Mingoi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 11,715
- 6,119
Wenye habari zao wanajijua CUF wamesingiziwa tu ndio maana walihamaki.Kwani ni mCUF huyo????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye habari zao wanajijua CUF wamesingiziwa tu ndio maana walihamaki.Kwani ni mCUF huyo????
Mingoi pole sana. Hizo taarifa za awali zilizotolewa hata na madaktari kuwa wajeruhi wengi na hata marehemu mmoja wamekutwa na matundu ya risasi unaipotezea ama? Jaribu kuweka itikadi pembeni, tuungane sote kwenye hili kwani hapa Tanzania ITIKADI haina mpaka.
Uongo mwengine hauna hata maana,aliepigwa risasi yuko wapi sasa?
Una hamu ya mpakato wewe
Mingoi pole sana. Hizo taarifa za awali zilizotolewa hata na madaktari kuwa wajeruhi wengi na hata marehemu mmoja wamekutwa na matundu ya risasi unaipotezea ama? Jaribu kuweka itikadi pembeni, tuungane sote kwenye hili kwani hapa Tanzania ITIKADI haina mpaka.
Kwa hiyo kumbe mabomu yanarushwaga na POLICCM! Beware Tanzanians haya yameunganika TISS na polisi- Ighondu kwa Dr Ulimboka na sasa policcm waua Arusha tena kwenye mkutano wenye amani! Karibu tuchoke subirini!!!!!!!!majeruhi wamemsimulia mkuu wa mkoa wa Arusha bw Magesa Mulongo alipokwenda kuwasabahi hospitalini.wamemwambia kwamba polisi waliwarushia risasi na mabomu mara baada ya mlipuko mkubwa kutokea.
View attachment 97841
Yote mawili. Aliyerusha bomu anadhaniwa kuwa ni askari na waliorusha mabomu ya machozi na kupiga watu risasi pia ni askari polisi.Mi nahitaji jamani kujua,hilo bomu wamerusha askari au baada ya kulipuka bomu na kusikika mlipuko ndipo askari wakaanza kufyetua risasi??? Sijamuelewa vizuri mtoa mada.
Ndugu walioumizwa na mabomu na risasi ndio waliosema polisi walirusha mabomu na risasi, sasa uongo uko wapi???Uongo mwengine hauna hata maana,aliepigwa risasi yuko wapi sasa?
Hizi ni propaganda za kuleta chuki dhidi ya polisi, hao walio pigwa risasi wako wapi? Hizo ni chembe chembe za bomu na wala sio risasi. Tunamsubiri slaa aje na nyimbo yake ya usalama wa taifa
Toka lini chembe chembe za mabomu zikaacha maganda ya risasi chini?Hizi ni propaganda za kuleta chuki dhidi ya polisi, hao walio pigwa risasi wako wapi? Hizo ni chembe chembe za bomu na wala sio risasi. Tunamsubiri slaa aje na nyimbo yake ya usalama wa taifa
Mi nahitaji jamani kujua,hilo bomu wamerusha askari au baada ya kulipuka bomu na kusikika mlipuko ndipo askari wakaanza kufyetua risasi??? Sijamuelewa vizuri mtoa mada.