Tido mtoga
JF-Expert Member
- Oct 21, 2015
- 514
- 433
Majambazi walikuwa na silaa wamevamia M-pesa na kutoka na kitita kisicho pungua milion nane katika wilaya ya Kaliua Tabora.
Majambazi haya yamefanya uporaji baada ya walima tumbaku kupokea pesa zao jana na jana hiyo iyo majambazi yakavamia seemu ambapo watu huwa wana weka pesa zao sehemu .
Hii ni Usinge wilaya ya Kaliua wamechukua na kuondoka na pesa kama zao wananchi walianza kukimbia hovyo baada ya majambazi hayo kupiga risasi hewani.
Majambazi haya yamefanya uporaji baada ya walima tumbaku kupokea pesa zao jana na jana hiyo iyo majambazi yakavamia seemu ambapo watu huwa wana weka pesa zao sehemu .
Hii ni Usinge wilaya ya Kaliua wamechukua na kuondoka na pesa kama zao wananchi walianza kukimbia hovyo baada ya majambazi hayo kupiga risasi hewani.