NimeipataMi nikajua 'idea' umeitoa kwenye link flani niliiona google, ipo kama ulivyoelezea.
Nilishuhudia jinsi hayo makaburi ya kupangisha yalivyo, ni vyumba vidogo vidogo mfumo wa drawers vinavyoweza kuhifadhi ukubwa wa jeneza moja kila kimoja, zilizojengwa kwenye ukuta mmoja.
Jeneza ama mkebe wa majivu ukishahifadhiwa humo, mlango hufungwa kwa slab ya zege na kuwekwa jina ama namba ya utambulishi.
Namna ndugu wanavyokuja kuondoa mabaki ya mpendwa wao, kuyahamisha ama hela ya pango kuisha, slab iliyofungia huvunjwa na kuchomoa jeneza.
Hayo mabaki yakishatolewa, chumba hubakia wazi kungojea mpangaji mwingine!
Kaka mshana samahani naomba unisaidie namba zako za cm nina shida very urgentNaweza kuonekana mwendawazimu kwa hii mada lakini wenye kuona mbali wataona mantiki yake!
Ni hili la majeneza ya kukodi na makaburi ya kupanga..Maisha yanaenda kasi sana na mabadiliko mengi yasiyotarajiwa yanatokea kwa kasi kubwa...
Miaka 30 nyuma ilikuwa ni ajabu kukuta jeneza likiwa limeshatengenezwa tayari likisubiri maiti.. Iliitwa uchuro... Jeneza lilitengenezwa baada ya mtu kufa.. Na haikuwa bidhaa ya kujiingizia kipato..
Miaka 30 nyuma sehemu za kuzikia zilitolewa bure na kwa wale ambao hawakuwa na ndugu ama walikufa na hawakujulikana asili yao wala ndugu zao walizikwa na manispaa kwenye makaburi ya serikali... Siku hizi hao ndugu ni dili.. Kuna watu wananunua misiba!
Nje ya hayo ya marehemu vitu kama harusi na sherehe mbalimbali havikuwa na michango ya lazima kama ilivyo leo hii.. Sehemu za wazi ndio zilitumika na kama kuna kumbi basi zilitolewa bure au kwa malipo kidogo
Hakukuwa na caterers
Hakukuwa na ma mc wa kukodi
Hakukuwa na wapambaji wa kukodi nk
Nguo za harusi pia zilikuwa rasmi kabisa za wahusika ..hazikikodishwa kama ilivyo leo hii.. Na hizo nguo za harusi zilitunzwa mpaka kifo cha mhusika.. Na ndio nguo atakazovishwa siku yake ya mwisho duniani
Sasa kwa dunia ya wenzetu tayari wako hatua tano mbele wao hawaziki tena.. Wanachoma moto na kukodi sehemu ya kuhifadhi majivu yaliyoko kwenye jeneza dogo la mkebe.. Mkataba ukiisha wanaweza ku renew ama kuhamisha...!
Sisi huku bado hatujafikia hatua hiyo na hata hivyo sio mila na tamaduni zetu kuchoma wapendwa wetu
Kwa tunakoelekea na kwa hizi gharama kubwa za mazishi kwasasa ni lazima sasa tuanze kuangalia option ya kuwa na majeneza ya kukodi na makaburi ya kupanga
Maisha yetu yamegawanyika katika sherehe kuu tatu 1. Kuzaliwa 2. Harusi 3. Kifo.. Kila mojawapo ya hizo ndugu jamaa na marafiki hujitahidi kulifanya tukio kubwa na la kukumbukwa kwa muda mrefu..
Sasa basi kwenye hili la kifo tuanze kujiandaa kuwa na majeneza ya kukodi na makaburi ya kupanga
Kila mtu anapenda kitu kizuri hivyo basi kuwepo na majeneza mazuri ya kukodi.. Haya mwisho wake ni pale makaburini ambapo wakati wa kuzika ..mwili utabadilishwa na kuwekwa kwenye jeneza la kawaida tuu..kuliko kutumia gharama kubwa kununua jeneza la gharama ambalo linaenda kuharibika ardhini...!
Kuhusu makaburi ya kupanga iko hivi... Unapata msiba wa ndugu yako, mwanao mke,mume nknk.. Lakini kipindi hicho mambo yako bado hayako kivile na huna kwako mwenyewe unaishi sehemu ya kupanga ...Kwenye situation kama hii ukipata msiba unaweza kwenda kuhifadhi mwili kwenye makaburi ya kupanga mpaka utakapopata sehemu yako mwenyewe...
Nitandelea
Yap, hii ya majeneza ya kukodi haipo mbali sana. Kwa mfano, unaweza kuwa na jeneza zuri sana (material inayodumu (metal?), nyepesi, etc) kubwa kidogo hili ndio linakodishwa. Hilo linatengenezwa kuweza Ku accommodate jeneza dogo ndani na kulifanya liweze kufunguka kwa urahisi wakati wa kulitoa hilo jeneza dogo......hili jeneza dogo linakuwa la kawaida tu.... la mbao laini na lisilo na marembo kabisa....hili ndio linabakia kaburini.Naweza kuonekana mwendawazimu kwa hii mada lakini wenye kuona mbali wataona mantiki yake!
Ni hili la majeneza ya kukodi na makaburi ya kupanga..Maisha yanaenda kasi sana na mabadiliko mengi yasiyotarajiwa yanatokea kwa kasi kubwa...
Miaka 30 nyuma ilikuwa ni ajabu kukuta jeneza likiwa limeshatengenezwa tayari likisubiri maiti.. Iliitwa uchuro... Jeneza lilitengenezwa baada ya mtu kufa.. Na haikuwa bidhaa ya kujiingizia kipato..
Miaka 30 nyuma sehemu za kuzikia zilitolewa bure na kwa wale ambao hawakuwa na ndugu ama walikufa na hawakujulikana asili yao wala ndugu zao walizikwa na manispaa kwenye makaburi ya serikali... Siku hizi hao ndugu ni dili.. Kuna watu wananunua misiba!
Nje ya hayo ya marehemu vitu kama harusi na sherehe mbalimbali havikuwa na michango ya lazima kama ilivyo leo hii.. Sehemu za wazi ndio zilitumika na kama kuna kumbi basi zilitolewa bure au kwa malipo kidogo
Hakukuwa na caterers
Hakukuwa na ma mc wa kukodi
Hakukuwa na wapambaji wa kukodi nk
Nguo za harusi pia zilikuwa rasmi kabisa za wahusika ..hazikikodishwa kama ilivyo leo hii.. Na hizo nguo za harusi zilitunzwa mpaka kifo cha mhusika.. Na ndio nguo atakazovishwa siku yake ya mwisho duniani
Sasa kwa dunia ya wenzetu tayari wako hatua tano mbele wao hawaziki tena.. Wanachoma moto na kukodi sehemu ya kuhifadhi majivu yaliyoko kwenye jeneza dogo la mkebe.. Mkataba ukiisha wanaweza ku renew ama kuhamisha...!
Sisi huku bado hatujafikia hatua hiyo na hata hivyo sio mila na tamaduni zetu kuchoma wapendwa wetu
Kwa tunakoelekea na kwa hizi gharama kubwa za mazishi kwasasa ni lazima sasa tuanze kuangalia option ya kuwa na majeneza ya kukodi na makaburi ya kupanga
Maisha yetu yamegawanyika katika sherehe kuu tatu 1. Kuzaliwa 2. Harusi 3. Kifo.. Kila mojawapo ya hizo ndugu jamaa na marafiki hujitahidi kulifanya tukio kubwa na la kukumbukwa kwa muda mrefu..
Sasa basi kwenye hili la kifo tuanze kujiandaa kuwa na majeneza ya kukodi na makaburi ya kupanga
Kila mtu anapenda kitu kizuri hivyo basi kuwepo na majeneza mazuri ya kukodi.. Haya mwisho wake ni pale makaburini ambapo wakati wa kuzika ..mwili utabadilishwa na kuwekwa kwenye jeneza la kawaida tuu..kuliko kutumia gharama kubwa kununua jeneza la gharama ambalo linaenda kuharibika ardhini...!
Kuhusu makaburi ya kupanga iko hivi... Unapata msiba wa ndugu yako, mwanao mke,mume nknk.. Lakini kipindi hicho mambo yako bado hayako kivile na huna kwako mwenyewe unaishi sehemu ya kupanga ...Kwenye situation kama hii ukipata msiba unaweza kwenda kuhifadhi mwili kwenye makaburi ya kupanga mpaka utakapopata sehemu yako mwenyewe...
Nitandelea
Ni wazo zuri pia lakini hapo kumbuka kuna ya kukodi na kuna ya kununua moja kwa mojaYap, hii ya majeneza ya kukodi haipo mbali sana. Kwa mfano, unaweza kuwa na jeneza zuri sana (material inayodumu (metal?), nyepesi, etc) kubwa kidogo hili ndio linakodishwa. Hilo linatengenezwa kuweza Ku accommodate jeneza dogo ndani na kulifanya liweze kufunguka kwa urahisi wakati wa kulitoa hilo jeneza dogo......hili jeneza dogo linakuwa la kawaida tu.... la mbao laini na lisilo na marembo kabisa....hili ndio linabakia kaburini.
Kwa upande wa makaburi ninaloona ni kuwa watu wanaweza kuanza kuchimba na kutengeza (kujenga) makaburi kadhaa katika eneo fulani....katika mpangilio mazuri wa kuvutia na unaotumia vizuri ardhi.....kwa hiyo ukitaka kuzika mpendwa wako, "unanunua" kaburi (shimo?) ambalo lipo tayari kila kitu, tena mpaka ule mfuniko (wa zege) unakuwa umetengenezwa tayari,....ni kuuinua na kufunika kaburi tu.
ninaswal mkuu! ivi kuna jeneza zuri? Au baya?Naweza kuonekana mwendawazimu kwa hii mada lakini wenye kuona mbali wataona mantiki yake!
