Maji ya Kilimanjaro yamekata pumzi

Kuna mengine yameingia wanatoka Arusha! Kila duka la mchaga yapo yaani machalii wanayapenda balaa. Utasikia nipe maji ya .. wanamtaja jina mhusika. Chupa ni nyembaba ndefu chapa yake rangi ya blue kwa jero tu.
 
Naona mawakala wa hill water mpo kazini
Bravo


Sent from my iPhone using JamiiForums
Ndugu, ukiusema ukweli, unamsaidia mmiliki kujua na kuchukua hatua...ITV waliwahi kuonesha kwenye habari ya saa mbili usiku; mchina anajaza maji kwenye chupa za kilimanjaro maeneo ya mburahati kama sikosei.....hayo yote yanaingia sokoni

Ukweli ni huo, yamekuwa ya hovyo sana.....na ni muda sasa tangu yapoteze ubora wake.
 
Maji haya Kwa sasa yamepoteza ubora hasa yanayopatikana Dar es salaam.

Yana chumvi na ukakasi, siyapendi.
Hakuba Kampuni yakuweza shindana na Kilimanjaro kwa hapaTanzania. Kilimanjaro ndo.kampuni pekee utakayo ipata nchi nzima,

Hayao mnayo yapigia debe usikute yako hapo Dar tu na sanasana Morogoro na Tanga. Ila Unashindana na Kilimanjaro inayo patikana Tarime, au Kibondo Kigoma au Kankonko mpakanao kabisa na Burundi au kule Katavi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuba Kampuni yakuweza shindana na Kilimanjaro kwa hapaTanzania. Kilimanjaro ndo.kampuni pekee utakayo ipata nchi nzima,

Hayao mnayo yapigia debe usikute yako hapo Dar tu na sanasana Morogoro na Tanga. Ila Unashindana na Kilimanjaro inayo patikana Tarime, au Kibondo Kigoma au Kankonko mpakanao kabisa na Burundi au kule Katavi

Sent using Jamii Forums mobile app
Waambie mkuu, mimi niko huku Itirima sijawahi hata kusikia hayo maji mengine wanayoongelea.
 
Back
Top Bottom