Ulitaka niandike mambo ya kukufurahisha wewe mkuu mm sio Lumumba buku 3.wameshamaliza kuvamia ma studio wameanza mitaani ni Bashite na vijana wake hao wanaume wa Dar mmepatikana safari hiiMkuu mnamzalilisha mzee Lowasa kwa kutumia picha yake ya akili kuandika mambo yasiyo na akili...kueni basi kidogo.