miss username
Member
- Mar 30, 2013
- 78
- 28
Mwaka
2011 nilichaguliwa kujiunga na chuo kikuu kimoja hapa jijini Mwanza kwa
kozi ya Education.
Nilibahatika kupata mkopo ila sikuwaeleza nyumbani kwamba nimepata
ufadhili kutoka heslb.
Nilifanya hivyo kwani najua baba yangu anao uwezo wa kunilipia tution
fee pamoja na matumizi mengine ya kichuo.
Hivyo my baba ambaye yeye yuko Dar huwa ananitumia pesa za mahitaji yote
ya chuo ninayo hitaji.
Tukapewa bum kwa awamu ya kwanza kabisa ambayo ilikuwa laki saba na
ushee pia baba akanitumia hela ya ada ambayo ilikuwa laki saba na
arobaini na tano. Kati ya hizo pesa za ada nililipa kiasi cha laki mbili
tu hivyo nuikabakiwa na kiasi kikubwa tu cha pesa.
Nakumbuka mwezi wa kumi na moja 2011 nilikuwa na zaidi ya milioni na
nusu kwenye akaunti yangu ya NMB niliyoifungua special for my own
savings.
Pesa yote hiyo nilianzisha vibiashara vidogo vidogo ambavyo mpaka sasa
vinanipatia faida si chini ya laki tatu na ushee
Kupitia heslb peke yake mpaka leo namalizia mwaka wa pili nimesave kama
milion 5 bado faida yangu ya kila mwezi laki 3 na malupulupu mengine
kutoka kwa mzee na ukizingatia mimi sio mtu wa starehe wala sio sista du.
Vipodoz vyangu ni poda na lip shiner nywele zangu natural situmii mawigi hata siku moja. Vyakula vyangu ugali makande ubwabwa na chips kwa mbali.
Milioni saba hela ndogo sana msishangae ukiamua unaweza
2011 nilichaguliwa kujiunga na chuo kikuu kimoja hapa jijini Mwanza kwa
kozi ya Education.
Nilibahatika kupata mkopo ila sikuwaeleza nyumbani kwamba nimepata
ufadhili kutoka heslb.
Nilifanya hivyo kwani najua baba yangu anao uwezo wa kunilipia tution
fee pamoja na matumizi mengine ya kichuo.
Hivyo my baba ambaye yeye yuko Dar huwa ananitumia pesa za mahitaji yote
ya chuo ninayo hitaji.
Tukapewa bum kwa awamu ya kwanza kabisa ambayo ilikuwa laki saba na
ushee pia baba akanitumia hela ya ada ambayo ilikuwa laki saba na
arobaini na tano. Kati ya hizo pesa za ada nililipa kiasi cha laki mbili
tu hivyo nuikabakiwa na kiasi kikubwa tu cha pesa.
Nakumbuka mwezi wa kumi na moja 2011 nilikuwa na zaidi ya milioni na
nusu kwenye akaunti yangu ya NMB niliyoifungua special for my own
savings.
Pesa yote hiyo nilianzisha vibiashara vidogo vidogo ambavyo mpaka sasa
vinanipatia faida si chini ya laki tatu na ushee
Kupitia heslb peke yake mpaka leo namalizia mwaka wa pili nimesave kama
milion 5 bado faida yangu ya kila mwezi laki 3 na malupulupu mengine
kutoka kwa mzee na ukizingatia mimi sio mtu wa starehe wala sio sista du.
Vipodoz vyangu ni poda na lip shiner nywele zangu natural situmii mawigi hata siku moja. Vyakula vyangu ugali makande ubwabwa na chips kwa mbali.
Milioni saba hela ndogo sana msishangae ukiamua unaweza