I CONSIDER
 
Lizaboni: Unaweza kukumbuka tarehe yako ya mwisho ya kutumia akili zako? Huoni hata aibu ndugu yangu kila mtu anauliza hivi huyu Lizaboni ana matatizo gani? Leo atamsifia Karamagi kwa kusaini mkataba na hseria ya madini, kesho ataungana na mzee kwamba tunaibiwa madini, keshokutwa atamsifia Chenge kwa kutuandikia katiba nzuri inayopendekezwa, mtondogoo atasema tena hiyo katiba haifai.
 
Lizaboni: Hivi hii mikataba na sheria bovu za madini huwa hazijadiliwi kwenye baraza la mawaziri? Je, Karamagi na wengineo walitekeleza yote haya bila idhini ya serikali? Bila idhini ya baraza la mawaziri? Nakumbuka Zitto alifukuzwa enzi za Karamagi kwa kuhoji hayahaya na watoa hoja ya kumuwajibisha Zitto kwa kuhoji mikataba kusainiwa hotelini Uingereza walikuwa ni wabunge wa CCM wakiongozwa na Mudhihiri Mudhihiri. Leo wanajiuliza eti tumelogwa na nani? Jibu ni kwamba tumelogwa na CCM.
 
HAUKO SAHIHI, KUNA AMBAYO UMELIPA MWAKA HUU TAYARI HUJA I CONSIDER
OK. Ni mwaka huu tu mkuu. Kuanzia next year hii hali haitakuwepo labda wairudishe mwaka kesho. Hii nimejipigia mimi kwa yule mwenye shangigi au gari la maana linalikula mafuta sana sijui kama ana nafuu. Kagari kangu cc 1900 tu hakali sana wese. Ila mimi iko due September. Hivyo ni miezi michache tu ndiyo nitaliwa. Mimi pia ni mhanga wa magari mawili ambayo yako juu ya mawe nadaiwa zaidi ya mill 2. Gari lingine niliuza na huyo mjinga hakubadili jina bado anatumia jina langu so tra wananidai mimi laki 5. Ukichanganya na hizo za magari mabovu ni zaidi ya mil tatu. So kwangu kufutwa ni ahueni kubwa sana. Na miaka inavyoenda ningedaiwa zaidi. Kustopisha hiyo rodi laisensi lazima ulipe deni ndiyo wangefuta. Sasa mkuu, mil tatu na usawa huu wa magu naupata wapi????
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Jana niliona mjadala wa kitoto ulioanzishwa na Mdude Chadema Nyagali Mwanachama wa CHADEMA. Mjadala huo ulianza kwenye Ukurasa wa Facebook wa Mdude Chadema Nyagali na kusambaa kwenye mitandao mingine. Katika mjadala huo ambao aliuita mazungumzo baina yake na dereva wa Bus linalotoka Dar es Salaam hadi Sumbawanga, alijenga hoja kuwa Tozo ya Motor Vehicle iliyopendekezwa kufutwa na Waziri wa Fedha, Philip Mpango ni nafuu zaidi kuliko inayopendekezwa.

Katika mjadala huo, Mdude alifahamishwa na dereva wake kuwa kwa siku anatumia lita 400 kutoka Dar es Salaam hadi Sumbawanga kwa Bus aina ya Yutong. Tena aliupa uzito mjadala huo kwa kuweka picha ya Bus la Shabiby ambalo sina hakika kama linafanya safari hiyo. Kwa maelezo yake, kwa kuwa gari linatumia lita 400, kwa hali hiyo hadi Sumbawanga Busi hilo litalipa motor vehicle ya shilingi 16,000 kwa maana 400 x 40. Kwa Mwezi atalipa Motor Vehicle ya shilingi 16,000 x 30 = 480,000 na kwa mwaka shilingi 480,000 x 12 = 5,760,000.

Mjadala huo ulivuta hisia za wafuasi wa CHADEMA ambao nao bila kutumia akili ipasavyo, wakaanza kushangilia na kujiona wameshinda. Ni kwa bahati mbaya sana Mdude CHADEMA hajawahi kumiliki hata pilipiki kwa hiyo hajui lolote kuhusu consumption ya mafuta kwenye magari. Binafsi nilijiuliza, je umbali wa kutoka Dar es Salaam hadi Sumbawanga unaweza kutumia lita 400? Kama ni hivyo, je abiria wa huko wanalipa nauli kiasi gani? Twende taratibu.

