Manyi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 3,253
- 604
Watanzania acheni wivu wa kike na mjadili hoja baada ya kupata upande wa pili.
MUHONGO alikata ndege baada ya kuambiwa inapita DUBAI na wanalala DUBAI.
KWA HALI YA DUNIA HII KWENDA ALGERIA MPKA ULALE NJIANI???
WATU TUNAENDA CHINA MAREKANI HATULALI NJIANI IJE KUA ALGERIA?\
MUHONGO ALISEMA HAWEZI LALA DUBAI KWA SAFARI YA ALGERA
AKABADILI NDEGE AKAPANDA KLM AKAFIKA ALGERIA SIKU HIYO HIYO NA ALIPANDA Economy Class
KWA WALE WALIOWAHI KUPITIA DUBAI WANAWEZA KUSEMA. HASA KIPINDI HUKI CHA SIKUU DUBAI NI SHIDA SANA SEHEMU YA KULALA NI SHIDA. SASA MLITAKA MUHONGO AWAFRAHISHE AKALALE DUBAI? ACHENI UJINGA
Lakini mkuu, wakati wanakata ticket zao si walijua hilo?? Na pia hii si inaonyeshwa kwenye ticket?? Au kulikuwa na mabadiliko, fafanua manake unaonyesha unaijua hii issue vizuri!!!