Smartbeing
JF-Expert Member
- Apr 7, 2014
- 323
- 422
Mheshimiwa anayo mamlaka ya kuteua na kutengua uteuzi wakati wowote. Kwa mtazamo wangu kuna majembe ambayo labda yangetusaidia, na nikiyapanga kwa rank ya umuhimu ni kama ifuatavyo :
1. Dr Sylvester Likwelile - PS Fedha
2. Dr. Ally Simba - TCRA
3. Mr Benard Mchomvu - chairman TRA
4. Kanali Fabian Massawe - RC Kagera
5. Lawrence Mafuru - Hazina
Mzee hawa jamaa wakipangiwa kazi nyingine muhimu watatusaidia sana. Pia chonde chonde Prof. Ndullu ni jembe at your wish apewe nafasi, tena ikiwezekana muondolee hofu kuwa hataondoka ili awe huru zaidi.
1. Dr Sylvester Likwelile - PS Fedha
2. Dr. Ally Simba - TCRA
3. Mr Benard Mchomvu - chairman TRA
4. Kanali Fabian Massawe - RC Kagera
5. Lawrence Mafuru - Hazina
Mzee hawa jamaa wakipangiwa kazi nyingine muhimu watatusaidia sana. Pia chonde chonde Prof. Ndullu ni jembe at your wish apewe nafasi, tena ikiwezekana muondolee hofu kuwa hataondoka ili awe huru zaidi.