Mabasi mengi yanatumia wastani wa lita moja Diesel kwa kila kilomita 7 hadi . Na kwenye barabara za Highway, consumption ya mafuta ni tofauti na kwenye maeneo ya mijini. Kwa maana hiyo lita 400 anazotuma huyo dereva ukizidisha mara 7 gari hilo litalazimika kutembea kilomita 2800 ili kumaliza mafuta hayo yaani 7 x 400 = 2,800. Je Umbali wa kutoka Sumbawanga hadi Dar es Salaam unafika kilomita hizo?

Haya tufanye gari hilo ni mkweche kiasi cha kutumia kilomita 5 tu kwa lita moja. Maana yake ni kwamba gari hilo litalazimika kutumia kilomita 2000, hadi kumaliza mafuta yote yaani 5 x 400 = 2000. Je umbali wa kutoka Dar es Salaam hadi Sumbawanga unafikia kilomita 2000?

Basi tuseme Tank la Mafuta la Gari hilo linavuja na kwa hali hiyo hutumia lita moja kwa kila kilomita 3 tu. maana yake ni kwamba 3 x400 ni sawa na kilomita 1,200. Je umbali wa kutoka Sumbawanga hadi Dar unafikia kilomita 1,200?

Baada ya kushirikisha ubongo wangu, nilijiuliza maswali haya? Je Mdude Chadema ana uelewa wa matumizi ya mafuta kwenye magari? Au huyo Dereva anampiga cha juu bosi wake na ndo maana akataja kiasi kikubwa cha mafuta?

Ukweli ni kwamba, Motor Vehicle iliyopendekezwa inapunguza sana gharama na hasa kwa sisi tunaoishi huku mikoani. Mathalan, mimi nikijaza full Tank huku Songea natumia wastani wa siku 18 hafi 25 hadi kwenda tena kituo cha mafuta. Kwa maana gari langu aina ya Toyota Harrier ina CC 2160 na ujazo wa Tank ni lita 65. Na inatumia wastani wa kilomita 8 kwa lita moja. Kwa maana hiyo, kwa lita 65 ili ziishe zote ingawa haijawahi kutokea, nitalazimika kutembea kilomita 520 ambayo kwa mzunguko wa mji wetu wa Songea nitatumia wastani wa siku 18 hadi 25 kumaliza na kama ninazurura sana nitatumia siku zisizopungua 10.

Sasa twende taratibu, lita 65 x 40 = shilingi 2,400. Kwa maana hiyo kila siku 15 nitalipa Motor Vehicle ya shilingi 2,400 tu. kwa Mwezi nitalipa shilingi 4,800 tu na kwa mwaka nitalipa shilingi 4800 x 12 = 57,600 tu. hii ni pungufu ukilinganisha na shilingi 200,000 ninayolipa sasa. Yaani nitaokoa shilingi 142,400. Na hapa chukulia kama gari inatembea siku zote. Kama kwa nyakati kadhaa gari halitumiki maana yake ni kwamba kiasi cha Motor Vehicle nitakacholipa kitapungua.

Kwa wale wa Dar es Salaam ambao foleni husababisha matumizi makubwa ya mafuta, twende na mfano huu. Kwa wanaoishi Mbagala, ama Vikindu, ama Kibamba, ama Bunju na wanafanya kazi katikati ya Jiji, hutumia wastani wa lita 70 kwa wiki. Maana yake ni kwamba Motor Vehicle atakayolipa mtu huyo ni kama ifuatavyo; Kwa wiki itakuwa 70 x 40 = 2,800. Kwa mwezi itakuwa 2,800 x 4 = 11,200 na kwa mwaka itakuwa shilingi 11,200 x 12 = 134,400 tu. kwa hali hiyo, mtu mwenye gari kama langu ataokoa shilingi 65,600 kila mwaka iwapo tozo mpya ya Motor Vehicle itapitishwa. Hizi ni hesabu za kitaalam na wewe kama unamiliki gari unaweza kufanya hesabu zako ili kujua utalipa kiasi gani kwa wiki, mwezi na mwaka. Uzuri wa tozo pendekezwa ni kwamba inalipwa kulingana na jinsi unavyolitumia gari lako. Kama weekend una kawaida ya kupumzika basi utaokoa kiasi kikubwa sana cha fedha. Na kama una kawaida ya kupanda daladala siku moja moja ili kuchangamana na jamii kama nifanyavyo mimi basi utaokoa fedha nyingi sana.

