Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kwa sasa nafikiria kuhudumia wateja wa Dar kwa hawa ng'ombe wa kisasa. Hivyo nafikiria kuyalima Kisarawe, huko ndiko nina eneo.Unataka kuyapanda wapi ,mkoa gani?
Majani yapo aina nyingi kama Guatemala, elephant grass nk.
Nataka kujua hali ya hewa ulipo, unyeshaji wa mvua nk.
Kwa mkoa wa Pwani (Kisarawe) majani yanayofaa ni majani tembo jina la kisayansi Pennisetum purpureum ,kwa kiengereza elephant grass.Mkuu kwa sasa nafikiria kuhudumia wateja wa Dar kwa hawa ng'ombe wa kisasa. Hivyo nafikiria kuyalima Kisarawe, huko ndiko nina eneo.
Na akijaribu Hydroponic Fodder sio mbaya, ngano/barley hukua kwa kasi na huweza kujazilizia pale inapokuwa majani hayapo. Ulizia kwa watalaamu wa kilimo watakujuza zaidi au unaweza pita YouTube kujuojea kidogo vile yapo.Kwa mkoa wa Pwani (Kisarawe) majani yanayofaa ni majani tembo jina la kisayansi Pennisetum purpureum ,kwa kiengereza elephant grass.
Haya yana uwezo mkubwa wa kuvumilia ukame na yanastawi sehemu ya ardhi yoyote.
Kwa msaada zaidi kama utapenda Tafuta kitabu hiki-Mwongozo wa Ufugaji Bora wa Ng'ombe wa maziwa.Kuna maelezo ya kila aina ya majani yote na sifa ya majani,na jinsi ya kuvuna na kuhifadhi.
Mpigie 0756625286,yeye anauza Kitabu na ni mtaalam na mzoefu wa mambo hayo pia atakushauri kuhusu mambo ya Ufugaji wa ng'ombe na ulimaji wa malisho.
Pia gharama yake yaweza kuwa kubwa zaidi hivyo gharama za uzalishaji kuwa kubwa hivyo kupunguza faidaKutokana na ngano kua na matumizi mengine hydroponic fodder ni gharama kufanya mkuu .ila pia hydroponic kiuhalisia quality yake kwa mifugo kama mbuz na ng'mbe aiko vizur kutokana na kua low dry matter content offcoz ni kwamba aiwez kutoshereza mahitaji mnyama vizur.