Maji ni Mtego wa Umasikini (poverty trap)

Nimeisoma mada ya Mh. Zitto na kuielewa vizuri, jukumu la usambazi maji ni la wananchi na Serikali. Wananchi tunatakiwa kuonyesha juhudi fulani ili kuivutia Serikali kuongeza nguvu katika kutimiza lengo la kupata MAJI SAFI NA SALAMA.
 
Tangu mwaka huu uanze leo ndio umezungumza jambo la maana.

Tunataka viongozi wa kisiasa waikosoe na kui-challange serikali kwa hoja za msingi na sio kuleta hoja za kuchochea chuki, udini, ukabila, kuhamasisha maandamano yasiyokuwa na tija na mwisho wa siku wanaokuja kuumia ni wananchi masikini na sio nyie ambao mmeanzisha uchochezi.
Hapa watu tunaongelea maji jombaa.....haya mambo ya uchochezi pelekeni huko.
 
Tunashindwaje kuchimba visima kila ward ikiwa tuna pesa za kununulia Vichwa vya treni visivyokuwa na mwenyewe?
Unauhakika kwamba kila WARD ina maji chini ya ardhi?

Si kila mahala pana maji chini ya ardhi.
 
Unauhakika kwamba kila WARD ina maji chini ya ardhi?

Si kila mahala pana maji chini ya ardhi.
Unashauri nini kwenye zile Ward ambazo water table ipo karibu?

Kwenye zile Ward ambazo water table haipo karibu, unafikiri wanapata wapi maji kwa ajili matumizi muhimu ya nyumbani?

Kama wanayapata kwenye Ward iliyopo jirani yenye water table iliyokaribu, mtawasaidiaje hao watu na hiyo adha ya kutembea umbali mrefu kwenda kutafuta maji?
 
Unashauri nini kwenye zile Ward ambazo water table ipo karibu?

Kwenye zile Ward ambazo water table haipo karibu, unafikiri wanapata wapi maji kwa ajili matumizi muhimu ya nyumbani?

Kama wanayapata kwenye Ward iliyopo jirani yenye water table iliyokaribu, mtawasaidiaje hao watu na hiyo adha ya kutembea umbali mrefu kwenda kutafuta maji?
Ushauri wangu ni kwamba.

1. Ufanyike utafiti kubaini maeneo yenye maji safi na salama chini ya ardhi. Utafiti uonyeshe kiasi cha maji kilichopo na uwezo wa kila chanzo.

2. Ufanyike utafiti kubainisha ni maeneo yepi yanafaa kupatiwa maji kutoka kwa kila chanzo kilichobainishwa.

Mfano. Iwekwe bayani ni wapi panatakiwa kupewa majo ya kimbiji na ni wapi panatakiwa kupata maji kutoka ziwa victoria. Tanganyika nk.

3. Mwisho miradi nikubwa ya kusambaza maji ianzishwe iwe kama ilivyo miradi ya REA au ya UMEME.

Kwamba tuaanza na wilaya hii na mwakani wilaya ingine inafuatia.

Hili la kutaka kisima kila kijiji ni kupoteza muda pesa na direction. Ni kwamba haiwezekani maana huko vijijini waliopewa visima wameshindwa kuvifanyia ukarabati na vimejifia.
 
Unashauri nini kwenye zile Ward ambazo water table ipo karibu?

Kwenye zile Ward ambazo water table haipo karibu, unafikiri wanapata wapi maji kwa ajili matumizi muhimu ya nyumbani?

Kama wanayapata kwenye Ward iliyopo jirani yenye water table iliyokaribu, mtawasaidiaje hao watu na hiyo adha ya kutembea umbali mrefu kwenda kutafuta maji?
Mwisho Wizara ya maji iajiri watu wa kusimamia miradi yao huko vijijini.

Wizara ya afya haikabidhi zahanati kwa wanakijiji.

Wizara ya kilimo inao wataalamu vijijini.

Wizara ya maji ikisha chimba kisima kijijini inaondoka. Hapo kisima hukosa mmiliki na huishia kujifia.
 
Tangu mwaka huu uanze leo ndio umezungumza jambo la maana.

Tunataka viongozi wa kisiasa waikosoe na kui-challange serikali kwa hoja za msingi na sio kuleta hoja za kuchochea chuki, udini, ukabila, kuhamasisha maandamano yasiyokuwa na tija na mwisho wa siku wanaokuja kuumia ni wananchi masikini na sio nyie ambao mmeanzisha uchochezi.
Jambo gani mojawapo Zitto alilosema ambalo wewe unatafsiri ni uchochezi?
Weka hapa tafsiri ya uchochezi.
 
Amini nakwambia. ..watu wamezoea maisha ya purukushani .

Ukiwawekea ustaarabu wanaharibu miundo mbinu. ..hasa visima.

Swala la kwenda kutafuta maji ni kichaka cha kufanya mambo mengi kijijini
 
Tatizo ambalo naliona kwa wanainchi ni kwamba wanapenda mteremko sana. Niliishigi Kwimba nakumbuka tulifanyaga mpango wa kupata maji ya bomba tukajichanga changa sisi watumishi wa tatu tukavuta maji yakaja. Cha ajabu nashangaa mama mwenye nyumba akaja na biashara yake ya mama ntilie.

Mi nasema wacha wengine wakose maji tu na waumwe matumbo kwa sababu hawataki kuwajibika maana wanataka maji alafu kuyalipia hawataki.

Mimi nilifundishwa na baba yangu kwamba unafanyia kazi kila kitu. Wanainchi waonyeshe njia sio kukaa na kuletewa mradi
Ni wajibu wananchi kujiletea maendeleo, na serikali INA wajibu mkubwa wa kusimania juhudi hizo za wananchi. Kuna mgawanyo, wa yapi yafanwe na wananchi na yapi na serikali. Bahati mbaya tunapishana ktk vipaumbele. Hakuna mbadala wa kupata maji zaidi ya mabomba, visima au mabwawa, lakini watalii kuja nchini wanaweza kuja nchini kwa ndege za mashirika mengine.
 