Niwasihi Watanzania, tusimezeshwe tu kila kitu. Wengine wanaotumezesha hawajui lolote. Tutumie akili alizotupa Mungu ili kuchanganua mambo.

Nawasilisha
Buku 7 mpk umenunua gari ebu fanya mpango muongezewe posho ununue treni au ujenge kiwanda cha makinia tu
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Jana niliona mjadala wa kitoto ulioanzishwa na Mdude Chadema Nyagali Mwanachama wa CHADEMA. Mjadala huo ulianza kwenye Ukurasa wa Facebook wa Mdude Chadema Nyagali na kusambaa kwenye mitandao mingine. Katika mjadala huo ambao aliuita mazungumzo baina yake na dereva wa Bus linalotoka Dar es Salaam hadi Sumbawanga, alijenga hoja kuwa Tozo ya Motor Vehicle iliyopendekezwa kufutwa na Waziri wa Fedha, Philip Mpango ni nafuu zaidi kuliko inayopendekezwa.

Katika mjadala huo, Mdude alifahamishwa na dereva wake kuwa kwa siku anatumia lita 400 kutoka Dar es Salaam hadi Sumbawanga kwa Bus aina ya Yutong. Tena aliupa uzito mjadala huo kwa kuweka picha ya Bus la Shabiby ambalo sina hakika kama linafanya safari hiyo. Kwa maelezo yake, kwa kuwa gari linatumia lita 400, kwa hali hiyo hadi Sumbawanga Busi hilo litalipa motor vehicle ya shilingi 16,000 kwa maana 400 x 40. Kwa Mwezi atalipa Motor Vehicle ya shilingi 16,000 x 30 = 480,000 na kwa mwaka shilingi 480,000 x 12 = 5,760,000.

Mjadala huo ulivuta hisia za wafuasi wa CHADEMA ambao nao bila kutumia akili ipasavyo, wakaanza kushangilia na kujiona wameshinda. Ni kwa bahati mbaya sana Mdude CHADEMA hajawahi kumiliki hata pilipiki kwa hiyo hajui lolote kuhusu consumption ya mafuta kwenye magari. Binafsi nilijiuliza, je umbali wa kutoka Dar es Salaam hadi Sumbawanga unaweza kutumia lita 400? Kama ni hivyo, je abiria wa huko wanalipa nauli kiasi gani? Twende taratibu.

Mabasi mengi yanatumia wastani wa lita moja Diesel kwa kila kilomita 7 hadi . Na kwenye barabara za Highway, consumption ya mafuta ni tofauti na kwenye maeneo ya mijini. Kwa maana hiyo lita 400 anazotuma huyo dereva ukizidisha mara 7 gari hilo litalazimika kutembea kilomita 2800 ili kumaliza mafuta hayo yaani 7 x 400 = 2,800. Je Umbali wa kutoka Sumbawanga hadi Dar es Salaam unafika kilomita hizo?

Haya tufanye gari hilo ni mkweche kiasi cha kutumia kilomita 5 tu kwa lita moja. Maana yake ni kwamba gari hilo litalazimika kutumia kilomita 2000, hadi kumaliza mafuta yote yaani 5 x 400 = 2000. Je umbali wa kutoka Dar es Salaam hadi Sumbawanga unafikia kilomita 2000?

Basi tuseme Tank la Mafuta la Gari hilo linavuja na kwa hali hiyo hutumia lita moja kwa kila kilomita 3 tu. maana yake ni kwamba 3 x400 ni sawa na kilomita 1,200. Je umbali wa kutoka Sumbawanga hadi Dar unafikia kilomita 1,200?

Baada ya kushirikisha ubongo wangu, nilijiuliza maswali haya? Je Mdude Chadema ana uelewa wa matumizi ya mafuta kwenye magari? Au huyo Dereva anampiga cha juu bosi wake na ndo maana akataja kiasi kikubwa cha mafuta?

Ukweli ni kwamba, Motor Vehicle iliyopendekezwa inapunguza sana gharama na hasa kwa sisi tunaoishi huku mikoani. Mathalan, mimi nikijaza full Tank huku Songea natumia wastani wa siku 18 hafi 25 hadi kwenda tena kituo cha mafuta. Kwa maana gari langu aina ya Toyota Harrier ina CC 2160 na ujazo wa Tank ni lita 65. Na inatumia wastani wa kilomita 8 kwa lita moja. Kwa maana hiyo, kwa lita 65 ili ziishe zote ingawa haijawahi kutokea, nitalazimika kutembea kilomita 520 ambayo kwa mzunguko wa mji wetu wa Songea nitatumia wastani wa siku 18 hadi 25 kumaliza na kama ninazurura sana nitatumia siku zisizopungua 10.

Sasa twende taratibu, lita 65 x 40 = shilingi 2,400. Kwa maana hiyo kila siku 15 nitalipa Motor Vehicle ya shilingi 2,400 tu. kwa Mwezi nitalipa shilingi 4,800 tu na kwa mwaka nitalipa shilingi 4800 x 12 = 57,600 tu. hii ni pungufu ukilinganisha na shilingi 200,000 ninayolipa sasa. Yaani nitaokoa shilingi 142,400. Na hapa chukulia kama gari inatembea siku zote. Kama kwa nyakati kadhaa gari halitumiki maana yake ni kwamba kiasi cha Motor Vehicle nitakacholipa kitapungua.

Kwa wale wa Dar es Salaam ambao foleni husababisha matumizi makubwa ya mafuta, twende na mfano huu. Kwa wanaoishi Mbagala, ama Vikindu, ama Kibamba, ama Bunju na wanafanya kazi katikati ya Jiji, hutumia wastani wa lita 70 kwa wiki. Maana yake ni kwamba Motor Vehicle atakayolipa mtu huyo ni kama ifuatavyo; Kwa wiki itakuwa 70 x 40 = 2,800. Kwa mwezi itakuwa 2,800 x 4 = 11,200 na kwa mwaka itakuwa shilingi 11,200 x 12 = 134,400 tu. kwa hali hiyo, mtu mwenye gari kama langu ataokoa shilingi 65,600 kila mwaka iwapo tozo mpya ya Motor Vehicle itapitishwa. Hizi ni hesabu za kitaalam na wewe kama unamiliki gari unaweza kufanya hesabu zako ili kujua utalipa kiasi gani kwa wiki, mwezi na mwaka. Uzuri wa tozo pendekezwa ni kwamba inalipwa kulingana na jinsi unavyolitumia gari lako. Kama weekend una kawaida ya kupumzika basi utaokoa kiasi kikubwa sana cha fedha. Na kama una kawaida ya kupanda daladala siku moja moja ili kuchangamana na jamii kama nifanyavyo mimi basi utaokoa fedha nyingi sana.

Niwasihi Watanzania, tusimezeshwe tu kila kitu. Wengine wanaotumezesha hawajui lolote. Tutumie akili alizotupa Mungu ili kuchanganua mambo.

Nawasilisha
lizabin wewe n boya sijawahi ona
sumbawanga to dar sio chini ya Lita 350_400
 
MIMI
OK. Ni mwaka huu tu mkuu. Kuanzia next year hii hali haitakuwepo labda wairudishe mwaka kesho. Hii nimejipigia mimi kwa yule mwenye shangigi au gari la maana linalikula mafuta sana sijui kama ana nafuu. Kagari kangu cc 1900 tu hakali sana wese. Ila mimi iko due September. Hivyo ni miezi michache tu ndiyo nitaliwa. Mimi pia ni mhanga wa magari mawili ambayo yako juu ya mawe nadaiwa zaidi ya mill 2. Gari lingine niliuza na huyo mjinga hakubadili jina bado anatumia jina langu so tra wananidai mimi laki 5. Ukichanganya na hizo za magari mabovu ni zaidi ya mil tatu. So kwangu kufutwa ni ahueni kubwa sana. Na miaka inavyoenda ningedaiwa zaidi. Kustopisha hiyo rodi laisensi lazima ulipe deni ndiyo wangefuta. Sasa mkuu, mil tatu na usawa huu wa magu naupata wapi????
NIMEPIGA NIKIISHI UMBALI WA KILOMETRE 25 KUTOKA KAZINI KWA MWAKA NITALIPIA 148,000/= HII NI KWA MATUMIZI YA GARI YANGU TU, SIJAJUA KWENYE MATUMIZI YA BIDHAA ZINGINE, ILA IKITOKEA NIKAHAMA HAPA NINAPOISHI NIKAENDA MAYBE 35KM AWAY FROM MY WORKING PLACE INAKULA KWANGU
 

Similar Discussions

18 Reactions
Reply
Back
Top Bottom