feitty
JF-Expert Member
- Jul 10, 2015
- 2,593
- 4,168
Wakati mwingine huwa sielewiAcha kabisa yani mtaani kwetu kuna mmoja anadai eneo lote la mtaa wetu ni lake( ni makazi mapya) enzi za Magu alipoleta za kuleta akazimwa akatulia tuliii, baada ya kifo cha Magu tu alitoka kama umeme kalianzisha upya na wakati mpaka kesi alifuta mwenyewe
Hao watu wanakuwaga wapi mpaka watu wanajenga kunahamiwa halafu baadae wanasema maeneo ni yakwao??
Why wasijitokeze awali kabisa wanapoona watu wanaanza kupaendeleza??
Yaani watu wajenge wahamie pageuke mji halafu unakuja kusema ni eneo lako unakuwa wapi muda wote huo hayo yakifanyika.