Kudo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 1,809
- 6,081
Kama hazitambui zilizindua mahakama inayotembea kwann? Kama hazitambui kwa nini kuna ushahidi wa sauti na video?Sheria hazitambui Skype zinatambua mahojiano ya ana kwa ana.Peleka mswada wa marekebisho bungeni utakaotambua Skype kuwa njia mojawapo inayokubalika kisheria za Tanzania kwa mahojiano.Sheria zilitungwa kabla ya Skype kuwepo na hazijabadilishwa.Tundu Lisu na dereva wafike tu Tanzania wahojiwe
Acha kupotosha kitu usichokijua Chief