Bw. Zitto, Hao walioshindwa kumaliza tatizo la maji kwa miaka zaidi ya 50 huko vijijini wanapata kura nyingi sana huko kila uchaguzi. Kwa hiyo watu wa vijijini wako happy na hali yao hiyo. Leave them alone.
 
Bw. Zitto, Hao walioshindwa kumaliza tatizo la maji kwa miaka zaidi ya 50 huko vijijini wanapata kura nyingi sana huko kila uchaguzi. Kwa hiyo watu wa vijijini wako happy na hali yao hiyo. Leave them alone.
Nasikitika kwamba unawasemea watu wa vijijini tena kwa hasi! Vijijini wanaonewa sana, hata hizo kura usemazo naamini si za utashi wao. Wakati majumba mjini yanavunjwa kupisha magorofa, wao zahanati bati zinavuja!
 
Changamoto ya Maji inachangia sana kuwashikilia watu wa vijijini kwenye dimbwi la umasikini na kuongeza tofauti ya kipato Kati ya mijini na vijijini na kati ya wenye nacho na wasio nacho. Gharama za maji ni kubwa mno maeneo ya vijijini kiasi kwamba zinazidi wastani wa pato la mtu mmoja ( per capital income) kwa siku nchini Tanzania.

“Pato la Taifa mwaka 2016 lilikuwa shilingi milioni 103,744,606 kwa bei za mwaka husika. Aidha, idadi ya watu Tanzania Bara ilikadiriwa kuwa watu 48,676,698 mwaka 2016. Hivyo, Pato la wastani la kila mtu lilikuwa shilingi 2,131,299 mwaka 2016 ikilinganishwa na shilingi 1,918,897 mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 11.1. Pato la wastani kwa kila mtu katika Dola za Marekani liliongezeka kutoka Dola 967.5 mwaka 2015 hadi Dola 979.1 mwaka 2016 ikichangiwa na kupungua kwa kasi ya kushuka kwa thamani ya shilingi ya Tanzania. Mwaka 2015, shilingi ya Tanzania ilipungua thamani dhidi ya dola ya Marekani kwa asilimia 16.8 ikilinganishwa na asilimia 8.8 mwaka 2016.” Hali ya Uchumi wa Taifa Juni 30, 2017. Kwa kutumia takwimu hizi za Serikali Ina maana kila Mtanzania ana kipato cha wastani wa shilingi 2.1 milioni Sawa na USD 980 kwa mwaka.

Hanang wanatumia kipato chao kikubwa kununua Maji

Mwananchi wa kijiji cha Gehandu Huko Hanang Mkoa wa Manyara ananunua maji pipa moja la lita 200 kwa shilingi 7000 na familia moja inahitaji angalau pipa moja kwa siku kwa matumizi ya kujibana kabisa ya maji. Kwa hiyo mwananchi huyu atahitaji takribani shilingi 2.5 milioni kwa mwaka kwa ajili ya Maji tu ya kutumia yeye na familia yake. Kwa familia ya Watu 6, huu ni wastani wa 16% ya kipato cha kila mwanafamilia hata mtoto mdogo wa siku 1 kutumika kununua Maji.

Hivyo familia moja inatumia wastani wa kipato cha mtu mmoja kwa mwaka kwa ajili ya Maji tu. Lazima familia hii iendelee kushikwa kwenye mtego wa umasikini. Mwananchi mmoja kijijini Gehandu alitueleza kuwa bajeti yake yote inaishia kwenye maji wakati wa kiangazi. Alieleza kwa uchungu sana namna anaamka saa 10 alfajiri kufuata Maji kilometa 20 kutoka nyumbani kwake na huko huchukua muda mrefu kwani foleni ni kubwa sana. Hanang hutumia sana Punda kubeba Maji na hubidi wakati mwengine kuyafuata mpaka mkoa jirani wa Singida.

Mijini ni tofauti

Miji mingi nchini kwetu hupata maji kutoka mamlaka za Maji safi na salama. Wastani wa bei ya maji kwa pipa la lita 200 kwa mamlaka za maji nchini ni shilingi 300 tu. Mwananchi wa Uzunguni jijini Arusha au Mikocheni jijini Dar es Salaam au Shanty Town Manispaa ya Moshi au Capri Point jijini Mwanza hutumia wastani wa shilingi 108,000 kwa mwaka kama gharama za Maji kwa familia yake. Ikumbukwe kuwa maji yanayosambazwa na Mamlaka za Maji Mijini ni masafi, yana madawa ya kuua wadudu wanaosababisha magonjwa kama kuhara nk. Mtu wa mjini haoni mzigo mkubwa wa matumizi ya Maji kwenye kipato chake kwani ni chini ya 1% ya wastani wa kipato cha familia ( wastani wa familia 1 watu 6 ). Wakati kule Hanang familia itatumia kipato chote cha mwanafamilia mmoja kununua maji ya familia nzima, Arusha au Dar es Salaam familia itatumia 4% tu ya kipato cha mwanafamilia kugharamia maji ya familia nzima. Hii ni nchi moja yenye mataifa mawili!

Ni zaidi ya Maji

Kwa kuwa maji yanayotumiwa na watu wa vijijini si safi na salama, Wananchi hao hutumia fedha nyingine nyingi zaidi kwenye matibabu kutokana na magonjwa kama kuhara, kichocho, typhoid, amoebae na kadhalika. Serikali inaingia gharama kubwa kununua madawa ya kutibu magonjwa haya kwa watu wa vijijini pale ambapo dawa hizi zinapatikana. Lakini pia nguvu ya kufanya kazi za uzalishaji hupungua kwa sababu ya Watu kuwa na siha duni na hivyo mzunguko wa umasikini kuendelea kuzunguka. Kwa nchi ambayo haina Mfumo madhubuti wa Bima ya Afya kwa Wananchi wake, gharama za Afya kwa masikini ni kubwa mno.

Tufanye nini?

Serikali yeyote makini lazima ijikite kwenye kuboresha hali ya maisha ya Wananchi wake kwa kuwaondolea vikwazo vya Maendeleo na kuvunja mitego ya umasikini ( poverty traps ) inayowashika na kuwadidimiza kwenye umasikini. Maji safi na salama kwa gharama nafuu yaweza kuwa ni hatua kubwa ya kuwaondoa Wananchi kwenye mtego mmoja wapo wa umasikini ( water poverty trap ). Hivyo Serikali iwekeze vya kutosha kwenye usambazaji wa Maji vijijini.

Miradi ya Maji sio miradi rahisi sana hivyo kunahitajika fikra mpya Katika kupata fedha za kujenga miradi ya Maji, kutunza vyanzo vya maji na kuendesha miradi ya Maji. Katika kata ambazo ACT Wazalendo ina madiwani tumeona tufanye majaribio ya ushiriki wa Wananchi kupitia Jumuiya za watumiaji Maji na sekta binafsi Katika kusambaza maji na kuendesha miradi ya Maji. Tunafanya majaribio haya kata za Tomondo Morogoro, Gehandu Hanang na Sumbugu Misungwi. Kupitia majaribio haya tutaweza kuboresha na kushawishi sera ya Taifa ya Maji kutokana na ushahidi kwenye kata hizi.

Ni vizuri Serikali kutazama upya vipaumbele vyake vya kimaendeleo. Kwa mfano kuna tija kujenga barabara ya Morocco - Mwenge Kwa shilingi 80 bilioni wakati Wananchi wa Tomondo, Morogoro wanakunywa Maji na mifugo?
Tanzania tumekuwa tukilalamika kwa muda mrefu kuwa tunawekewa vikwazo kwenye misaada kwa sababu ya Ushoga. Nikakumbuka magojwa makuu ya Tanzania kuwa ni Ujinga, Umasikini, na Kukosa maarifa (maradhi). Kama tumeshindwa kutofautisha kati ya ushoga na Tabia mbaya kweli wanasiasa na wasomi (phd na maprofesa) bado tunasumbuliwa na ujinga.

Nini Maana ya shoga (Gay)

> Ni mtu ambaye anaongea kama mwanamke na tabia zake zinakuwa kama mwanamke siyo ugonjwa wa kujitakia lakini lazima aheshimiwe kwa sababu yupo hivyo kutokana na maumbile na tabia zake

Tafsiri wa Watanzania (tabia mbaya)

> Tumekuwa tukimtafisiri shoga kama ni mtu ambaye anafanya mapenzi kinyume cha maumbile, 'hii ni tabia tu' ambayo mtu anakuwa nayo kwa kujitakia kwa hiyo ni tabia mbaya ambayo mwanamke na mwanaume wanayo kwa sasa.

Wapi tujitoe ujinga.

> Ni muda watanzania tukafocus kwenye mipango miji (Master plan) ili kuwa na mipango endelevu la sivyo tutasubiri sana kupata maendeleo na itakuwa less developing country milele (Shithole).
 
Changamoto ya Maji inachangia sana kuwashikilia watu wa vijijini kwenye dimbwi la umasikini na kuongeza tofauti ya kipato Kati ya mijini na vijijini na kati ya wenye nacho na wasio nacho. Gharama za maji ni kubwa mno maeneo ya vijijini kiasi kwamba zinazidi wastani wa pato la mtu mmoja ( per capital income) kwa siku nchini Tanzania.

“Pato la Taifa mwaka 2016 lilikuwa shilingi milioni 103,744,606 kwa bei za mwaka husika. Aidha, idadi ya watu Tanzania Bara ilikadiriwa kuwa watu 48,676,698 mwaka 2016. Hivyo, Pato la wastani la kila mtu lilikuwa shilingi 2,131,299 mwaka 2016 ikilinganishwa na shilingi 1,918,897 mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 11.1. Pato la wastani kwa kila mtu katika Dola za Marekani liliongezeka kutoka Dola 967.5 mwaka 2015 hadi Dola 979.1 mwaka 2016 ikichangiwa na kupungua kwa kasi ya kushuka kwa thamani ya shilingi ya Tanzania. Mwaka 2015, shilingi ya Tanzania ilipungua thamani dhidi ya dola ya Marekani kwa asilimia 16.8 ikilinganishwa na asilimia 8.8 mwaka 2016.” Hali ya Uchumi wa Taifa Juni 30, 2017. Kwa kutumia takwimu hizi za Serikali Ina maana kila Mtanzania ana kipato cha wastani wa shilingi 2.1 milioni Sawa na USD 980 kwa mwaka.

Hanang wanatumia kipato chao kikubwa kununua Maji

Mwananchi wa kijiji cha Gehandu Huko Hanang Mkoa wa Manyara ananunua maji pipa moja la lita 200 kwa shilingi 7000 na familia moja inahitaji angalau pipa moja kwa siku kwa matumizi ya kujibana kabisa ya maji. Kwa hiyo mwananchi huyu atahitaji takribani shilingi 2.5 milioni kwa mwaka kwa ajili ya Maji tu ya kutumia yeye na familia yake. Kwa familia ya Watu 6, huu ni wastani wa 16% ya kipato cha kila mwanafamilia hata mtoto mdogo wa siku 1 kutumika kununua Maji.

Hivyo familia moja inatumia wastani wa kipato cha mtu mmoja kwa mwaka kwa ajili ya Maji tu. Lazima familia hii iendelee kushikwa kwenye mtego wa umasikini. Mwananchi mmoja kijijini Gehandu alitueleza kuwa bajeti yake yote inaishia kwenye maji wakati wa kiangazi. Alieleza kwa uchungu sana namna anaamka saa 10 alfajiri kufuata Maji kilometa 20 kutoka nyumbani kwake na huko huchukua muda mrefu kwani foleni ni kubwa sana. Hanang hutumia sana Punda kubeba Maji na hubidi wakati mwengine kuyafuata mpaka mkoa jirani wa Singida.

Mijini ni tofauti

Miji mingi nchini kwetu hupata maji kutoka mamlaka za Maji safi na salama. Wastani wa bei ya maji kwa pipa la lita 200 kwa mamlaka za maji nchini ni shilingi 300 tu. Mwananchi wa Uzunguni jijini Arusha au Mikocheni jijini Dar es Salaam au Shanty Town Manispaa ya Moshi au Capri Point jijini Mwanza hutumia wastani wa shilingi 108,000 kwa mwaka kama gharama za Maji kwa familia yake. Ikumbukwe kuwa maji yanayosambazwa na Mamlaka za Maji Mijini ni masafi, yana madawa ya kuua wadudu wanaosababisha magonjwa kama kuhara nk. Mtu wa mjini haoni mzigo mkubwa wa matumizi ya Maji kwenye kipato chake kwani ni chini ya 1% ya wastani wa kipato cha familia ( wastani wa familia 1 watu 6 ). Wakati kule Hanang familia itatumia kipato chote cha mwanafamilia mmoja kununua maji ya familia nzima, Arusha au Dar es Salaam familia itatumia 4% tu ya kipato cha mwanafamilia kugharamia maji ya familia nzima. Hii ni nchi moja yenye mataifa mawili!

Ni zaidi ya Maji

Kwa kuwa maji yanayotumiwa na watu wa vijijini si safi na salama, Wananchi hao hutumia fedha nyingine nyingi zaidi kwenye matibabu kutokana na magonjwa kama kuhara, kichocho, typhoid, amoebae na kadhalika. Serikali inaingia gharama kubwa kununua madawa ya kutibu magonjwa haya kwa watu wa vijijini pale ambapo dawa hizi zinapatikana. Lakini pia nguvu ya kufanya kazi za uzalishaji hupungua kwa sababu ya Watu kuwa na siha duni na hivyo mzunguko wa umasikini kuendelea kuzunguka. Kwa nchi ambayo haina Mfumo madhubuti wa Bima ya Afya kwa Wananchi wake, gharama za Afya kwa masikini ni kubwa mno.

Tufanye nini?

Serikali yeyote makini lazima ijikite kwenye kuboresha hali ya maisha ya Wananchi wake kwa kuwaondolea vikwazo vya Maendeleo na kuvunja mitego ya umasikini ( poverty traps ) inayowashika na kuwadidimiza kwenye umasikini. Maji safi na salama kwa gharama nafuu yaweza kuwa ni hatua kubwa ya kuwaondoa Wananchi kwenye mtego mmoja wapo wa umasikini ( water poverty trap ). Hivyo Serikali iwekeze vya kutosha kwenye usambazaji wa Maji vijijini.

Miradi ya Maji sio miradi rahisi sana hivyo kunahitajika fikra mpya Katika kupata fedha za kujenga miradi ya Maji, kutunza vyanzo vya maji na kuendesha miradi ya Maji. Katika kata ambazo ACT Wazalendo ina madiwani tumeona tufanye majaribio ya ushiriki wa Wananchi kupitia Jumuiya za watumiaji Maji na sekta binafsi Katika kusambaza maji na kuendesha miradi ya Maji. Tunafanya majaribio haya kata za Tomondo Morogoro, Gehandu Hanang na Sumbugu Misungwi. Kupitia majaribio haya tutaweza kuboresha na kushawishi sera ya Taifa ya Maji kutokana na ushahidi kwenye kata hizi.

Ni vizuri Serikali kutazama upya vipaumbele vyake vya kimaendeleo. Kwa mfano kuna tija kujenga barabara ya Morocco - Mwenge Kwa shilingi 80 bilioni wakati Wananchi wa Tomondo, Morogoro wanakunywa Maji na mifugo?
Change is hard but necessary, progress is never easy but always possible. JOE BIDEN
 
Changamoto ya Maji inachangia sana kuwashikilia watu wa vijijini kwenye dimbwi la umasikini na kuongeza tofauti ya kipato Kati ya mijini na vijijini na kati ya wenye nacho na wasio nacho. Gharama za maji ni kubwa mno maeneo ya vijijini kiasi kwamba zinazidi wastani wa pato la mtu mmoja ( per capital income) kwa siku nchini Tanzania.

“Pato la Taifa mwaka 2016 lilikuwa shilingi milioni 103,744,606 kwa bei za mwaka husika. Aidha, idadi ya watu Tanzania Bara ilikadiriwa kuwa watu 48,676,698 mwaka 2016. Hivyo, Pato la wastani la kila mtu lilikuwa shilingi 2,131,299 mwaka 2016 ikilinganishwa na shilingi 1,918,897 mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 11.1. Pato la wastani kwa kila mtu katika Dola za Marekani liliongezeka kutoka Dola 967.5 mwaka 2015 hadi Dola 979.1 mwaka 2016 ikichangiwa na kupungua kwa kasi ya kushuka kwa thamani ya shilingi ya Tanzania. Mwaka 2015, shilingi ya Tanzania ilipungua thamani dhidi ya dola ya Marekani kwa asilimia 16.8 ikilinganishwa na asilimia 8.8 mwaka 2016.” Hali ya Uchumi wa Taifa Juni 30, 2017. Kwa kutumia takwimu hizi za Serikali Ina maana kila Mtanzania ana kipato cha wastani wa shilingi 2.1 milioni Sawa na USD 980 kwa mwaka.

