Jakubumba
JF-Expert Member
- Mar 5, 2011
- 1,624
- 500
Bwanamdogo Kapotolo
hakuna anayeshindana hapa, tunazungumza. Mimi kuzungumza na mbunge wangu wewe inakuuma nini? Umeamkaje hata hivyo?
Hivi huyu nae ana wabunge wake??????? Hii nchi ni ya ajabu sana! Hii ni mojawapo ya dhalau za viongozi wetu, jk ana wabunge wake! Na wewe una wako pia? Uuuii ee mola!