kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,002
- 11,929
Kwa mara ya kwanza kutokea Africa,natamani huo utaratibu ungesambaa sehemu zoteNi vzr kuona makamanda wa ngazi za juu wakisimamia UKWELI na kuheshimu maamuzi ya wananchi ,huo ndio uzalendo wa kweli na sio unafiki