Giddy Mangi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 830
- 184
Makamanda wazima wote?napenda kupata maoni yenu juu ya haya Majengo yanayojengwa kila kukicha,Mfano Uhuru Height,Viva Tower baada ya M.35 kuna Movenpick,Nyumba ya Sanaa,Barclays Mambo ya Ndani,Wakimbizi Tower,Exim Tower,PPF Tower,Penshen Tower then next yapo mengine mawili Jamani kwa haya machache inamaana ni maendeleo na kama ndio basi Miundombinu inafikiriwa?