JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,388
- 9,659
Hili swala Maji ni Kama laana kwa viongozi wetu. Kiufupi, viongozi wamelaaniwa.
Wala hawawezi kuelewa mambo ya msingi. Kwa teknolojia ya sasa Maji ya mto ni kwa matumizi ya kilimo cha umwagiliaji (Irrigation) sio matumizi ya maji ya kunywa. Mito hukauka.
Maji ya kunywa yapo ardhini, baharini na au kwenye maziwa.
Kwa hapa nchini maji toka ardhini yapo Dodoma. Kuna visima kule mzakwe na mdemo. Visima vilichimbwa wakati wa mkoloni nadhani viliongezwa.
Hapa Dar serikali ilichimba kogamboni ambayo sasa ndio yameamliwa yaingizwe kwenye mfumo wa dawasa. Serikali ikiamua kuchimba maji ya ardhini, table water maji yanatosha kabisa. Nasema Tena maji yapo, tatizo uongozi.
Wala hawawezi kuelewa mambo ya msingi. Kwa teknolojia ya sasa Maji ya mto ni kwa matumizi ya kilimo cha umwagiliaji (Irrigation) sio matumizi ya maji ya kunywa. Mito hukauka.
Maji ya kunywa yapo ardhini, baharini na au kwenye maziwa.
Kwa hapa nchini maji toka ardhini yapo Dodoma. Kuna visima kule mzakwe na mdemo. Visima vilichimbwa wakati wa mkoloni nadhani viliongezwa.
Hapa Dar serikali ilichimba kogamboni ambayo sasa ndio yameamliwa yaingizwe kwenye mfumo wa dawasa. Serikali ikiamua kuchimba maji ya ardhini, table water maji yanatosha kabisa. Nasema Tena maji yapo, tatizo uongozi.