Majenerali Wamgeuka Yahya Jammeh, sasa kwenda uhamishoni

Mnaoshangilia miaka miwili ijayo mtaanza kusema walimuonea kama gaddafi, oooh alikua anajua kitakachotokea na lawama kibao.......
Waafrika tuna laaana, demokrasia haijawahi kua mfumo wa kiafrika lakini mtu anashabikia kama ipo kwenye DNA yake, kihistoria hakuna nchi ilioendelea bila dictatorship, either internal or external dictatorship

Sasa kuna haja gan ya uchaguzi kiongoz kama udikteta ndio mfumo unaofaa afrika unaonaje kuwe na utaratibu wa kupinduana kila baada ya miaka mitano
 
Mimi sijui niamini nini ,"you dont read news papers you are uninformed ,you read news papers you are misinformed "- Denzel Washington
 
Mnaoshangilia miaka miwili ijayo mtaanza kusema walimuonea kama gaddafi, oooh alikua anajua kitakachotokea na lawama kibao.......
Waafrika tuna laaana, demokrasia haijawahi kua mfumo wa kiafrika lakini mtu anashabikia kama ipo kwenye DNA yake, kihistoria hakuna nchi ilioendelea bila dictatorship, either internal or external dictatorship

Ghadafi aliuwawa kwa sababu ya udikteta wake.
Binadamu aliumbwa huru na siku zote atabaki huru.
 
Mkuu uko sawa mm mwenyewe ni muumin wa udikteta naamin kwa nchi ambazi bado hazijaendelea udicteta unahitajika ili maendeleo yakifikia level fulan nzur ndio tuwaachie wapayukaji wa kisiasa waanze mambo yao maana huwa nakereka nchi INA matatizo lukuki halafu kila mtu anataka asikilizwe badala ya kutatua changamoto huku wengine wakitaka maandamano ni upuuzi tu. Angalia mifano kutoka China hakuna pure democracy anayoihubiri mmarekan still jamaa wako juu kiuchumi kuishinda ulaya na democrasia yao

Maendeleo ni zaidi ya Majengo,Reli,Ndege,Meli na Barabara.
Maendeleo ni pamoja na kuheshimu haki za binadamu.
 
Safi sana sio wakuvali kuuwa watu kwa ajili ya mpuuzi mmoja,jitu linetawala karibia miaka 20 haliridhiki
 
Mkuu uko sawa mm mwenyewe ni muumin wa udikteta naamin kwa nchi ambazi bado hazijaendelea udicteta unahitajika ili maendeleo yakifikia level fulan nzur ndio tuwaachie wapayukaji wa kisiasa waanze mambo yao maana huwa nakereka nchi INA matatizo lukuki halafu kila mtu anataka asikilizwe badala ya kutatua changamoto huku wengine wakitaka maandamano ni upuuzi tu. Angalia mifano kutoka China hakuna pure democracy anayoihubiri mmarekan still jamaa wako juu kiuchumi kuishinda ulaya na democrasia yao
Africa na middle east ndio wanaongoza kwa kuwa na madikteta wengi mbona hakuna maendeleo? Kila siku ni vita tu. Ingekua udikteta ni mfumo mzuri kuliko democracy Russia ingekua na maendeleo kuliko marekani au Zimbabwe ingekua na uchumi mzuri kuliko nchi za ulaya. Hakuna nchi ilioendelea kwasabaabu ya udikteta
 
binadamu aliumbwa huru cant imagine leo sheria kandamiz za mitandao ya kijamii uhuru wa kujieleza ukisema ukwel unafunga dharau na maamuzi ya kukurupuka ya akina gambo ndalichk makonda hata mkulu mwenyewe ni mkopo no ajira ni uhuru no mikutano ya kisiasa hakuna raha wala amani kwenye ajira halafu ujiite et unajenga reli cjui unanunua ndege wakati mtu hali milo mitatu unategemea utamuongoza kwa mabavu atakubali yuko radhi awe muasi ili usimtawale cm jifunzeni haki mlioidhurumu zanzibar tena bila aibu mnamsifu jecha ukimya wa wananchi utawatafuna mpaka kaburini mwenu hii c ya sheni wala ccm ukishindwa watu wamekukataaa kaa pembeni linda heshima yako

mbadilike
 
Africa na middle east ndio wanaongoza kwa kuwa na madikteta wengi mbona hakuna maendeleo? Kila siku ni vita tu. Ingekua udikteta ni mfumo mzuri kuliko democracy Russia ingekua na maendeleo kuliko marekani au Zimbabwe ingekua na uchumi mzuri kuliko nchi za ulaya. Hakuna nchi ilioendelea kwasabaabu ya udikteta
Mkuu Libya, Iraq, Saudi Arabia, UAE, China nk. Pia mataifa ya ulaya yalipiga hatua kipindi cha kina Hitler. Nimesema mambo yakikaa sawa kwenye nchi ndio democracy irudishwe kwa mfan kwa level ambayo Libya ilifikia kiuchumi na Huduma za kijamii Gadaffi alipaswa kurejesha utawala wa kidemokrasia kwa kuwa alishainyoosha nchi
 
Mkuu uko sawa mm mwenyewe ni muumin wa udikteta naamin kwa nchi ambazi bado hazijaendelea udicteta unahitajika ili maendeleo yakifikia level fulan nzur ndio tuwaachie wapayukaji wa kisiasa waanze mambo yao maana huwa nakereka nchi INA matatizo lukuki halafu kila mtu anataka asikilizwe badala ya kutatua changamoto huku wengine wakitaka maandamano ni upuuzi tu. Angalia mifano kutoka China hakuna pure democracy anayoihubiri mmarekan still jamaa wako juu kiuchumi kuishinda ulaya na democrasia yao
Udikteta hua hauna nafasi kama viongozi ni mafisadi. China kila pesa inayovunwa uhakika wa kuwafikia wananchi ni mkubwa kuliko kuishia mifukoni kwa wachache.
 
Mkuu Libya, Iraq, Saudi Arabia, UAE, China nk. Pia mataifa ya ulaya yalipiga hatua kipindi cha kina Hitler. Nimesema mambo yakikaa sawa kwenye nchi ndio democracy irudishwe kwa mfan kwa level ambayo Libya ilifikia kiuchumi na Huduma za kijamii Gadaffi alipaswa kurejesha utawala wa kidemokrasia kwa kuwa alishainyoosha nchi

Udikteta hauna nafasi Duniani.Unaelewa mwisho wa madikteta?.
Mataifa ya Ulaya hayakupiga hatua kipindi cha akina Hitler.Maendeleo ya Ulaya na China yameanza Karne nyingi sana zilizopita.Soma vizuri historia ya China na Ulaya ndio utajua ninachokiongelea.Baada yahekaheka nyingi sana na mateso walikuja kugundua kwamba sheria zinazoendana na mazingira yao pamoja na kuzifuata ndio msingi wa maendeleo.
Sisi tunatakiwa tuige mazuri kutoka kwao na sio mabaya waliyopitia.
Ukiruhusu udikteta kubali serikali zenye kupinduana mpaka hapo mtakapoheshimiana.
 
Hili jeshi halina nidhamu isipokuwa limeogopa mtiti wa jeshi la ECOWAS
Ulitaka ling'ang'anie.

Whichever the case angalau limeepusha umwagaji wa damu ya raia wake wasio na hatia, lilikuwa na uwezo wa kuamua kumtetea Jammeh hata kama lingekuja kushindwa baadae, kumbuka hakuna vita ndogo.
 
Lakini lazima ujue ECOWAS wakiongozwa na Senegal wanafua misuli kwa ajili ya kumtia adabu, kwa jiografia ya Gambia mpiganaji yeyote mwenye akili lazima ajue kitakachofuata baada ya vita kuanza kwani uwezi jua Senegal wataanzia pembe ipi. Hivyo uki geu geu nautegemea sana
_20161230_140411.JPG
 
Back
Top Bottom