Hanang wanatumia kipato chao kikubwa kununua Maji

Mwananchi wa kijiji cha Gehandu Huko Hanang Mkoa wa Manyara ananunua maji pipa moja la lita 200 kwa shilingi 7000 na familia moja inahitaji angalau pipa moja kwa siku kwa matumizi ya kujibana kabisa ya maji. Kwa hiyo mwananchi huyu atahitaji takribani shilingi 2.5 milioni kwa mwaka kwa ajili ya Maji tu ya kutumia yeye na familia yake. Kwa familia ya Watu 6, huu ni wastani wa 16% ya kipato cha kila mwanafamilia hata mtoto mdogo wa siku 1 kutumika kununua Maji.

Hivyo familia moja inatumia wastani wa kipato cha mtu mmoja kwa mwaka kwa ajili ya Maji tu. Lazima familia hii iendelee kushikwa kwenye mtego wa umasikini. Mwananchi mmoja kijijini Gehandu alitueleza kuwa bajeti yake yote inaishia kwenye maji wakati wa kiangazi. Alieleza kwa uchungu sana namna anaamka saa 10 alfajiri kufuata Maji kilometa 20 kutoka nyumbani kwake na huko huchukua muda mrefu kwani foleni ni kubwa sana. Hanang hutumia sana Punda kubeba Maji na hubidi wakati mwengine kuyafuata mpaka mkoa jirani wa Singida.

Mijini ni tofauti

Miji mingi nchini kwetu hupata maji kutoka mamlaka za Maji safi na salama. Wastani wa bei ya maji kwa pipa la lita 200 kwa mamlaka za maji nchini ni shilingi 300 tu. Mwananchi wa Uzunguni jijini Arusha au Mikocheni jijini Dar es Salaam au Shanty Town Manispaa ya Moshi au Capri Point jijini Mwanza hutumia wastani wa shilingi 108,000 kwa mwaka kama gharama za Maji kwa familia yake. Ikumbukwe kuwa maji yanayosambazwa na Mamlaka za Maji Mijini ni masafi, yana madawa ya kuua wadudu wanaosababisha magonjwa kama kuhara nk. Mtu wa mjini haoni mzigo mkubwa wa matumizi ya Maji kwenye kipato chake kwani ni chini ya 1% ya wastani wa kipato cha familia ( wastani wa familia 1 watu 6 ). Wakati kule Hanang familia itatumia kipato chote cha mwanafamilia mmoja kununua maji ya familia nzima, Arusha au Dar es Salaam familia itatumia 4% tu ya kipato cha mwanafamilia kugharamia maji ya familia nzima. Hii ni nchi moja yenye mataifa mawili!

Ni zaidi ya Maji

Kwa kuwa maji yanayotumiwa na watu wa vijijini si safi na salama, Wananchi hao hutumia fedha nyingine nyingi zaidi kwenye matibabu kutokana na magonjwa kama kuhara, kichocho, typhoid, amoebae na kadhalika. Serikali inaingia gharama kubwa kununua madawa ya kutibu magonjwa haya kwa watu wa vijijini pale ambapo dawa hizi zinapatikana. Lakini pia nguvu ya kufanya kazi za uzalishaji hupungua kwa sababu ya Watu kuwa na siha duni na hivyo mzunguko wa umasikini kuendelea kuzunguka. Kwa nchi ambayo haina Mfumo madhubuti wa Bima ya Afya kwa Wananchi wake, gharama za Afya kwa masikini ni kubwa mno.

Tufanye nini?

Serikali yeyote makini lazima ijikite kwenye kuboresha hali ya maisha ya Wananchi wake kwa kuwaondolea vikwazo vya Maendeleo na kuvunja mitego ya umasikini ( poverty traps ) inayowashika na kuwadidimiza kwenye umasikini. Maji safi na salama kwa gharama nafuu yaweza kuwa ni hatua kubwa ya kuwaondoa Wananchi kwenye mtego mmoja wapo wa umasikini ( water poverty trap ). Hivyo Serikali iwekeze vya kutosha kwenye usambazaji wa Maji vijijini.

Miradi ya Maji sio miradi rahisi sana hivyo kunahitajika fikra mpya Katika kupata fedha za kujenga miradi ya Maji, kutunza vyanzo vya maji na kuendesha miradi ya Maji. Katika kata ambazo ACT Wazalendo ina madiwani tumeona tufanye majaribio ya ushiriki wa Wananchi kupitia Jumuiya za watumiaji Maji na sekta binafsi Katika kusambaza maji na kuendesha miradi ya Maji. Tunafanya majaribio haya kata za Tomondo Morogoro, Gehandu Hanang na Sumbugu Misungwi. Kupitia majaribio haya tutaweza kuboresha na kushawishi sera ya Taifa ya Maji kutokana na ushahidi kwenye kata hizi.

Ni vizuri Serikali kutazama upya vipaumbele vyake vya kimaendeleo. Kwa mfano kuna tija kujenga barabara ya Morocco - Mwenge Kwa shilingi 80 bilioni wakati Wananchi wa Tomondo, Morogoro wanakunywa Maji na mifugo?
Jinsi ya kutatua matatizo matatu ya Mwl. Nyerere (Ujinga, Umasikini na Maradhi) - JamiiForums
 
Changamoto ya Maji inachangia sana kuwashikilia watu wa vijijini kwenye dimbwi la umasikini na kuongeza tofauti ya kipato Kati ya mijini na vijijini na kati ya wenye nacho na wasio nacho. Gharama za maji ni kubwa mno maeneo ya vijijini kiasi kwamba zinazidi wastani wa pato la mtu mmoja ( per capital income) kwa siku nchini Tanzania.

