kanyagio
JF-Expert Member
- Dec 10, 2009
- 1,021
- 365
habari ifuatayo ni tetezi, bado nafuatilia kujua kama ni ya kweli. hasa kufahamu ni kampuni gani imekumbwa na maswahiba haya.
"majambazi yamevamia ofisi za kampuni mpya ya simu jana mahira ya saa 3.30 usiku huko maeneo ya masaki karibu na coco beach . kwa habaaari zenye uhakika ni kwamba majambaz hayo yalikuja na gari ya security comapn na kujifanya yamekuja kupakua mzigo ndipo yalipofunguliwa mlango yaliingia ndan na kuwatyt walinzi na kuingia panapo ofisi kuu. waliingia watu kama ishirin wakiwa na uniform za ultimate security na walipoingia ofisi za juu waliwafunga kamba waliokuwa shift ivo walifanikiwa kupora simu za watu hao na fedha pia na kama tulivyozoea wafanyakaz wengi wa maofisin wanaachaga lap top zao oficn walizichukua takriban laptop 56 na shelf la pesa na vitu vingine visivyo na idadi"
"majambazi yamevamia ofisi za kampuni mpya ya simu jana mahira ya saa 3.30 usiku huko maeneo ya masaki karibu na coco beach . kwa habaaari zenye uhakika ni kwamba majambaz hayo yalikuja na gari ya security comapn na kujifanya yamekuja kupakua mzigo ndipo yalipofunguliwa mlango yaliingia ndan na kuwatyt walinzi na kuingia panapo ofisi kuu. waliingia watu kama ishirin wakiwa na uniform za ultimate security na walipoingia ofisi za juu waliwafunga kamba waliokuwa shift ivo walifanikiwa kupora simu za watu hao na fedha pia na kama tulivyozoea wafanyakaz wengi wa maofisin wanaachaga lap top zao oficn walizichukua takriban laptop 56 na shelf la pesa na vitu vingine visivyo na idadi"