Maji ya moto yamekuwa baridi huyu mpenzi simuelewi

CUBICBOY

JF-Expert Member
Oct 29, 2012
306
223
Nina mpenzi ni mwanachuo nimekuwa name uhusiano nae mwezi mmoja tumeanza mahusiano alipotoka chuo kuja likizo yeye anasoma mzumbe Mimi ni mfanyakazi , nimekuwa nikimsaidia matumizi madogo madogo kama vocha na akiwa anashida na pesa nampatia , kwasasa nimesafiri mkoan nimekuja kusalimia wazazi ,

Mpenzi Wang kanipa wazo la kuanzisha biashara ya kufuga kuku nikamwambia wazo lake zuri lakini nani atawasimamia akanambia akienda chuo atawachia wazazi wake wasimamie , hapa Niko njia panda nimeshindwa kumuelewa amewezaje kunieleza haya yote wakati anajua Mimi sijatambulika kwao na lengo lake nini ,

Nahisi kama naibiwa hakuna mapenzi labda ananitumia tu, naitaji ushauri wakuu
 
wazo lake zurii.... ila hta kwao hutambuliki?? then uanzishe wasimamie wazaz wKe?? wakeup friend unaingizwa ubungo mchana kweupeee... mie nakushaur ww anzisha halafu weka ndgu yko ww unaemuamin ausimamie itakua poa zaid then mkioana ndo umshirikishe...
 
wanawake hawa akili zao co za nchi hii... hta shetani cku hz Anashndwa kuwasoma yaan ni shiddah.. kua makin ucje kuleta thread humu kua kasema hakujui na umemkuta na njemba nyngne tna inasimamia huo mradi with full authority...
 
wazo lake zurii.... ila hta kwao hutambuliki?? then uanzishe wasimamie wazaz wKe?? wakeup friend unaingizwa ubungo mchana kweupeee... mie nakushaur ww anzisha halafu weka ndgu yko ww unaemuamin ausimamie itakua poa zaid then mkioana ndo umshirikishe...
as ante mkuu nimependa ushairi wako
 
Kama wewe pia bado hujamtambulisha kwenu naye anahisi unamtumia... Hizo ni mbinu za ukatumbulike kwao...
 
wanawake hawa akili zao co za nchi hii... hta shetani cku hz Anashndwa kuwasoma yaan ni shiddah.. kua makin ucje kuleta thread humu kua kasema hakujui na umemkuta na njemba nyngne tna inasimamia huo mradi with full authority...
aliponiambia tu kuhusu ilo suala nimekosa kabisa upendo kwake
 
Mimi nashindwa kukuelewa wewe mwanaume. Yaani hela unampa na unamuhudumia mahitaji yake. Ila kukwambia muanzishe mradi wa kuku unaona kama unaibiwa Kisa tu kasema atawaachia wazazi wake wasimamie. Sasa mimi nakuuliza swali. Je mfano ikatokea akapata hela akafungua huo mradi je bado utampenda au utapunguza Upendo? nasubiri jibu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom