Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hill water ndo yanaongoza kwa kuuzika huku dar, yakifatiwa na afya, masafi etc maji ya Kilimanjaro yapo kwa uchache sana Madukani, cjui bonite hawana stock ya maji au watu hawayanunui tena
Jamaa ni nouma Sana yaani kuuza bidhaa za wengine hakuna yaani Wana ukenya Ile mbaya. Itafikia hakuna kununua maduka Yao Mana na wao huwa hawanunui maduka ya wengine aka vyasaka.Hayana faida nzuri kwa wauzaji na utokaji wake ni wa polepole.
Ila kwenye bar za wachaga au maduka yao huwezi kuyakosa.
Yamechakachuliwa sana tangu aondoke mwenye nayo, wengi wameyahamaHill Water ndo yanaongoza kwa kuuzika huku Dar, yakifatiwa na Afya, Masafi etc.
Maji ya Kilimanjaro yapo kwa uchache sana Madukani, cjui Bonite hawana stock ya maji au watu hawayanunui tena.
Yana chumvi balaa. Hupati ile taste original ya clean water; sijui walifanyaje!Yamechakachuliwa sana tangu aondoke mwenye nayo, wengi wameyahama
Kwani maji yana ladha?Yana chumvi balaa. Hupati ile taste original ya clean water; sijui walifanyaje!
Ile ladha ya awali ya maji ya Kilimanjaro haipo tena.Hill Water ndo yanaongoza kwa kuuzika huku Dar, yakifatiwa na Afya, Masafi etc.
Maji ya Kilimanjaro yapo kwa uchache sana Madukani, sijui Bonite hawana stock ya maji au watu hawayanunui tena.
Hata ya huku ni Utopolo tu mkuuMaji ya kilimanjaro tunayokunywa dar sio yale yanayotoka bonite. Yanantengenezwa hapo kibaha tu. Hata taste yake ni.chumvi tu. Tofauti kabisa na ukinywa yale origional ya moshi/arusha
Mbona Hill water nayo ni ya mchaga ...au wachaga wanabaguana wenyewe????mchaga mbaguzi sana yeye anaweka maji ya kilimanjaro tu dukani kwake halafu anakwambia inauzikana sana sasa hivi maji ya kilimanjaro hawapati soko ndio maana uzalishaji mdogo
Huna uwezo wa kufikia kutokununua kitu kwa mchagaJamaa ni nouma Sana yaani kuuza bidhaa za wengine hakuna yaani Wana ukenya Ile mbaya. Itafikia hakuna kununua maduka Yao Mana na wao huwa hawanunui maduka ya wengine aka vyasaka