Majambazi zaidi ya 20 yafanya kweli Masaki

kanyagio

JF-Expert Member
Dec 10, 2009
1,021
365
habari ifuatayo ni tetezi, bado nafuatilia kujua kama ni ya kweli. hasa kufahamu ni kampuni gani imekumbwa na maswahiba haya.

"majambazi yamevamia ofisi za kampuni mpya ya simu jana mahira ya saa 3.30 usiku huko maeneo ya masaki karibu na coco beach . kwa habaaari zenye uhakika ni kwamba majambaz hayo yalikuja na gari ya security comapn na kujifanya yamekuja kupakua mzigo ndipo yalipofunguliwa mlango yaliingia ndan na kuwatyt walinzi na kuingia panapo ofisi kuu. waliingia watu kama ishirin wakiwa na uniform za ultimate security na walipoingia ofisi za juu waliwafunga kamba waliokuwa shift ivo walifanikiwa kupora simu za watu hao na fedha pia na kama tulivyozoea wafanyakaz wengi wa maofisin wanaachaga lap top zao oficn walizichukua takriban laptop 56 na shelf la pesa na vitu vingine visivyo na idadi"
 
hiyo habari ilitumwa na mdau mmoja, naendelea kufuatilia habari zaidi
 
habari ifuatayo ni tetezi, bado nafuatilia kujua kama ni ya kweli. hasa kufahamu ni kampuni gani imekumbwa na maswahiba haya.

"majambazi yamevamia ofisi za kampuni mpya ya simu jana mahira ya saa 3.30 usiku huko maeneo ya masaki karibu na coco beach . kwa habaaari zenye uhakika ni kwamba majambaz hayo yalikuja na gari ya security comapn na kujifanya yamekuja kupakua mzigo ndipo yalipofunguliwa mlango yaliingia ndan na kuwatyt walinzi na kuingia panapo ofisi kuu. waliingia watu kama ishirin wakiwa na uniform za ultimate security na walipoingia ofisi za juu waliwafunga kamba waliokuwa shift ivo walifanikiwa kupora simu za watu hao na fedha pia na kama tulivyozoea wafanyakaz wengi wa maofisin wanaachaga lap top zao oficn walizichukua takriban laptop 56 na shelf la pesa na vitu vingine visivyo na idadi"

Kampuni iliyopo Masaki karibu na Coco Beach ni sasatel.
 
habari ifuatayo ni tetezi, bado nafuatilia kujua kama ni ya kweli. hasa kufahamu ni kampuni gani imekumbwa na maswahiba haya.

"majambazi yamevamia ofisi za kampuni mpya ya simu jana mahira ya saa 3.30 usiku huko maeneo ya masaki karibu na coco beach . kwa habaaari zenye uhakika ni kwamba majambaz hayo yalikuja na gari ya security comapn na kujifanya yamekuja kupakua mzigo ndipo yalipofunguliwa mlango yaliingia ndan na kuwatyt walinzi na kuingia panapo ofisi kuu. waliingia watu kama ishirin wakiwa na uniform za ultimate security na walipoingia ofisi za juu waliwafunga kamba waliokuwa shift ivo walifanikiwa kupora simu za watu hao na fedha pia na kama tulivyozoea wafanyakaz wengi wa maofisin wanaachaga lap top zao oficn walizichukua takriban laptop 56 na shelf la pesa na vitu vingine visivyo na idadi"


Hao ni majambazi au kundi la vibaka au ni kundi la waasi wezinduka na kufanya huo uhalifu ???? watu 20 jamani??

Hii nchi sasa inahitaji viongozi ambano ni ma dictator period ndio tutasonga mbele nao sasa huu uhuru si uhuru tena ni kunyanyasana ndani ya uhuru na kuutumia vibaya

 
Kinachosigitisha zaidi kuhusu ulinzi ni kuwa polisi wetu msaada wao ni mdogo sana. Tuliopata taarifa mapema baada ya kupigiwa na waliokua zamu wezi walipoondoka, tulijaribu kupiga emmergency number za polisi na za makamanda ikiwemo number ya saidi mwema lakini cha kusigitisha ni kuwa hakuna mtu aliyekua anapokeo hizo simu. Hivyo wezi walichukua walivyotaka kwa raha zao na kuondoka bila preasure yeyote ile. Sijui watanzani wategemee ulininzi toka wapi. Polisi wamefika pale zaidi ya nusu saa tangu uhalifu ulipotokea. Mmoja wetu aliyepigiwa simu akiwa tabata ndiye aliyekimbia hadi osterbay kutoa taarifa...sasa waweza kuelewa mtu atoke tabata na hii foleni ya dar eti ndio akawahi wezi waliokwisha kuiba na kutoka.

Hiini setback kubwa sana kwa kampuni hii ambayo ndio kwanza haijafikisha hata mwaka tangu ianze operation mwaka jana. Polisi walipofika pale hakuna hata la maana walilokua nalo zaidi ya kuwatukana nakuwagombeza wale walinzi waliopigwa na kuumizwa kisha kufungwa na kamba. Wezi walituibia hadi pete za ndoa mikono ikiwa pamoja na simu na pesa tulizokua nazo mikononi.

Ashukuruwe Mungu kuwa wafanyakazi hawakuumizwa
 
Unataka uthibitisho gani? huelewi nini...Sasatel imevamiwa jana na majambazi waliongia na Hiace...waliwahadaa walinzi kuwa wanaingiza mali za kampuni toka bandarini zilikochelewa. Walinzi kwa uzembe nao wakawafungulia geti bila kuthibitisha ukweli. Kibaya zaidi wale walinzi ndio ilikua mara yao ya kwanza kupangiwa ulinzi sasatel.

Pia nimhahihishe mmoja laiyesema walikuwa wamevaa uniform za altimate security...baadhi yao kama watano walikua wamevaa uniform za Knight Support ambao ndio wanalinda pale. Tulikuta wameacha shati moja na kofia za kampuni hiyo nje ya jengo.
 
habari ifuatayo ni tetezi, bado nafuatilia kujua kama ni ya kweli. hasa kufahamu ni kampuni gani imekumbwa na maswahiba haya.

"majambazi yamevamia ofisi za kampuni mpya ya simu jana mahira ya saa 3.30 usiku huko maeneo ya masaki karibu na coco beach . kwa habaaari zenye uhakika ni kwamba majambaz hayo yalikuja na gari ya security comapn na kujifanya yamekuja kupakua mzigo ndipo yalipofunguliwa mlango yaliingia ndan na kuwatyt walinzi na kuingia panapo ofisi kuu. waliingia watu kama ishirin wakiwa na uniform za ultimate security na walipoingia ofisi za juu waliwafunga kamba waliokuwa shift ivo walifanikiwa kupora simu za watu hao na fedha pia na kama tulivyozoea wafanyakaz wengi wa maofisin wanaachaga lap top zao oficn walizichukua takriban laptop 56 na shelf la pesa na vitu vingine visivyo na idadi"

Sio tetesi ndugu yangu...wezi wamevamia sasatel majira ya saa tatu na nusu...wengi kama 20 hivi...hawakuua zaidi ya kuumiza walinzi...wakaingia ndani na kuwafunga staff waliokua zamu na kuwapora kila walichokua nacho...waliiba kila kilichowafaa ikiwa ni pamoja na kuvunja store na kuiba safe ya kampuni kama ilivyo pamoja na uzito wake wote.
 
Unataka uthibitisho gani? huelewi nini...Sasatel imevamiwa jana na majambazi waliongia na Hiace...waliwahadaa walinzi kuwa wanaingiza mali za kampuni toka bandarini zilikochelewa. Walinzi kwa uzembe nao wakawafungulia geti bila kuthibitisha ukweli. Kibaya zaidi wale walinzi ndio ilikua mara yao ya kwanza kupangiwa ulinzi sasatel.

Pia nimhahihishe mmoja laiyesema walikuwa wamevaa uniform za altimate security...baadhi yao kama watano walikua wamevaa uniform za Knight Support ambao ndio wanalinda pale. Tulikuta wameacha shati moja na kofia za kampuni hiyo nje ya jengo.