“Pato la Taifa mwaka 2016 lilikuwa shilingi milioni 103,744,606 kwa bei za mwaka husika. Aidha, idadi ya watu Tanzania Bara ilikadiriwa kuwa watu 48,676,698 mwaka 2016. Hivyo, Pato la wastani la kila mtu lilikuwa shilingi 2,131,299 mwaka 2016 ikilinganishwa na shilingi 1,918,897 mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 11.1. Pato la wastani kwa kila mtu katika Dola za Marekani liliongezeka kutoka Dola 967.5 mwaka 2015 hadi Dola 979.1 mwaka 2016 ikichangiwa na kupungua kwa kasi ya kushuka kwa thamani ya shilingi ya Tanzania. Mwaka 2015, shilingi ya Tanzania ilipungua thamani dhidi ya dola ya Marekani kwa asilimia 16.8 ikilinganishwa na asilimia 8.8 mwaka 2016.” Hali ya Uchumi wa Taifa Juni 30, 2017. Kwa kutumia takwimu hizi za Serikali Ina maana kila Mtanzania ana kipato cha wastani wa shilingi 2.1 milioni Sawa na USD 980 kwa mwaka.

Hanang wanatumia kipato chao kikubwa kununua Maji

Mwananchi wa kijiji cha Gehandu Huko Hanang Mkoa wa Manyara ananunua maji pipa moja la lita 200 kwa shilingi 7000 na familia moja inahitaji angalau pipa moja kwa siku kwa matumizi ya kujibana kabisa ya maji. Kwa hiyo mwananchi huyu atahitaji takribani shilingi 2.5 milioni kwa mwaka kwa ajili ya Maji tu ya kutumia yeye na familia yake. Kwa familia ya Watu 6, huu ni wastani wa 16% ya kipato cha kila mwanafamilia hata mtoto mdogo wa siku 1 kutumika kununua Maji.

Hivyo familia moja inatumia wastani wa kipato cha mtu mmoja kwa mwaka kwa ajili ya Maji tu. Lazima familia hii iendelee kushikwa kwenye mtego wa umasikini. Mwananchi mmoja kijijini Gehandu alitueleza kuwa bajeti yake yote inaishia kwenye maji wakati wa kiangazi. Alieleza kwa uchungu sana namna anaamka saa 10 alfajiri kufuata Maji kilometa 20 kutoka nyumbani kwake na huko huchukua muda mrefu kwani foleni ni kubwa sana. Hanang hutumia sana Punda kubeba Maji na hubidi wakati mwengine kuyafuata mpaka mkoa jirani wa Singida.

Mijini ni tofauti

Miji mingi nchini kwetu hupata maji kutoka mamlaka za Maji safi na salama. Wastani wa bei ya maji kwa pipa la lita 200 kwa mamlaka za maji nchini ni shilingi 300 tu. Mwananchi wa Uzunguni jijini Arusha au Mikocheni jijini Dar es Salaam au Shanty Town Manispaa ya Moshi au Capri Point jijini Mwanza hutumia wastani wa shilingi 108,000 kwa mwaka kama gharama za Maji kwa familia yake. Ikumbukwe kuwa maji yanayosambazwa na Mamlaka za Maji Mijini ni masafi, yana madawa ya kuua wadudu wanaosababisha magonjwa kama kuhara nk. Mtu wa mjini haoni mzigo mkubwa wa matumizi ya Maji kwenye kipato chake kwani ni chini ya 1% ya wastani wa kipato cha familia ( wastani wa familia 1 watu 6 ). Wakati kule Hanang familia itatumia kipato chote cha mwanafamilia mmoja kununua maji ya familia nzima, Arusha au Dar es Salaam familia itatumia 4% tu ya kipato cha mwanafamilia kugharamia maji ya familia nzima. Hii ni nchi moja yenye mataifa mawili!

Ni zaidi ya Maji

Kwa kuwa maji yanayotumiwa na watu wa vijijini si safi na salama, Wananchi hao hutumia fedha nyingine nyingi zaidi kwenye matibabu kutokana na magonjwa kama kuhara, kichocho, typhoid, amoebae na kadhalika. Serikali inaingia gharama kubwa kununua madawa ya kutibu magonjwa haya kwa watu wa vijijini pale ambapo dawa hizi zinapatikana. Lakini pia nguvu ya kufanya kazi za uzalishaji hupungua kwa sababu ya Watu kuwa na siha duni na hivyo mzunguko wa umasikini kuendelea kuzunguka. Kwa nchi ambayo haina Mfumo madhubuti wa Bima ya Afya kwa Wananchi wake, gharama za Afya kwa masikini ni kubwa mno.

Tufanye nini?

Serikali yeyote makini lazima ijikite kwenye kuboresha hali ya maisha ya Wananchi wake kwa kuwaondolea vikwazo vya Maendeleo na kuvunja mitego ya umasikini ( poverty traps ) inayowashika na kuwadidimiza kwenye umasikini. Maji safi na salama kwa gharama nafuu yaweza kuwa ni hatua kubwa ya kuwaondoa Wananchi kwenye mtego mmoja wapo wa umasikini ( water poverty trap ). Hivyo Serikali iwekeze vya kutosha kwenye usambazaji wa Maji vijijini.

Miradi ya Maji sio miradi rahisi sana hivyo kunahitajika fikra mpya Katika kupata fedha za kujenga miradi ya Maji, kutunza vyanzo vya maji na kuendesha miradi ya Maji. Katika kata ambazo ACT Wazalendo ina madiwani tumeona tufanye majaribio ya ushiriki wa Wananchi kupitia Jumuiya za watumiaji Maji na sekta binafsi Katika kusambaza maji na kuendesha miradi ya Maji. Tunafanya majaribio haya kata za Tomondo Morogoro, Gehandu Hanang na Sumbugu Misungwi. Kupitia majaribio haya tutaweza kuboresha na kushawishi sera ya Taifa ya Maji kutokana na ushahidi kwenye kata hizi.

Ni vizuri Serikali kutazama upya vipaumbele vyake vya kimaendeleo. Kwa mfano kuna tija kujenga barabara ya Morocco - Mwenge Kwa shilingi 80 bilioni wakati Wananchi wa Tomondo, Morogoro wanakunywa Maji na mifugo?
WATER is not a poverty trap, DEMOCRACY is
 
Changamoto ya Maji inachangia sana kuwashikilia watu wa vijijini kwenye dimbwi la umasikini na kuongeza tofauti ya kipato Kati ya mijini na vijijini na kati ya wenye nacho na wasio nacho. Gharama za maji ni kubwa mno maeneo ya vijijini kiasi kwamba zinazidi wastani wa pato la mtu mmoja ( per capital income) kwa siku nchini Tanzania.

“Pato la Taifa mwaka 2016 lilikuwa shilingi milioni 103,744,606 kwa bei za mwaka husika. Aidha, idadi ya watu Tanzania Bara ilikadiriwa kuwa watu 48,676,698 mwaka 2016. Hivyo, Pato la wastani la kila mtu lilikuwa shilingi 2,131,299 mwaka 2016 ikilinganishwa na shilingi 1,918,897 mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 11.1. Pato la wastani kwa kila mtu katika Dola za Marekani liliongezeka kutoka Dola 967.5 mwaka 2015 hadi Dola 979.1 mwaka 2016 ikichangiwa na kupungua kwa kasi ya kushuka kwa thamani ya shilingi ya Tanzania. Mwaka 2015, shilingi ya Tanzania ilipungua thamani dhidi ya dola ya Marekani kwa asilimia 16.8 ikilinganishwa na asilimia 8.8 mwaka 2016.” Hali ya Uchumi wa Taifa Juni 30, 2017. Kwa kutumia takwimu hizi za Serikali Ina maana kila Mtanzania ana kipato cha wastani wa shilingi 2.1 milioni Sawa na USD 980 kwa mwaka.

Hanang wanatumia kipato chao kikubwa kununua Maji

Mwananchi wa kijiji cha Gehandu Huko Hanang Mkoa wa Manyara ananunua maji pipa moja la lita 200 kwa shilingi 7000 na familia moja inahitaji angalau pipa moja kwa siku kwa matumizi ya kujibana kabisa ya maji. Kwa hiyo mwananchi huyu atahitaji takribani shilingi 2.5 milioni kwa mwaka kwa ajili ya Maji tu ya kutumia yeye na familia yake. Kwa familia ya Watu 6, huu ni wastani wa 16% ya kipato cha kila mwanafamilia hata mtoto mdogo wa siku 1 kutumika kununua Maji.

Hivyo familia moja inatumia wastani wa kipato cha mtu mmoja kwa mwaka kwa ajili ya Maji tu. Lazima familia hii iendelee kushikwa kwenye mtego wa umasikini. Mwananchi mmoja kijijini Gehandu alitueleza kuwa bajeti yake yote inaishia kwenye maji wakati wa kiangazi. Alieleza kwa uchungu sana namna anaamka saa 10 alfajiri kufuata Maji kilometa 20 kutoka nyumbani kwake na huko huchukua muda mrefu kwani foleni ni kubwa sana. Hanang hutumia sana Punda kubeba Maji na hubidi wakati mwengine kuyafuata mpaka mkoa jirani wa Singida.

Mijini ni tofauti

Miji mingi nchini kwetu hupata maji kutoka mamlaka za Maji safi na salama. Wastani wa bei ya maji kwa pipa la lita 200 kwa mamlaka za maji nchini ni shilingi 300 tu. Mwananchi wa Uzunguni jijini Arusha au Mikocheni jijini Dar es Salaam au Shanty Town Manispaa ya Moshi au Capri Point jijini Mwanza hutumia wastani wa shilingi 108,000 kwa mwaka kama gharama za Maji kwa familia yake. Ikumbukwe kuwa maji yanayosambazwa na Mamlaka za Maji Mijini ni masafi, yana madawa ya kuua wadudu wanaosababisha magonjwa kama kuhara nk. Mtu wa mjini haoni mzigo mkubwa wa matumizi ya Maji kwenye kipato chake kwani ni chini ya 1% ya wastani wa kipato cha familia ( wastani wa familia 1 watu 6 ). Wakati kule Hanang familia itatumia kipato chote cha mwanafamilia mmoja kununua maji ya familia nzima, Arusha au Dar es Salaam familia itatumia 4% tu ya kipato cha mwanafamilia kugharamia maji ya familia nzima. Hii ni nchi moja yenye mataifa mawili!

Ni zaidi ya Maji

Kwa kuwa maji yanayotumiwa na watu wa vijijini si safi na salama, Wananchi hao hutumia fedha nyingine nyingi zaidi kwenye matibabu kutokana na magonjwa kama kuhara, kichocho, typhoid, amoebae na kadhalika. Serikali inaingia gharama kubwa kununua madawa ya kutibu magonjwa haya kwa watu wa vijijini pale ambapo dawa hizi zinapatikana. Lakini pia nguvu ya kufanya kazi za uzalishaji hupungua kwa sababu ya Watu kuwa na siha duni na hivyo mzunguko wa umasikini kuendelea kuzunguka. Kwa nchi ambayo haina Mfumo madhubuti wa Bima ya Afya kwa Wananchi wake, gharama za Afya kwa masikini ni kubwa mno.

Tufanye nini?

