Majibizano kati ya Askofu Mwamakula na Profesa Lwaitama

Mleta mada kwanza wewe mwongo wa kutupwa Lwaitama hajawahi kuwa Profesa maisha yake yote ni Doctor Rwaitama hakuwa na uwezo wa kuwa Profesa sababu kichwa chake hakikuwa na uwezo huo kastaafu akiwa Doctor tu.

Sasa maadamu umeanza na uwongo taarifa yako yote inapiteza credibility!

Halafu ona wanavyojitia Eti Corona ipo watu wachukue hatua wamevaa barakoa!!! lakini kwa kuwa uwezo wao mdogo wa uelewa wamesahau kwenye hilo igizo lao la kizeee kukaa umbali wa mita moja katikati yao wamebanana!! hii picha kama lengo ni kuonyesha wanapambana na Corona kujikinga imekaa kimaigizo zaidi.

Corona social distance muhimu mbona hapo wamebanana kama Bwana ba bibi Harusi ?Askofu mfanya maigizo at work.Tukimwambia baki kanisani tu hajielewi huku nje maigizo yatakuumbua.

Nyie vikongwe maigizo hayafai umri huo
Hivi magu. an a PhD ya Nini vile.
 
Uongozi wa awamu hii yawezekana si kwa mkono wa Mungu Baba Mwenyezi !! Kuna kila viashiria tosha kwamba huwenda ukawa haukutokana naye....!

na mimi natamka wazi kwamba "Mwanakondo wa ameshindaaaa......."
 
Kwani hao mashekhe walifungwa kipindi anaongoza mkristo au muislam? kama lawama mtupieni JK ila ukweli tuuseme tu mashekhe ni waoga sana wanaogopa hafi vivuli vyao isipokuwa Shehe ponda tu
Kuna masheikh walifungwa wakati wa nyerere. Wakati wa mwinyi. Wakati wa mkapa. Hakuna wakati wa kikwete isipokua wale wa uamsho lakini walikamatwa na SMZ sio JMT
NA Kwa sasa Ndio masheikh wengi sana wanakamatwa wakati wa utawala huu wa Magufuli halafu hakuna tena kesi kusomwa mahakamani
Wakati wa jakaya kila mtu alikua akikamatwa shauri lake lilikua linapelekwa kortini lakini huyu jamaa anakutupa ufute huko kama wewe ni muislamu
 
Hao masheikh wa Uamsho waliwekwa jela enzi ya utawala wa nani kama sio JK, ukilia uwe na sababu.
Mkuu masheikh wengi wamekamatwa kipindi hiki kuliko hao wa uamsho
Na wale wa uamsho walikamatwa na SMZ kabla lakini sio JMT
Na kesi zao zilikua zinaendelea jamaa alivyoingia amelazimisha kesi zisimame ili wafie jela
Hakuna mtu anataka waachiwe Bali tunataka shauri Lao lirudishwe kortini
Ndio maana viongozi waandamizi walienda mpaka chato kupiga magoti masheikh kesi zao zirudi mahakamani lakini jamaa bila huruma pamoja na kupiga magoti kasema labda nifikirie kwanza
 
MAJIBIZANO KATI YA ASKOFU MWAMAKULA NA PROFESA LWAITAMA!

Baada ya Askofu Mwamakula kuposti katika ukurasa wake taarifa za mwanaharakati nguli wa Haki za Binadamu, Mama Helen Kijo-Bisimba kuunga mkono kampeni za "Matembezi ya Hiyari" ya Tume Huru ya Uchaguzi na Katiba Mpya, watu mbalimbali wametoa hisia zao akiwemo Prof. Azaveli Lwaitama! Yafuatayo na majibizano mafupi Kati yake na Askofu Mwamakula:

Prof. LWAITAMA: Ahaha!! Baba Askofu kweli wewe na wenzako wachache unaanza kuwa na ujasiri kama wa Askofu Desmond Tutu wa Afrika ya Kusini kipindi hiki Tanzania inapozidi kusonga mbele kwenye Harakati za Ukombozi Aaamu ya Pili. Asante sana kwa kujitoa muhanga huku Maskofu wetu na Masheikh wetu wachache!!

Askofu Mwamakula: Azaveli Lwaitama ha ha ha! Profesa! Ukweli ni kuwa Mungu hatarajii kitu kingine chochote zaidi ya kuona watu wakitenda haki katika uso wa nchi (Mika 6:8)!

Je, ni nini mtazamo wako kuona Mama huyu kuunga mkono kampeni hizi katika utu uzima wake? Unawaza nini kuhusu haki katika uso wa nchi? Unafikiri ni nguvu ya kibinadamu iliyo nyuma ya vuguvugu hili? Unafikiri wanaopambana na vuguvugu hili wanajua nguvu iliyoko nyuma yake?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!

Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula

View attachment 1712074
Kuna Mhuni Mmoja anajiita Mchungaji leo kajipendekeza sana kwa Jiwe
 
MAJIBIZANO KATI YA ASKOFU MWAMAKULA NA PROFESA LWAITAMA!

Baada ya Askofu Mwamakula kuposti katika ukurasa wake taarifa za mwanaharakati nguli wa Haki za Binadamu, Mama Helen Kijo-Bisimba kuunga mkono kampeni za "Matembezi ya Hiyari" ya Tume Huru ya Uchaguzi na Katiba Mpya, watu mbalimbali wametoa hisia zao akiwemo Prof. Azaveli Lwaitama! Yafuatayo na majibizano mafupi Kati yake na Askofu Mwamakula:

Prof. LWAITAMA: Ahaha!! Baba Askofu kweli wewe na wenzako wachache unaanza kuwa na ujasiri kama wa Askofu Desmond Tutu wa Afrika ya Kusini kipindi hiki Tanzania inapozidi kusonga mbele kwenye Harakati za Ukombozi Aaamu ya Pili. Asante sana kwa kujitoa muhanga huku Maskofu wetu na Masheikh wetu wachache!!

Askofu Mwamakula: Azaveli Lwaitama ha ha ha! Profesa! Ukweli ni kuwa Mungu hatarajii kitu kingine chochote zaidi ya kuona watu wakitenda haki katika uso wa nchi (Mika 6:8)!

Je, ni nini mtazamo wako kuona Mama huyu kuunga mkono kampeni hizi katika utu uzima wake? Unawaza nini kuhusu haki katika uso wa nchi? Unafikiri ni nguvu ya kibinadamu iliyo nyuma ya vuguvugu hili? Unafikiri wanaopambana na vuguvugu hili wanajua nguvu iliyoko nyuma yake?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!

Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula

View attachment 1712074
Huyu askofu ana special seat katika ufalme wa Mungu Baba Mwenyezi
 
Mleta mada kwanza wewe mwongo wa kutupwa Lwaitama hajawahi kuwa Profesa maisha yake yote ni Doctor Rwaitama hakuwa na uwezo wa kuwa Profesa sababu kichwa chake hakikuwa na uwezo huo kastaafu akiwa Doctor tu.

Sasa maadamu umeanza na uwongo taarifa yako yote inapiteza credibility!

Halafu ona wanavyojitia Eti Corona ipo watu wachukue hatua wamevaa barakoa!!! lakini kwa kuwa uwezo wao mdogo wa uelewa wamesahau kwenye hilo igizo lao la kizeee kukaa umbali wa mita moja katikati yao wamebanana!! hii picha kama lengo ni kuonyesha wanapambana na Corona kujikinga imekaa kimaigizo zaidi.

Corona social distance muhimu mbona hapo wamebanana kama Bwana ba bibi Harusi ?Askofu mfanya maigizo at work.Tukimwambia baki kanisani tu hajielewi huku nje maigizo yatakuumbua.

Nyie vikongwe maigizo hayafai umri huo.
Wewe ndio Poyoyo kweli kweli, by the time anastaafu Lawaitama wa already ana associate Prof, Mwalimu wangu yule...
 
MAJIBIZANO KATI YA ASKOFU MWAMAKULA NA PROFESA LWAITAMA!

Baada ya Askofu Mwamakula kuposti katika ukurasa wake taarifa za mwanaharakati nguli wa Haki za Binadamu, Mama Helen Kijo-Bisimba kuunga mkono kampeni za "Matembezi ya Hiyari" ya Tume Huru ya Uchaguzi na Katiba Mpya, watu mbalimbali wametoa hisia zao akiwemo Prof. Azaveli Lwaitama! Yafuatayo na majibizano mafupi Kati yake na Askofu Mwamakula:

Prof. LWAITAMA: Ahaha!! Baba Askofu kweli wewe na wenzako wachache unaanza kuwa na ujasiri kama wa Askofu Desmond Tutu wa Afrika ya Kusini kipindi hiki Tanzania inapozidi kusonga mbele kwenye Harakati za Ukombozi Aaamu ya Pili. Asante sana kwa kujitoa muhanga huku Maskofu wetu na Masheikh wetu wachache!!

Askofu Mwamakula: Azaveli Lwaitama ha ha ha! Profesa! Ukweli ni kuwa Mungu hatarajii kitu kingine chochote zaidi ya kuona watu wakitenda haki katika uso wa nchi (Mika 6:8)!

Je, ni nini mtazamo wako kuona Mama huyu kuunga mkono kampeni hizi katika utu uzima wake? Unawaza nini kuhusu haki katika uso wa nchi? Unafikiri ni nguvu ya kibinadamu iliyo nyuma ya vuguvugu hili? Unafikiri wanaopambana na vuguvugu hili wanajua nguvu iliyoko nyuma yake?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!

Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula

View attachment 1712074
Vipanga tu hawa jamaa
 
Back
Top Bottom