Majibizano ya risasi kwa dakika 35: Ina maana Polisi wamefundishwa kuzima risasi na kuzikwepa?

Mimi sizungumzii ukweli wa tukio lakini nazungumzia uwezekano wa tukio. Hapa nina maana kuwa uwezekano wa kurushiana risasi na adui kwa dakika 35 au hata zaidi na upande mmoja ukatoka bila jeraha upo (japo inawezekana haikuwa hivyo kwenye hili tukio). Unasema umeenda jeshini, sidhani kama ni kweli. Kwa kifupi ni kuwa siyo lazima muda wote wa dakika 35 risasi ziwe zinapigwa. Inawekana muda mrefu ikawa ni kuliana time na kufyatua risasi moja moja huku wahusika wakijihadhari kuwakaribia majambazi. Na ukumbuke polisi wanakuwa tayari na taarifa hivyo wanakuwa wame-take cover vizuri sana.

Kwanini unapinga kuwa ajapita jeshini.. ?




Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kiufupi hapo hata kama majambazi walipiga risasi tano, polisi wao wakiwakamata wanawamalizia kabisa then ndio sinema ya kutinga kuwa walitushambulia risasi nyingi imaanzia hapo baada ya watuhumiwa kufa. "Utaambiwa wamepiga risasi kama 300 wakati ukienda eneo la tukio utaokota maganda 2. Then mita 500 sio rahisi kumpiga mtu risasi hasa anaekimbia, huyo Chris Kyle mwenyewe hajawahi kufanya!
Hii sinema

cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ
cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ
cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ
 
Taarifa ya RPC Arusha imenishangaza sana. Kuwa walipata taarifa kuwa kuna watu wanataka kwenda kufanya ujambazi. Wakawafuatilia na walipo wasimamisha, watuhumiwa wa ujambazi wakaanza kurusha risasi. Hivyo wakaanza kujibizana risasi anasema kwa dakika 35! Baada ya hapo polisi imara na wakakamavu na wakitumia silaha za kisasa wakawaua majambazi 4 na mwingine alitaka kukimbia baada ya mita 500 wakampiga risasi. Kwahiyo jumla waliua watu watano na inadaiwa ilikuwa usiku saa 3

Hivi kurushiana risasi kwa dakika 35 si movie kubwa sana ya kivita? Wao polisi walikwepaje risasi zote zilizomwagwa na watuhumiwa wa ujambazi. Nimeenda jeshini najua kwa kiasi fulani kuhusu bunduki lakini hapa pameniacha bumbuwazi. Ni vipi unaweza kukwepa risasi. Au watuhumiwa wa ujambazi walikuwa wanarusha risasi hewani. Je ni risasi ngapi zilimwagwa hapo?

Sent using Jamii Forums mobile app
usanii wa kaole sanaa group

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini Polisi hao hao walishindwa kumkamata Mwaiposa KIA, wakaweka Vizuizi hadi Dar lakini wakaambulia patupu. Jamaa akafika Dar, akala, akanywa, akaoga, akalala na mke wake, kesho yake akaamka akajiandaa kwenda Kanisani kwake. Akafika, akaingia, wakasalimiana, akatoa briefing, akaingia Kanisani akawasalimia waumini wake, akawaaga, akaondoka kuelekea Polisi sasa akiwa ameshiba.

Hakukamatwa hadi alipofika kituo cha Polisi ndio "wakamkamata"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taarifa ya RPC Arusha imenishangaza sana. Kuwa walipata taarifa kuwa kuna watu wanataka kwenda kufanya ujambazi. Wakawafuatilia na walipo wasimamisha, watuhumiwa wa ujambazi wakaanza kurusha risasi. Hivyo wakaanza kujibizana risasi anasema kwa dakika 35! Baada ya hapo polisi imara na wakakamavu na wakitumia silaha za kisasa wakawaua majambazi 4 na mwingine alitaka kukimbia baada ya mita 500 wakampiga risasi. Kwahiyo jumla waliua watu watano na inadaiwa ilikuwa usiku saa 3

Hivi kurushiana risasi kwa dakika 35 si movie kubwa sana ya kivita? Wao polisi walikwepaje risasi zote zilizomwagwa na watuhumiwa wa ujambazi. Nimeenda jeshini najua kwa kiasi fulani kuhusu bunduki lakini hapa pameniacha bumbuwazi. Ni vipi unaweza kukwepa risasi. Au watuhumiwa wa ujambazi walikuwa wanarusha risasi hewani. Je ni risasi ngapi zilimwagwa hapo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Polisi wetu ni majambazi, wauaji na haelimiki. Kumbuka kesi ya Zombe na wenzake ndio haya yanayoendelea
 
police ana ujuzi, jambazi hana, pia jambazi anaishiwa risasi polisi wana risasi nyingi
anyway mimi pia huwa kuna muda sielewi


Sent from my iPhone using JamiiForums
Polisi eti wana risasi, wana ujuzi alafu kwa dakika 35 wanashindwa kumuua au kumkamata jambazi asiekua na risasi sio? Basi hao polisi na sawa na raia tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jiongeze Kidogo
Kuna Mtangazaji Wa RTD Kwasaaa Ndiyo TBC
Alikuwa Anaitwa Ben Kiko
Akisimulia Jambo Kwenye Habari Kama Na Wewe Mwenyewe Unaona Kumbe Ni Radio
Namjua huyu jamaa. Nimekutana nae mara moja enzi hizo nikiwa mdogo. Nikatambulishwa huyu ni Ben Kiko mtangazaji wa RTD. Ukikutana nae live utadhani siyo yeye mtangazaji machachari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cha kushangaza zaidi ni saraha walizikutwa nazo hao 'majambazi', bastola moja na shotgun moja, watu watano wamezitumia hizo tu kupambana na polisi wenye SMG kwa dakika 35! kinachofanyika sikuhizi ni extrajudicial executions.
Wewe ni mjinga, ukiambiwa walipambana dk 35 sio maana yake muda wote risasi zinapigwa tu tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikujuze tu, ndugu.

Hiyo ni muda wa makadilio kuanzia time waliopoanza hadi walipo maliza mapigano. Haimaanishi kila sekunde iliyokuwa ina pita ilikwenda na risasi kadhaaaa.

Hapo, ni piga take cover, unasikilizia. Unasoma adui wako ameekaaje. Mbinu hutumika. Ushindi ktk uwanja wa mapigano unaambatana na mbinu sio tu kujua ku koki na kufungulia mapigo.


Swali, unadhan wanavyo sema, vita ilichukua miaka miwili, humaanisha, kila sekunde, dakika, masaaa, siku, wiki, miezi na mwaka risasi zili rindima??

Changes
Alafu anakuambia alipita jeshi kidogo, alivyokuwa mjinga sijui jeshi gani alipita huyu! Labda la sungusungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika maswala ya kiusalama wa Inchi si lazima kueleza kila kitu.
Ni kweli kwa mamlaka aliyopewa na katiba, Rais anamamlaka ya kupoteza watu wachache ili aokoe wengi bila kutoa sababu ya kufanya hivyo.
Kuua ni kosa la jinai , lakini Polisi wanaruhusiwa kuua kwa mtu yeyote ambaye anahatarisha uhai wa watu wengi. Polisi Haambiwi usiue hata kama yule mtu ana silaha kwa lengo la kuua.
 
Wewe ni mjinga, ukiambiwa walipambana dk 35 sio maana yake muda wote risasi zinapigwa tu tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Usijaribu kujiunga na makundi ya Ujambazi na mkifumaniwa ukaanza kujibishana nao kwa RISASI utapoteza maisha.Hao Polisi hiyo ni kazi yao na wanapatiwa mafunzo ya Mara kwa Mara kupambana na wahalifu.Hivyo majambazi chuo chao kilo wapi?
UHARIFU HAULIPI CHOCHOTE.Wapo Wengi walivuma lakini sasa WaPo wapi?Jiulize.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taarifa ya RPC Arusha imenishangaza sana. Kuwa walipata taarifa kuwa kuna watu wanataka kwenda kufanya ujambazi. Wakawafuatilia na walipo wasimamisha, watuhumiwa wa ujambazi wakaanza kurusha risasi.

Hivyo wakaanza kujibizana risasi anasema kwa dakika 35! Baada ya hapo polisi imara na wakakamavu na wakitumia silaha za kisasa wakawaua majambazi 4 na mwingine alitaka kukimbia baada ya mita 500 wakampiga risasi. Kwahiyo jumla waliua watu watano na inadaiwa ilikuwa usiku saa 3

Hivi kurushiana risasi kwa dakika 35 si movie kubwa sana ya kivita? Wao polisi walikwepaje risasi zote zilizomwagwa na watuhumiwa wa ujambazi.

Nimeenda jeshini najua kwa kiasi fulani kuhusu bunduki lakini hapa pameniacha bumbuwazi. Ni vipi unaweza kukwepa risasi. Au watuhumiwa wa ujambazi walikuwa wanarusha risasi hewani. Je ni risasi ngapi zilimwagwa hapo?

Sent using Jamii Forums mobile app
kila risasa moja ilikuwa inapigwa baada ya dakika saba, ni vijirisasi vichache ukigawanya kwa mda huo nne zimeua
 
Taarifa ya RPC Arusha imenishangaza sana. Kuwa walipata taarifa kuwa kuna watu wanataka kwenda kufanya ujambazi. Wakawafuatilia na walipo wasimamisha, watuhumiwa wa ujambazi wakaanza kurusha risasi.

Hivyo wakaanza kujibizana risasi anasema kwa dakika 35! Baada ya hapo polisi imara na wakakamavu na wakitumia silaha za kisasa wakawaua majambazi 4 na mwingine alitaka kukimbia baada ya mita 500 wakampiga risasi. Kwahiyo jumla waliua watu watano na inadaiwa ilikuwa usiku saa 3

Hivi kurushiana risasi kwa dakika 35 si movie kubwa sana ya kivita? Wao polisi walikwepaje risasi zote zilizomwagwa na watuhumiwa wa ujambazi.

Nimeenda jeshini najua kwa kiasi fulani kuhusu bunduki lakini hapa pameniacha bumbuwazi. Ni vipi unaweza kukwepa risasi. Au watuhumiwa wa ujambazi walikuwa wanarusha risasi hewani. Je ni risasi ngapi zilimwagwa hapo?

Sent using Jamii Forums mobile app

Nadhani mojawapo ya mbinu za kivita ni kutompa mwenzio nafasi ya kujua uharibifu alioufanya kwako. Kwa kusema wameuawa wangap ni kuonesha udhaifu wa jeshi. kwa mfano Iran alipopiga kambi ya Marekani pale Iraq kwa akili ya kujiuliza unaweza jua tu kuna watu walipoteza maisha kwa kuwa kambi ile ilikuwa inakaliwa na watu na hawakuondolewa lakini hujamsikia hata siku moja marekani analalamika kuwa wameua wanajeshi wake pale kwa anajua akilalamika Iran watapata sifa vichwa vitajaa kuwa nao wamelipa.
 
Back
Top Bottom