Ni hili la majeneza ya kukodi na makaburi ya kupanga..Maisha yanaenda kasi sana na mabadiliko mengi yasiyotarajiwa yanatokea kwa kasi kubwa...
Miaka 30 nyuma ilikuwa ni ajabu kukuta jeneza likiwa limeshatengenezwa tayari likisubiri maiti.. Iliitwa uchuro... Jeneza lilitengenezwa baada ya mtu kufa.. Na haikuwa bidhaa ya kujiingizia kipato..
Miaka 30 nyuma sehemu za kuzikia zilitolewa bure na kwa wale ambao hawakuwa na ndugu ama walikufa na hawakujulikana asili yao wala ndugu zao walizikwa na manispaa kwenye makaburi ya serikali... Siku hizi hao ndugu ni dili.. Kuna watu wananunua misiba!
Nje ya hayo ya marehemu vitu kama harusi na sherehe mbalimbali havikuwa na michango ya lazima kama ilivyo leo hii.. Sehemu za wazi ndio zilitumika na kama kuna kumbi basi zilitolewa bure au kwa malipo kidogo
Hakukuwa na caterers
Hakukuwa na ma mc wa kukodi
Hakukuwa na wapambaji wa kukodi nk
Nguo za harusi pia zilikuwa rasmi kabisa za wahusika ..hazikikodishwa kama ilivyo leo hii.. Na hizo nguo za harusi zilitunzwa mpaka kifo cha mhusika.. Na ndio nguo atakazovishwa siku yake ya mwisho duniani
Sasa kwa dunia ya wenzetu tayari wako hatua tano mbele wao hawaziki tena.. Wanachoma moto na kukodi sehemu ya kuhifadhi majivu yaliyoko kwenye jeneza dogo la mkebe.. Mkataba ukiisha wanaweza ku renew ama kuhamisha...!
Sisi huku bado hatujafikia hatua hiyo na hata hivyo sio mila na tamaduni zetu kuchoma wapendwa wetu
Kwa tunakoelekea na kwa hizi gharama kubwa za mazishi kwasasa ni lazima sasa tuanze kuangalia option ya kuwa na majeneza ya kukodi na makaburi ya kupanga
Maisha yetu yamegawanyika katika sherehe kuu tatu 1. Kuzaliwa 2. Harusi 3. Kifo.. Kila mojawapo ya hizo ndugu jamaa na marafiki hujitahidi kulifanya tukio kubwa na la kukumbukwa kwa muda mrefu..
Sasa basi kwenye hili la kifo tuanze kujiandaa kuwa na majeneza ya kukodi na makaburi ya kupanga
Kila mtu anapenda kitu kizuri hivyo basi kuwepo na majeneza mazuri ya kukodi.. Haya mwisho wake ni pale makaburini ambapo wakati wa kuzika ..mwili utabadilishwa na kuwekwa kwenye jeneza la kawaida tuu..kuliko kutumia gharama kubwa kununua jeneza la gharama ambalo linaenda kuharibika ardhini...!
Kuhusu makaburi ya kupanga iko hivi... Unapata msiba wa ndugu yako, mwanao mke,mume nknk.. Lakini kipindi hicho mambo yako bado hayako kivile na huna kwako mwenyewe unaishi sehemu ya kupanga ...Kwenye situation kama hii ukipata msiba unaweza kwenda kuhifadhi mwili kwenye makaburi ya kupanga mpaka utakapopata sehemu yako mwenyewe...
Nitandelea
Ndio yapo majeneza mazuri na mabaya kwa maana yaninaswal mkuu! ivi kuna jeneza zuri? Au baya?
duh mim sijawai vutiwa na majezena yote nayaona mabayatuNdio yapo majeneza mazuri na mabaya kwa maana ya
1. Mwonekano
2. Malighafi
3. Gharama
4. Yalipitia mikononi mwa wachawi
5. Yaliyonenewa mambo mabaya
6.Mbao zake zinazotokana na mti uliokiwa kilinge nknk
What if huyo mpangaji naye akafa kabla hajahamisha mwili wa mpendwa wakeKuhusu makaburi ya kupanga iko hivi... Unapata msiba wa ndugu yako, mwanao mke,mume nknk.. Lakini kipindi hicho mambo yako bado hayako kivile na huna kwako mwenyewe unaishi sehemu ya kupanga ...Kwenye situation kama hii ukipata msiba unaweza kwenda kuhifadhi mwili kwenye makaburi ya kupanga mpaka utakapopata sehemu yako mwenyewe...
Watakuja wenye Tozo zao fasta.Nitakucheki.. Huu mchongo ni fursa adhimu nimeacha uganga acha nigeukie fursa nyinginezo