Serikali yeyote makini lazima ijikite kwenye kuboresha hali ya maisha ya Wananchi wake kwa kuwaondolea vikwazo vya Maendeleo na kuvunja mitego ya umasikini ( poverty traps ) inayowashika na kuwadidimiza kwenye umasikini. Maji safi na salama kwa gharama nafuu yaweza kuwa ni hatua kubwa ya kuwaondoa Wananchi kwenye mtego mmoja wapo wa umasikini ( water poverty trap ). Hivyo Serikali iwekeze vya kutosha kwenye usambazaji wa Maji vijijini.

Miradi ya Maji sio miradi rahisi sana hivyo kunahitajika fikra mpya Katika kupata fedha za kujenga miradi ya Maji, kutunza vyanzo vya maji na kuendesha miradi ya Maji. Katika kata ambazo ACT Wazalendo ina madiwani tumeona tufanye majaribio ya ushiriki wa Wananchi kupitia Jumuiya za watumiaji Maji na sekta binafsi Katika kusambaza maji na kuendesha miradi ya Maji. Tunafanya majaribio haya kata za Tomondo Morogoro, Gehandu Hanang na Sumbugu Misungwi. Kupitia majaribio haya tutaweza kuboresha na kushawishi sera ya Taifa ya Maji kutokana na ushahidi kwenye kata hizi.

Ni vizuri Serikali kutazama upya vipaumbele vyake vya kimaendeleo. Kwa mfano kuna tija kujenga barabara ya Morocco - Mwenge Kwa shilingi 80 bilioni wakati Wananchi wa Tomondo, Morogoro wanakunywa Maji na mifugo?

Zitto umeongea point lakini naomba niongezee. Tatizo la Maji halitaweza kuisha mpaka tatizo la umeme nafuu nitatuliwe. Kitu kimoja ambacho watu wengi hawajui ni kwamba Maji safi na salama yanahitaji umeme. Tatizo letu ni kwamba umeme wa sasa wa Gas kwasababu ya mikataba mibaya ni gharama kubwa na ndiyo maana ni vema ku-support miradi ya umeme nafuu. Nchi yetu kwa hivyo tattizo kubwa ni umeme na sio maji. Tukiwa na umeme hatutakuwa na sababu ya kutoa maji mbali maana tutakuwa na uwezo wa kutumia pumps kuvuta maji. Lakini vilevile umeme utasaidia kusafisha maji. Nimeshangazwa sana mfano hapa Dallas ninapoishi hatujawahi kuwa na ugojwa hata mara moja wa maji wakati tunatumia maji ya bomba bila kuchemsha. Hivyo basi inaelekea pamoja na kuwa na maji inabidi tuwe na maji safi na salama. Lakini niongeze tu ukiangalia vizuri tatizo la elimu vilevile umeme ni tatizo maana tutaweka vipi technologia kwenye madarasa yetu bila umeme? Mitandao kama hii utapataje bila umeme, vitabu vya bei rahisi siku hizi ni kwenye internet tena kwa dunia nzima, lectures…..PHD papers …. Yaani umeme ni tatizo kubwa sana kwenye strategy yetu ya nchi.
 
Bwana Zitto, Kosa kubwa lililofanyika na nyie wabunge mlihusika ni pale ambapo miradi wa maji vijijini kupitia mkopo wa benki ya dunia ulifanyika pasipo weledi.

Nitafafanua:

1. Mradi ulihusisha manunuzi ya kimataifa kuanzia utafutaji wa vyanzo vya maji hadi utekelezaji. Hivyo gjarama ikawa kubwa sana.

2. Mradi ulilenga maji ya visima. Kwa kudhani kila eneo la nchi hii lina maji chini ya ardhi. Hata pale kijiji kilikuwa pembeni mwa ziwa waliambiwa kuchimbiwa kisima. Hapakuwa na utafiti madhubuti kuhakikisha kwamba maji chini ya ardhi yapo eneo hisika. Siasa iliingilia hasa diwani au mwenyekiti wa kijiji alipolazimisha kisima kichimbwe nyumbani kwake. Matokeo yake visima vingi vilikosa maji.

3. Dhana ya kila kijiji kuwa na chanzo chake huongeza gjarama za miradi. Huongeza gharama za uendeshji na haiwezekani. Tulitakiwa kuwa na miradi mikubwa ya kuhudumia eneo kubwa. Kuchagua vyanzo vichache visambaze maji nchi nzima. Mijini na vijijini.

Mfano ni kama hii miradi ya kitaifa inavyofanya kazi. Au mradi wa KASHWASA. Maji hutolewa kwenye chanzo kimoja na kusambazwa maeneo mengi ya nchi. Mijini na vijijini.

Nchi hii tunahitaji vyanzo vya maji visivyozidi vitano. Kwanza ni ziwa Victoria. Maji yake yasambazwe mikoa ya Mara, Manyara, Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Tabora, Dodoma, Kagera, Singida, Arusha, Tanga, Kilimanjaro, Pwani, Morogoro, Dar na maeneo ya jirani.

Pili ni bwawa la Stieglers Gorge. Maji yake yasambae maeneo ya Dar, Pwani, Lindi, Mtwara, Ruvuma, Morogoro na Iringa.

Chanzo kingine ni Ziwa Nyasa. Maji yake yasambazwe maeneo ya mikoa ya Ruvuma, Mtwara, Mbeya, Njombe na Iringa.

Mwisho ni Ziwa Tanganyika ambalo litagawa maji maeneo ya mikoa ya Katavi, Kigoma, Rukwa na maeneo ya jirani.

Mabwawa makubwa kama Mtera na Ziwa Rukwa vitakuwa ni vyanzo vya ziada kwa maeneo ya jirani.

Kusambaza maji kwa kuchimba visima kila kijiji ni aghari sana na si endelevu kuliko BULK SUPPLY.
Wanasiasa waliiharibu miradi kwa kuwabeba wakandarasi wengi wasio na sifa
 
86 Reactions
Reply
Back
Top Bottom