skfull
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 2,944
- 2,376
Nimegundua kuwa mleta uzi amekuja kishabiki zaidi ila kwa msaada kidogo tuu ni kwamba bus sio sawa na Harrier yake inayo tembea km 7 kwa lita ajue tu kuwa bus lina matumizi ya Juu kuliko gari yake na mtu anae mtaja yeye amefuata maelezo ya Dereva wa bus halafu kuhusu umbali kutoka mkoa wa Dar es salaam mpaka Sumbawanga kuna km 1411 mtoa mada jiongeze ili ukirudi maswali yako ujue pa kuyaelekeza