Blank page
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 4,728
- 3,172
Ni sahihi sana, haiwezekani serikali ikawekeza ama kuanza na vipaumbele ambavyo havina manufaa kwa kiasi kikubwa kwa taifa. Na badala yake kusahau sekta muhimu kama ya maji.
Hata mheshimiwa Lema ashawahi kuliongea hili na kuishauri serikali, kuhusu umuhimu wa maji na kusema kuwa maji ni bidhaa muhimu, hivyo serikali inatakiwa ifanye bidii kufikisha maji maeneo mengi ya nchi yetu ili wananchi wasipate adha ya kufata maji umbali mrefu, na badala yake wajikite katika uzalishaji zaidi.
Hata mheshimiwa Lema ashawahi kuliongea hili na kuishauri serikali, kuhusu umuhimu wa maji na kusema kuwa maji ni bidhaa muhimu, hivyo serikali inatakiwa ifanye bidii kufikisha maji maeneo mengi ya nchi yetu ili wananchi wasipate adha ya kufata maji umbali mrefu, na badala yake wajikite katika uzalishaji zaidi.