Majeshi ya Korea Kusini Yashambulia Ndege ya Abiria Kimakosa

PascalFlx

Member
Feb 11, 2009
68
5
Katika hali ya kutatanisha Majeshi ya kikosi cha majini ya Korea ya kusini yameishambulia ndege ya Abiria, wakati inaelekea kutua katika uwanja wa ndege wa Icheon uliopo karibu na mji wa Seoul kimakosa wakidhani kuwa ni ndege ya kijeshi ya Korea Kaskazini.
Ndege hiyo mali ya shirika la Ndege la Asiana iliyokuwa na watu 119 haikupata madhara yeyote kwani ilikuwa katika umbali usioweza kufikiwa na risasi hizo zilizofyatuliwa na Majeshi ya Korea Kusini.
Swali la kujiuliza mbali na matatizo ya ndege kama vitu vya namna hii vinaanza kutokea katika nchi zilizoendelea kitekinolojia je usalama wetu sisi kama abiria ukoje?

Nanukuu toka katika source ya habari

The Associated Press: Report: SKorean military fires at civilian plane



Report: SKorean military fires at civilian plane
(AP) – 1 hour ago
SEOUL, South Korea (AP) - Marines fired rifles at a South Korean civilian jetliner as it was descending to land after mistaking it for a North Korean military aircraft, a news report said Saturday.
The incident took place at dawn Friday, Yonhap news agency reported, citing a military source it did not identify. The Asiana Airlines jet carrying about 119 people was undamaged and no one was hurt.
The incident highlights how persistent tensions near the heavily armed inter-Korean border pose the possibility for dangerous miscalculation. The Korean peninsula has remained in a technical state of conflict since the Korean War ended in a truce in 1953. A peace treaty has never been signed.
South Korea's Defense Ministry, civilian aviation officials and Asiana could not immediately be reached for comment on the Yonhap report.
Two marine guards stationed on Gyodong island near the border fired rifle rounds at the flight as it approached Incheon International Airport west of Seoul, the report said. The jet was flying out of range of the rifles and avoided damage, it said.
News of the incident comes as South Korea on Friday refused to send back a group of North Koreans who crossed into southern waters by boat last weekend, saying all nine have expressed the desire to defect.
North Korea has demanded the immediate repatriation of all nine people who landed on a South Korean-held island last Saturday aboard two small boats. Pyongyang warned Thursday that failure to send them back would aggravate ties between the two Koreas.
North Korea threatened earlier this month to retaliate for the South Korean military's use of photos of leader Kim Jong Il's family for shooting practice.
Seoul also blames Pyongyang for two deadly attacks that killed 50 South Koreans last year. U.S.-made missiles capable of striking Pyongyang were deployed to South Korean sites near the Demilitarized Zone earlier this year, South Korean media reports said. South Korea's Joint Chiefs of Staff declined to confirm the reports.
Copyright © 2011 The Associated Press. All rights reserved.


Kwa habari zaidi kongoli hapa

The Associated Press: Report: SKorean military fires at civilian plane

 
Hao watu wenyewe ndugu moja lugha moja si wapatane tu wataendelea kuwekeana chuki mpaka lini?,
 
Hizo ni siasa, walijua ni ya abiria na wameikosa kimakusudi. Walitaka kupeleka message North Korea, Kumbuka silaha za kisasa hazifanyi makosa kirahisi
 
Back
Top Bottom