Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,619
- 26,020
Na hii covid-19 hawa nyang'au sijui watanawa wapi wiki hizi mbili zijazo. Wao wamekalia kuilaumu Tanzania tu.
Na hii covid-19 hawa nyang'au sijui watanawa wapi wiki hizi mbili zijazo. Wao wamekalia kuilaumu Tanzania tu.
Umeme sio wa mgao. Ulipotea nchi nzima mara ya kwanza kwa miaka minne. Umeme huku sio wa mgao kama huko kwenu LDCHeee...juzi nyoka kule Baringo wanauma watu kila nyumba, umeme wa mgao, mafuriko, Leo tena maji yamekwenda!!!! Kwa jirani tupeleke turubai leo
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hii covid-19 hawa nyang'au sijui watanawa wapi wiki hizi mbili zijazo. Wao wamekalia kuilaumu Tanzania tu.
Vitu kama hizi zimetoka Kwa iyo clip ya citizen but juu majamaa ni malofa zaidi Africa yote wanapraise kama wajingaCapital FM Kenya: Nairobi water firm shuts down Sasumwa Dam supply as landslide damages transmission line.
Nairobi water firm shuts down Sasumwa Dam supply as landslide damages transmission line » Capital News
Sisi sio waisilamuNa hivi huwa hawapendi kuchamba maji Nairobi nzima itakuwa Kuna harufu maji
Sent using Jamii Forums mobile app
Furaha ya nini tena?Najua saa hii unapunyeto kwa furaha
OhooooNa hivi huwa hawapendi kuchamba maji Nairobi nzima itakuwa Kuna harufu maji
Sent using Jamii Forums mobile app
Uongo mtupu. Choo zetu unalipia ndio uitumie. Kwa hivyo choo hizo huoshwa. Umesahau nyie watoto wenu walikuwa wanaishi ndani ya choo wakikula mavi?Makenya bwana sijui yenyewe yalizaliwaje niliwahi ingia choose cha umma aisee wanakunya mpaka mlangoni