Makame
JF-Expert Member
- Jan 3, 2008
- 512
- 60
Wana JAMVI
HOSPITALI YA RUFAA SINGIDA inadai shilingi bilioni mia nane kukamilika. Taarifa hiyo alipewa Mheshimiwa Dkt Seif Rashid alipofanya ziara mkoani humo jana na Mtaalamu wa Chuo kikuu cha Ardhi.
Source Radio One (NEWS 23/07/2012).
Question
800,000,000,000/= ??????????????????????????????????????//
Wanajenga MJI au wanajenga Hospitali?????
Nawasilisha