Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,299
- 33,082
Miaka inapita figo zetu zinachuja damu kwa kuondoa chumvi na bakteria wasiohitajika waliomo kwenye miili yetu. Baada ya muda wa chumvi kukusanyika kwenye figo hali inayopelekea kuhitaji tiba ya kusafishwa.
Ifuatayo ni njia nyepesi na rahisi ya kusafisha figo.
- Chukua fungu la majani ya mnanaa na uoshe. Katakata vipande vidogo vidogo na weka kwenye sufuria .
- Mwagia maji safi na kisha chemsha kwa dakika kumi(10) kisha acha yapoe.
- Chuja kimiminika chako chenye majani ya mnanaa na hifadhi kwenye chupa safi kwenye friji ili iendelee kuwa baridi.
- Kunywa glasi moja ya maji kila siku na utaona mabadiliko. Chumvi na yote na uchafu mwingine uliokua umejikusanya utatolewa nje ya figo wakati wa kukojoa. Utaweza kugundua mabadiliko ya mwili wako mwenyewe.
ONYO: Hii Dawa kwa Mwanamme asitumie zaidi ya siku 7 tu kwani ukitumia kwa wingi Mwanamme inapunguza nguvu za kiume Tafadhali sana usitumie zaidi ya siku 7 tu.
Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App +905013460377 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Mzizi Mkavu