sajosojo
JF-Expert Member
- Apr 14, 2010
- 1,017
- 619
tatizo la umeme tanzania sasa ni janga la kitaifa.......wewe na mimi kama wananchi wazalendo wa nchi hii tuisaidie serikali katika kufikia njia sahihi za kutuepusha katika janga hili. Toa mawazo yako nini kifanyike na sioi kulaumu tu kwani maji yakishamwagika hayazoleki