Faida na madhara ya kuoga kwa maji ya moto

Kimbweka

JF-Expert Member
Jul 16, 2009
8,597
1,683
Watu wengi hupendelea kutumia maji ya moto kuoga pale hali ya hewa inapobadilika na kuwa ya baridi au wakati mwingine mtu anaumwa hivyo anatumia maji ya moto.

Lakini kwa ajili ya urembo na afya ya ngozi, maji ya moto yanatajwa kuwa ni kitu muhimu sana kama vilivyo vipodozi vingine vinavyoisaida ngozi yako kuwa nyororo.

Katika jamii kumekuwepo na mitazamo tofauti, mingine ikitaja kwamba kuoga maji ya moto si nzuri kiafya. Wengine wamediriki hadi kusema kwamba Mwanaume kuoga maji ya moto ni ujinga.

Je, nini faida na hasara ya kuoga maji ya moto?


-----
MICHANGO YA WADAU

2273109_1579067773667.jpg

Watu wengi hupendelea kutumia maji ya moto kuoga pale hali ya hewa inapobadilika na kuwa ya baridi au wakati mwingine mtu anaumwa hivyo anatumia maji ya moto.

Sehemu kama Dar es Salaam ni mara cheche utakuta wakazi wake wanaogea maji ya moto kutokana na hali ya joto katika jiji hilo.

Lakini kwa ajili ya urembo na afya ya ngozi, maji ya moto yanatajwa kuwa ni kitu muhimu sana kama vilivyo vipodozi vingine vinavyoisaida ngozi yako kuwa nyororo.

Hizi hapa ni baadhi ya faida zitokanazo na matumizi ya maji ya moto angalau mara tatu kwa wiki

Kulainisha na kutunza ngozi
Maji ya moto husaidia kulainisha ngozi yako tofauti na ukitumia maji ya baridi. Maji ya moto hasa yaliyo katika jakuzi ambapo utatumia muda mrefu kidogo ngozi yako ikiwa kwenye maji, husaidia kuilainisha ngozi yako na kuiweka katika hali nzuri.

Usingizi
Kama huwa unapata matatizo kupata usingizi usiku, amka oga kwa kutumia maji ya moto kwani husaidia kulainisha misuli ya mwili wako na itakaa sawa na utaweza kupata usinngizi.

Kukuweka katika hali nzuri
Kuna wakati mwingine mtu hujisikia uchovu wa mwili na kutotaka kufanya chochote (Off mood). Ukioga kwa maji ya moto yatakusaida kukuondolea uchovu na utajisikia mwenye nguvu na upo tayari kukabiliana na changamoto za siku.

Kuchangamsha ubongo
Unapooga kwa kutumia maji ya moto husaidia kuchangamsha ubongo na kuufanya uweze kufanyakazi kwa ufanisi na kwa haraka zaidi.

Kushusha shinikizo la damu
Ukiachanna na masuala ya urembo, kuoga maji ya moto kunatajwa kuwa ni njia ya haraka ya kusaidia kushusha shinikizo la damu. Tafiti zinaonyesha kuwa mtu mwenye shinikizo la damu la kupanda, akioga kwa maji ya moto husaidia kushusha.

Kusaidia mzunguko wa damu
Ukioga kwa kutumia maji ya moto husaidia kusisimu na kuitanua mishipa ya damu hivyo kuwezesha damu kuwa na mzunguko mzuri mwilini.

Licha ya kuwa maji ya moto ni mazuri kiafya, unashauriwa kutooga kwa maji ya moto sana kwani huathiri ngozi.

Mwanaharakai Mzalendo
 
Nasubiri comment za wadau nami nijifunze,niliwahi kusikia maji ya moto sana huchosha ngozi pia kwa ladies si mazuri kujiswafi,otherwise maji ya vuguvugu ndiyo yanayoshauriwa.
 
Nasubiri comment za wadau nami nijifunze,niliwahi kusikia maji ya moto sana huchosha ngozi pia kwa ladies si mazuri kujiswafi,otherwise maji ya vuguvugu ndiyo yanayoshauriwa.

Ngoja waingizane maana hii inaniletea zogo
nsije zeeke mapema
na nikijana mdogo
 
Mmmh kazi kweli kweliii, haya na mimi ngoja nisikie wadau wanasemaje
 
heee!! hivi ni kweli maana naona kila mtu yupo very positive katika nililo uliza
Nimeogopa kweli
 
Maji ya moto matamu
na dhani hizo ni facts to..
si dhani kama yanashida yeyote...
maji ya moto saa yeyote......lol
 
Hayana shida yoyote,hayo ni maneno ya watu tu mimi nimeyaoga kuanzia utoto wangu na mpaka leo nina miaka 34 lakini ukiniona kama vile nina miaka 25.
 
hayana shida yoyote.......................................
we we we wachana na hayo maji kabisa sio lazima uzeeke mwili kwa ujumla wake unaweza zeeka some parts of z body na ikawa mbaya zaidi. Oga maji moto pale tu inapobidi. Si ndiyo?
 
you were just about right..
i was thinking more like 23-24.[/QUOTE]



You made me more changanyikiwa kabisa with this post laiti kama ningekuwa natumia kilevi basi ningekunywa angalau bia mbili kuselebreti post hii,lakini kwa kuwa situmii kilevi basi najipongeza kwa energy drink hapa na kesho nafikiria kukuhonga,sijui ntahonga nini,ila naona nikikuhonga roho yangu utafurahia zaidi.


u dont need to thank me ...
because is true....
i think you know how to look after yourself well.......
i think you should write a book "How to stay young"
im not joking about this..
 
Hata mimi nna wasiwasi na maji ya moto japo nimeyaoga sana tangu mdogo.

Navyohisi haya maji hayachangamshi mwili,maana hayashtui ila ukioga ya baridi unahisi mshtuko kidogo na mwili unachangamka.

Sijui ni mimi tu au na kwa wengine ni hivyo.
 
Maji ya moto poa sana hata kwa wale waliombali na wake/waume zao wakisikia kunanihino we tia maji moto ngoma inakuwa inogile h**** yote inakwisha kabisa
 
nadhani kitu chochote kitiwacho huwa na volume (ujazo) kwa hiyo i cant relate it na mwanaume kutia maji moto....how? Where? Kwa mwanamke ok! Au.....

Wote wanaweka bwana tena mwanaume ndo rahisi sana kitu kimesi***** unamwagia maji mote kinalala chenyewe na husikii tena maluweluwe. Si ukajaribu halafu usisahau kuja kunipa matokeo sawa eeehhh au sio HC?!!
 
Back
Top Bottom