Maji ni rasimali muhimu vipi tukijenga miundombinu serious na kuvuna maji nyakati za mvua ziada

VAPS

JF-Expert Member
Jul 10, 2012
5,610
13,160
Kilimo cha umwagiliaji ndio mkombozi na fursa ya uhakika.

Unalima wakati muafaka, zao muafaka wakati muafaka. Tungeweza kushawishi viwanda vya mkakati kwa uhakika wa malighafi, pia miundombinu reli na barabara zingetuka kikamilifu.

Kama taifa tuna ardhi ya kutosha na rasilimali watu.

Sina hakika tume ya umwagiliaji wanawezeshwa kiasi gani. Wale waimba mapambio na vigelegele hebu pigieni debe hili lina tija na multiplier effect kubwa kuliko midege mikubwa.

Focus ya ATCL ingebakia ndege ndogo na kati na route masafa ya mbali ubia na mashirika makubwa mengi iwezekavyo.
 
Hiki ndicho aina ya kilimo ambacho kitakomboa hii taifa letu toka janga kuu la umasikini, yaani irragation inafanya ulime anything , anywhere, anytime, mungu ameibariki taifa letu na ardhi poa, maji mengi, miti na maziwa, bona kusiwekeze kwenye kilimo ka kuwagilia maji, hayo mengi kaa ndege baadae, asante sana kwa hii taarifa yako, ungegombea umbunge sehemu yangu kura yangu ungekuwa nae tayari mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom