sayoo
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 5,267
- 7,855
Museven yupo sahahi na c muongo kachukua hatua mapema Sana na mpaka sasa raia wake wote wapo ndani, museven anajali afya za RAIA wake sio uchumi , uchumi wenyewe bila RAIA wenye afya hauna maana yeyoteMseveni anatuchafua ,ni kama ina maana wageni ndo wanaingiza corona kwao hawaambukizani na cases haipandi ila wanapona ,huyu mzee ni mwongo
♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
Sent using Jamii Forums mobile app