Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,104
- 9,205
Yani Bora Nafuu Ya CCM kuliko hii CHADEMA takataka kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Halima James Mdee
Kikubwa ninachompongeza huyu DOGO,alishtukia MIAKA 5 inakatika wa TZ hawajui kama kuna MBUNGE anaitwa MWAMBE😂..na Bunge LIVE ndio kama hivyo HALIPO...ALIJUA akijitosa KUCHUANA na MWAMBA kungempaisha japo KIDUCHU!! Si haba kwa kweli..kwa hilo amewezamo japo kidogo!!😂
Darmpya
"Mhe. Mwenyekiti (Freeman Mbowe) aliongoza vikao mfululizo kwa nafasi yake(Mwenyekiti), na muda wote vikao hivyo vilikuwa ni sehemu ya kampeni, kuongea na wanachama kwa nyakati tofauti, halafu mimi nikapewa dakika 5 niombe kura na maswali matatu, jumla dakika 8" Mhe. Cecil Mwambe
Sent using Jamii Forums mobile app