Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,906
- 22,036
Jamani kuna vitu vinaendelea kutengenezwa na kuwaumiza wananchi kila siku sasa tumeamua kuuliza je hii ndio miradi aliosema kikwete ya ccm 2010 ama ...mbona wana speed na hakuna viongozi wanaolaumu huu uharamia jamani....watanzania tuamke wenye mabasi msitoe mabasi yenu mpaka huu upuuzi wa majembe uondoke na wenzake....yule baba sumatra amnekaa kuiba tu