MBUNGE wa Jimbo la Korogwe vijijini, Stephen Ngonyani amehoji uadilifu wa viongozi wa vyama vya upinzani akisema, bado wananchi hawapaswi kuwapatia ridhaa ya kuongoza kwa madai kuwa hawataweza kuwa waaminifu katika kulinda rasilimali za umma.
Alisema wagombea wa CCM mara baada ya kushinda nafasi hizo wanapoingia madarakani bado wanaendelea kuwa na usimamizi imara chini ya chama chao alichokieleza kuwa na sera ambazo zinatekelezeka.
Kutokana na hali hiyo, Maji Marefu alisema kwamba muda wa kuwapa wapinzani ridhaa ya kuwaongoza wananchi bado haujafika kwa vile nafsi zao hazijatosheka.
Hhhaaa Magmba bana,lakini tatizo ni wananchi iweje wampe huyu mchawi ubunge hahhahaha Cousin wangu walisafiri kwenda Korogwe kwa jimbo la huyu Mganga wa kienyeji yani gari lao lilizama mpaka basi then walimuona yule Mganga wa kienyeji huyu kapita fasta watu wako Mbunge huyoooo so Cousin wangu kasema Lol tuliteseka sana na hawa ndugu zetu ni mataahira sana iweje wampe kura huyu mganga wa kienyeji ngoja nicheke mie
Alisema wagombea wa CCM mara baada ya kushinda nafasi hizo wanapoingia madarakani bado wanaendelea kuwa na usimamizi imara chini ya chama chao alichokieleza kuwa na sera ambazo zinatekelezeka.
Kutokana na hali hiyo, Maji Marefu alisema kwamba muda wa kuwapa wapinzani ridhaa ya kuwaongoza wananchi bado haujafika kwa vile nafsi zao hazijatosheka.
Hhhaaa Magmba bana,lakini tatizo ni wananchi iweje wampe huyu mchawi ubunge hahhahaha Cousin wangu walisafiri kwenda Korogwe kwa jimbo la huyu Mganga wa kienyeji yani gari lao lilizama mpaka basi then walimuona yule Mganga wa kienyeji huyu kapita fasta watu wako Mbunge huyoooo so Cousin wangu kasema Lol tuliteseka sana na hawa ndugu zetu ni mataahira sana iweje wampe kura huyu mganga wa kienyeji ngoja nicheke mie