Kwa kweli ni kitabu ambacho hutakiwi kusoma ukiwa na mtu wa jinsi nyingine na pili kina matukio ya kiutu-uzima (maneno makali, na graphic scenes like vifo). In short, si kitabu cha watoto wa shule ya msingi.
Kama ndivyo, basi ngoja mwenyezi mtukufu kwanza uishe, nitatupa order...i hope bado kitakuwapo!!