Nelson Masaduki
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 346
- 380
Nimemsikiliza Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola akifafanua baadhi ya mambo yanayohusu kesi ya Tundu Lissu. Pamoja na mambo mengine, amemuomba Lissu aje ayaeleze hayo mambo mengi waliyonayo kuhusu kesi yake. Ninachokiona ni umuhimu wa maelezo ya mlalamikaji katika hatua za awali za upelekaji wa kesi za jinai mahakamani.
Nelson,
Dodoma
Nelson,
Dodoma