Habari ilivyo inatoa picha kuwa wakusika wa wizi huo ni wafanyakazi wa Sasatel
 
Hao ni majambazi au kundi la vibaka au ni kundi la waasi wezinduka na kufanya huo uhalifu ???? watu 20 jamani??

Hii nchi sasa inahitaji viongozi ambano ni ma dictator period ndio tutasonga mbele nao sasa huu uhuru si uhuru tena ni kunyanyasana ndani ya uhuru na kuutumia vibaya

Mkuu Jethro, Kiongozi wa nchi juzi tu alitangaza Tanzania iko shwari. Polisi wako busy na kesi ya Jerry Muro.
 
Kweli polisi wetu vilaza jamani. Tusiwalaumu polisi ila tuangalie na wanaofanya selection ya watu wanaoomba kusomea upolisi. Hakuna mtu wa Division I, II au hat III anaye apply upolisi. Sasa inteligency system utaitrain vipi? walishakuwa wagumu wa kuelewa tangu wakiwa wadogo, hawafundishiki.
 
Kinachosigitisha zaidi kuhusu ulinzi ni kuwa polisi wetu msaada wao ni mdogo sana. Tuliopata taarifa mapema baada ya kupigiwa na waliokua zamu wezi walipoondoka, tulijaribu kupiga emmergency number za polisi na za makamanda ikiwemo number ya saidi mwema lakini cha kusigitisha ni kuwa hakuna mtu aliyekua anapokeo hizo simu. Hivyo wezi walichukua walivyotaka kwa raha zao na kuondoka bila preasure yeyote ile. Sijui watanzani wategemee ulininzi toka wapi. Polisi wamefika pale zaidi ya nusu saa tangu uhalifu ulipotokea. Mmoja wetu aliyepigiwa simu akiwa tabata ndiye aliyekimbia hadi osterbay kutoa taarifa...sasa waweza kuelewa mtu atoke tabata na hii foleni ya dar eti ndio akawahi wezi waliokwisha kuiba na kutoka.

Hiini setback kubwa sana kwa kampuni hii ambayo ndio kwanza haijafikisha hata mwaka tangu ianze operation mwaka jana. Polisi walipofika pale hakuna hata la maana walilokua nalo zaidi ya kuwatukana nakuwagombeza wale walinzi waliopigwa na kuumizwa kisha kufungwa na kamba. Wezi walituibia hadi pete za ndoa mikono ikiwa pamoja na simu na pesa tulizokua nazo mikononi.

Ashukuruwe Mungu kuwa wafanyakazi hawakuumizwa
poleni sana ndugu zanguni.
 
..poleni!! hii nchi sijuwi inakwenda wapi. ujambazi unaotokea ni dalili za matatizo makubwa zaidi ktk jamii yetu.
 
Kweli polisi wetu vilaza jamani. Tusiwalaumu polisi ila tuangalie na wanaofanya selection ya watu wanaoomba kusomea upolisi. Hakuna mtu wa Division I, II au hat III anaye apply upolisi. Sasa inteligency system utaitrain vipi? walishakuwa wagumu wa kuelewa tangu wakiwa wadogo, hawafundishiki.
Si kweli kuwa Police hawaajiri watu wenye hizo division,wanaajiri sana tu,tena hata bachelors holders wengi tu.Tatizo la police ni bad manpower utilization,viongozi wa police wameshindwa kabisa kuwamotivate hao watu,kuna jamaa yangu Aliajiriwa na Bachelor ya Public Administration and French Language,Kazi alizokuwa anapewa ni kukaa counter(CRO) na malindo ya usiku,tena kwa kumkomoa kisa anajifanya msomi.Mara nyingi utakuta tangu wakiwa CCP wanatukanwa na matusi kama,"ungekuwa msomi usingeingia polisi".Vitengo muhimu kama Intelligencia na CID wanapewa watoto wa wakubwa ambao wengi ni vilaza.Tangu alipoingi Mwema angalau kabadlisha system mtu mwenye degree anaanza na mshahara wa 250,000/=,sasa hapo kutakuwa na utendaji wa kazi kwa dhamira.JESHI LA POLISI KWA TZ NI BADO SANA.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom