Yani wewe kapuku mmoja ndio uwe na ugomvi na raisi wa nchi endelea kukaa kwa shemej yako hapougomvi wangu mimi na jiwe ulikuwa kwenye kukandamiza demokrasia kuteka kuua watu pamoja na ukabila + ukanda
piga kelele lakini cha muhimu ni kwamba dictator magufuli amekufa end of storyYani wewe kapuku mmoja ndio uwe na ugomvi na raisi wa nchi endelea kukaa kwa shemej yako hapo
Jela watakupenda wewe Michael Jackson, mtoto una kalikitiunawaza kula tu,kuna jela dada.
Chadema kubalini JPM alipendwa hasa na watanzania. Hili liwe funzo kwa JK na Samia kuwa usilete ufisadi wa 2005-2015