mjenziwakale
JF-Expert Member
- Sep 24, 2015
- 670
- 823
Salaam wakuu,
Niende moja Kwa moja kwenye mada. Katika shughuli zangu za ujenzi nimebahatika kupata kazi moja ya ujenzi Wa jengo la hospitali ya wilaya flani hapa nchini, ndo Niko katika hatua za kumaliza msingi Wa jengo Ila nimeishiwa hela kabisaaa na sina chanzo chochote cha kuweza kunisaidia kupata pesa ya kumalizia walau kipengele cha msingi Wa jengo niweze kudai malipo na Kwa taratibu huwezi kulipwa mpaka hatua ya msingi ikamilike. Hivo Nina Mpango nijiondoe katika mkataba huu ili niweze kulipwa kiasi changu cha kazi niliyokwisha Fanya.
Hivo basi naomba nipewe ushauri nifuate hatua gani ili niweze fanikisha adhima yangu.
N.B katika mkataba huu mwajiri ndo kajipa uwezo Wa kusitisha mkataba na Mimi fundi nitalipwa kulingana na kazi niliyokwisha Fanya, Ila Kwa fundi kusitisha mkataba hiki kipengele hakijaainishwa.
Natanguliza shukrani.
Niende moja Kwa moja kwenye mada. Katika shughuli zangu za ujenzi nimebahatika kupata kazi moja ya ujenzi Wa jengo la hospitali ya wilaya flani hapa nchini, ndo Niko katika hatua za kumaliza msingi Wa jengo Ila nimeishiwa hela kabisaaa na sina chanzo chochote cha kuweza kunisaidia kupata pesa ya kumalizia walau kipengele cha msingi Wa jengo niweze kudai malipo na Kwa taratibu huwezi kulipwa mpaka hatua ya msingi ikamilike. Hivo Nina Mpango nijiondoe katika mkataba huu ili niweze kulipwa kiasi changu cha kazi niliyokwisha Fanya.
Hivo basi naomba nipewe ushauri nifuate hatua gani ili niweze fanikisha adhima yangu.
N.B katika mkataba huu mwajiri ndo kajipa uwezo Wa kusitisha mkataba na Mimi fundi nitalipwa kulingana na kazi niliyokwisha Fanya, Ila Kwa fundi kusitisha mkataba hiki kipengele hakijaainishwa.
Natanguliza shukrani.